Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Richard Rwanyakaato Kiza kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi Eneo la Ngorongoro (NCAA). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Kabla ya uteuzi Kiiza alikuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA).
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imesema uteuzi huo unaanza leo tarehe 12 Oktoba, 2023.
Leave a comment