Saturday , 27 April 2024
Home kelvin
1174 Articles83 Comments
Habari MchanganyikoMichezo

Vipaji vya watoto kusakwa Leaders Club

KAMPUNI ya kuandaa filamu nchini Tanzania (J FILM 4 LIFE), imeanza utaratibu wa kutafuta vipaji vya kuigiza kwa watoto ili kushiriki kwenye vilamu...

Habari Mchanganyiko

Jacqueline Mengi ajitokeza ‘nawapenda’

MJANE wa hayati Dk. Reginald Mengi, Jacqueline Mengi amesema, mambo magumu wanayoyapitia wajane sasa na yeye anayapitia. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Jacqueline ametoa kauli...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya kuvuliwa Ubunge: Lissu aiangusha Serikali

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo tarehe 26 Agosti 2019, imetupilia mbali pingazi la Jamhuri kutaka kutosikilizwa ombi la Tundu Lissu,...

Michezo

Manara afunguka nafasi yake kuchukuliwa Simba

MSEMAJI wa Simba, Haji Manara ametolea ufafanuzi swala la nafasi yake kama mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano ndani ya klabu hiyo....

AfyaHabari Mchanganyiko

Nusu ya majeruhi Morogoro waliohamishiwa Muhimbili wafariki

MAJERUHI wanne kati ya 25 wa ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro waliokuwa wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamepoteza...

Habari Mchanganyiko

Papa aridhia Kadinali Pengo kustaafu, Askofu Ruwa’ichi ampokea

OMBI la Kadinali Polycarp Pengo, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam kung’atuka madarakani, limeridhiwa na Papa Francisko. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)....

MichezoTangulizi

Wikiendi ngumu: Kule Simba SC, huku Yanga

TOFAUTI na misimu iliyopita, msimu huu 2019/20 mambo yamechenji kidogo. Simba na Yanga zinatarajiwa kufungua msimu huu kwenye michuano ya kimataifa Jumamosi wiki...

Habari za Siasa

CUF yampigia goti Rais Magufuli 

CHAMA Cha Wananchi (CUF), kinaugulia maumivi ya kutofanya mikutano ya kisiasa hasa muda huu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu....

Michezo

Jezi za Yanga zaanza vizuri, yauzwa kwa laki tano

KLABU ya Yanga imetambulisha jezi za nyumbani na ugenini itakayotumika kwenye michezo ya Ligi Kuu na klabu bingwa Afrika kwa msimu wa 2019/20...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Hiki ndicho kilichowaponza UAMSHO

SIASA za kukomoana zimetamalaki Zanzibar na hiki ndicho kilichosababisha viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar kusota rumande bila sababu...

Habari za Siasa

Maalim Seif arejea nyumbani kwake

MAALIM Seif Sharif Hamad, mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, aliondoka kwenye Kongamano la Kuadhimisha Miaka 9 ya Maridhiano visiani humo na kurejea nyumbani kwake. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Maalim Seif akamatwa

MAALIM Seif Sharif Hamad, mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekamatwa na Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar. Anaandika Kelvin Mwaipungu, Zanzibar … (endelea). Kiongozi...

Michezo

Simba waja na ‘Iga Ufe’

KLABU ya Simba imezindua wiki yao rasmi kuelekea kilele cha tamasha lao la ‘Simba Day’ kitakachofanyika tarehe 6, Agosti 2019 katika Uwanja wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu mbioni kumshitaki Ndugai

TUNDU Lissu, aliyetangazwa na Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, kuvuliwa wadhifa wake wa ubunge katika jimbo la Singida Mashariki, yuko mbioni...

Michezo

Waziri Mwakyembe apiga panga maproo Ligi Kuu

DAKTARI Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu  ya Tanzania, kila timu itawatumia wachezaji...

Michezo

Dk. Kikwete amuomba Rais Magufuli kuichangia Yanga

DAKTARI Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne amemuomba Rais John Magufuli kuichangia Klabu ya Yanga. Anaripoti Kelvin Mwaipungu …...

Michezo

Kuelekea AFCON 2019: Mkude, Ajibu watemwa

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Emmanuel Amunike, ametangaza kikosi cha wachezaji 32 watakaondoka leo kwenda Misri kwa ajiri...

Michezo

Madeni ya Simba yakwamisha Bil. 20 za uwekezaji wa MO

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amesema kuwa madeni ndiyo sababu kuu iliyopelekea pesa za uwekezaji Sh. 20 bilioni...

Habari za Siasa

Makonda abanwa mbavu madhabahuni

KAULI ya Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwamba, hakuwahi kutegemea kuona Mchaga angeweza kutoa msaada kwa walemavu na kwamba,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Shoo akemea ubaguzi nchini

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo, amekemea tabia ya baadhi ya viongozi, kupandikiza chuki za ubaguzi...

Habari za Siasa

Ngono vyuoni: Rais Magufuli afura

VITENDO vinavyoashiria ngono katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), vimemchefua Rais John Magufuli. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea). Akizungumza katika hafla...

Habari za Siasa

Rais Magufuli, Mama Janeth ziarani Malawi

RAIS John Magufuli leo tarehe 24 Aprili 2019, anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Malawi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema ‘yajitutumua’ kwa Prof. Assad

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimejibu madai ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, juu ya...

Kitaifa

Aliyeongoza kumng’oa  Rais al-Bashir Sudan ajiuzulu

MKUU wa Jeshi la Sudan, Awad Ibn Auf aliyeongoza mapambano ya kumng’oa madarakani Rais wa nchi hiyo, Omar al-Bashiri amejiuzulu katika wadhifa wa...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis ambusu miguu Salvar Kiir, ataka aache mapigano

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amempigia magoti Rais wa Sudani Kusini, Salvar Kiir akimsihi kiongozi huyo kuachana na mapigano katika taifa...

Michezo

TP Mazembe kutua kesho, kuivaa Simba

KLABU ya soka kutoka nchini DR Congo TP Mazembe inatarajia kuwasili nchini kesho kwa ajili ya mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya...

Michezo

TFF yatoa kauli uchaguzi mkuu Yanga

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), chini ya Mwenyekiti wake Wakili Ali Mchungahela imetangaza tarehe 5, Mei 2019...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe amuumbua Jaji Mutungi   

ZITTO Zuberi Kabwe Ruyangwa, “ameivua nguo,” ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Ameionyesha kutokuwa makini katika kushughulikia masuala yanayohusu ofisi yake;...

Michezo

Pondamali afunguka safari ya Lagos 1980

MLINDA mlango wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania, Juma Pondamali amesema kuwa safari ya timu hiyo kufuzu katika michuano ya lililokuwa...

MichezoTangulizi

Ni zamu yetu, baada ya miaka 39, Stars yatinga AFCON 2019

BAADA ya miaka 39 na takribani miaka 27 ya kuitwa, “kichwa cha Mwandawazimu,” hatimaye timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), imefanikiwa kufuzu...

Michezo

Amunike awajia juu wanaobeza mfumo wake

KUELEKEA kwenye mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu kwa kombe la mataifa Afrika dhidi ya Uganda, kocha mjuu wa timu ya Taifa ya...

Michezo

Peter Tino, Mutebezi waipa somo Stars

WACHEZAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Peter Tino na Taso Mutebezi, wamewataka wachezaji wa sasa wa timu ya...

Habari za Siasa

Mbowe, Dk. Mashinji wampigia saluti Zitto  

HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo kushawishi na hatimaye waliokuwa viongozi waandamizi wa CUF kujiunga na chama chake, imepongezwa....

Michezo

Simba yafanya kweli

Klabu ya Simba imefanikiwa kufuzu katika hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa...

Michezo

JPM akabidhiwa ramani ya Uwanja

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Morrocco nchini Tanzania Abdelillah Benry pamoja...

Michezo

Mchezaji Yanga afungiwa mechi tatu

BEKI wa klabu ya Yanga Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefungiwa michezo mitatu baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga kiwiko mchezaji Andrew Simchimba kwenye...

Michezo

Simba, Yanga zapigwa faini kwa kutumia mlango usio rasmi

KAMATI ya uendeshaji Ligi Kuu Tanzania Bara (kamati ya saa 72) imezitoza faini klabu za Simba na Yanga kwa makosa ya kutumia milango...

Habari za Siasa

Nimewakimbia Chadema, hawashauriki – Mgeja

ALIYEKUWA kada wa miaka mingi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hamis Mgeja, ambaye miaka miwili iliyopita, alikihama chama hicho na kutimkia Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mgeja amfuata Lowassa CCM

HAMISI Mgeja, swahiba wa Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu, leo tarehe 6 Machi 2019 ametangaza kurejea  katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Kelvin Mwaipungu...

Michezo

Serengeti Boys kujiuliza kwa Australia

BAADA ya kupoteza kwa bao 1-0 mbele ya Guinea kwenye mchezo wa kwanza wa kundi A, timu ya taifa ya vijana Serengeti Boys...

Michezo

Serengeti Boys kushuka dimbani leo, Uturuki

TIMU ya taifa ya vijana umri chini ya miaka 17 Serengeti boys wanatarajia kucheza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Guinea katika michuano...

Michezo

Simba yamtimua kocha wa Azam FC

KIPIGO cha mabao 3-1 waliofungwa na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kimesababisha klabu ya Azam FC kuachana na kocha wake,...

Michezo

Yanga yavunja mwiko kwa Mbao FC

BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 klabu ya soka ya Yanga kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuondoka na pointi 3 mbele ya...

Michezo

Vigogo 14 kuiongezea nguvu Taifa Stars kufuzu AFCON

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza kamati ya watu 14 yenye lengo la kuisaidia timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa...

MichezoTangulizi

Kocha wa Simba afichua siri ya ushindi dhidi ya Yanga

BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga, kocha mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amedai kuwa klabu yake ilistahili kushinda...

Michezo

TFF yaridhia ombi la Yanga, Ninja kuivaa Simba

KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Wakili, Kiomoni Kibamba imeridhia ombi la Yanga kuahirisha...

Michezo

Al Ahly kuiponza Yanga

BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo wa Klabu Bingwa barani Afrika hatua ya makundi, Kocha...

Michezo

Simba yafufua matumaini Klabu Bingwa

BAO la Meddy Kagere katika dakika ya 64 ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika kati ya Simba dhidi ya Al Ahly kutoka Misri...

Michezo

Kuziona Simba, Yanga Sh. 7,000

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu unaowakutanisha watani wa jadi Yanga na Simba utakaochezwa...

Michezo

‘MO’ awarahisishia kazi wachezaji Simba

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba na mwekezaji mkuu wa timu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ ametangaza kiingilio cha shilingi 2000,...

error: Content is protected !!