Friday , 26 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Changamoto ilivyopelekea fursa ya ugunduzi wa internet

UGUNDUZI wa internet ulisababishwa na changamoto inayofanana sana na wakati huu ambao dunia inapitia sasa. Kwa kifupi unaweza kusema kwamba ukubwa wa changamoto...

Habari Mchanganyiko

DC Muro: Muda wa mahojiano changamoto kwenye sensa

MKUU wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Jerry Muro ameitaja changamoto inayolikabili zoezi la sensa ya watu na makazi katika wilaya hiyo kuwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aongoza waombolezaji kumuaga Mrema

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameongoza mamia ya waombolezaji kuuga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askari mbaroni kwa kumtesa aliyetuhumiwa kuiba simu

JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema linamshikilia askari aliyehusika katika tukio la kumpiga mtuhumiwa tukio ambalo lilionekana katika video iliyosambaa kwenye kitandao ya...

Habari Mchanganyiko

Kituo cha watoto yatima chafanya dua maalum kwa Samia

KITUO cha  kulelea watoto yatima na waishio kwenye mazingira magumu cha Mwana Orphan Islamic kilichopo Kata ya Vigunguti Wilaya ya Ilala, Mkoa wa...

HabariHabari Mchanganyiko

Shirika la Camillians lapata Mafratel wapya, waweka nadhiri ya kwanza

VIJANA watatu wa Kitanzania, wamefanikiwa kujiunga na Shirika la Kanisa Katoliki la Wahudumu wa Wagonjwa (Camillians) Tanzania na kuweka nadhiri zao za  kwanza....

Habari MchanganyikoTangulizi

Wahadzabe wapewa nyama, wakubali kuhesabiwa

HATIMAYE jamii ya kabila la Wahadzabe leo tarehe 23 Agosti, 2022 wamekubali kuhesabiwa baada ya kupatiwa nyama pori na matunda kama walivyokuwa wameomba...

Habari Mchanganyiko

Samia ahesabiwa, “maswali sio magumu”

RAIS Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa Watanzania waliohesabiwa katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi iliyoanza saa 6:01 usiku wa leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makinda: Asilimia 15 ya kaya zitafikiwa leo

KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022, Anne Makinda amesema iwapo makarani wa sensa wakifanya kazi yao kwa ufanisi na uharaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyeondolewa kesi ya ugaidi adaiwa kutekwa kweupe

WAKATI masikio ya Watanzania yakiwa yamepumzika kusikia taarifa za kutekwa au kuuawa raia na watu wasiojulikana, matukio hayo yanaanza kurejea taratibu. Tukio la...

Habari Mchanganyiko

NMB yaimwagia msaada Machinga Dar

BENKI ya NMB nchini Tanzania imetoa msaada wa  viti 15, meza 10, kabati moja pamoja na viti vya wageni viwili kwa Shirikisho la...

Habari Mchanganyiko

Warioba: Mrema alijua kuchagua maneno ya kuzungumza, ni mwanamageuzi

  WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema atamkumbuka marehemu Agustino Mrema kama moja ya wanasiasa mahiri waliojua kuchagua maneno sahihi ya kuzungumza...

Habari Mchanganyiko

Simulizi baba wa binti aliyefariki Canada inasikitisha

  HATIMAYE Baba yake Hellen Kemunto, binti muuguzi raia wa Kenya aliyefariki wiki iliyopita nchini Canada, amejitokeza kuelezea maisha ya mwanaye. Binti huyo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee Mrema kuzikwa Alhamisi

  MWILI wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Agustino Lyatonga Mrema unatarajiwa kuzikwa Alhamisi tarehe 25 Agosti, 2022 nyumbani kwake...

Habari Mchanganyiko

Utalii wa picha waongeza wanyama, watalii

UTALII wa picha unaofanywa na Kampuni ya EBN Hunting Safari umewezesha wanyama katika eneo la Jumuiya ya Wahifadhi Wanyamapori (WMA) Buringe wilayani Babati...

Habari Mchanganyiko

Shaka akagua mnada wa mifugo Igunga

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ametembelea na kukagua mnada wa mifugo Igunga ambao...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 50 kupanua kiwanja cha ndege Kigoma

JUMLA ya Sh bilioni 50 zinatarajiwa kutumika katika upanuzi wa Kiwanja cha Ndege Kigoma kwa kurefusha barabara ya kuruka na kutua ndege kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Profesa Moshi ampa darasa la uchumi Dk. Mwigulu

MHADHIRI wa uchumi kutoka Chuo kikuu caha Dar Es Salaam, Profesa Humphrey Moshi, amemtaka waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba pamoja...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri amuweka mtegoni Mkuu chuo cha hali ya hewa

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete amemtaka Mkuu wa Chuo cha Hali ya Hewa Tanzania, Peter Mlonganile kuhakikisha anabuni mbinu zaidi za kukitangaza...

Habari Mchanganyiko

Dk. Yonazi asisitiza ushirikiano sekta binafsi, umma

WATENDAJI wa taasisi za umma na binafsi ambao wanatekeleza ajenda ya kuipeleka nchi katika uchumi wa kidijiti wametakiwa kushirikiana na kutekeleza jukumu hilo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia, Mbatia wamlilia Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Mrema kilichotokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mrema afariki dunia

MWENYEKITI wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki duninia leo tarehe 21 Agosti, 2022, saa 12.15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apeleka bilioni 20 kusukuma uchumi wa buluu Mwanza

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha vijana kufuga samaki kama njia ya kuwanufaisha na uchumi wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yatambulisha mpango maalum kuwahudumia walimu

KWA kutambua umuhimu wa walimu nchini na mchango wao katika mafanikio ya Benki ya NMB, taasisi hiyo kubwa kuliko zote za fedha nchini...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Tusibweteke Corona bado ipo

WAKATI baadhi ya wanajamii wakionesha kutokuwa na kumbukumbu kwa kilichotokea mwaka 2020 baada ya kuibuka kwa maradhi mapya ya UVIKO – 19 na...

Habari Mchanganyiko

LHRC: Katiba ya Kenya iwe darasa Tanzania

  WAKATI jirani zetu nchi ya Kenya wakimaliza uchaguzi wao , Ubora wa Katiba yao umetajwa kuwa sababu ya kutokuwa na machafuko licha...

Habari Mchanganyiko

Kundi la tano kaya 25 kutoka Ngorongoro mbioni kuhamia Msomera

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Pindi Chana amesema kundi la tano la wakazi wa Ngorongoro takribani kaya zisizopungua 25 kwa sasa...

Habari Mchanganyiko

NCT kutoa mafunzo ya utalii kwa wadau 5,000

CHUO Cha Taifa Cha Utalii (NCT), kimejipanga kutoa mafunzo kwa wadau waliokwenye mnyororo wa utalii yatakayowezesha nchi kufikia malengo ya kuingiza watalii milioni...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia asisitiza uharakishwaji matumizi ya Kiswahili SADC

Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza uharakishwaji wa mchakato wa matumizi ya lugha ya Kiswahili kupitishwa rasmi kama lugha ya nne itakayotumika katika nchi...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi BRT II wafikia asilimia 66.6

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema ujenzi wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT II), Awamu ya Pili kutoka Mbagala...

Habari MchanganyikoTangulizi

Siku ya sensa ni mapumziko

HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia tarehe 23 Agosti, 2022 iwe siku ya mapumziko ili Watanzania wawepo majumbani na waweze kuwapokea makarani wa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango azitaka mamlaka maliasili utalii kukomesha urasimu vibali

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ameziagiza mamlaka zinazoshuhulikia masuala maliasili na utalii kuondoa urasimu katika utoa wa vibali katika sekta hiyo. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

TANESCO yaghairi matengenezo mfumo wa LUKU

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeahirisha zoezi la matengenezo kinga ya mfumo wa ununuzi wa umeme LUKU ambalo lingesababisha kusitishwa kwa huduma hiyo...

Habari Mchanganyiko

Morogoro yapokea bilioni 111 miradi ya maendeleo

MKUU wa mkoa wa Morogoro, Fatuma Mwasa, amesema mkoa wa Morogoro umepokea kiasi cha Sh111.5 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa ajili...

Habari Mchanganyiko

Shaka atumia kijiwe cha kahawa kueleza mwelekeo wa Samia

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, (NEC) ya CCM, tikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ametembelea kijiwe cha Kahawa Lumumba kilichopo Tabora Mjini...

Habari Mchanganyiko

Maofisa ulinzi, usalama watakiwa kutumia mbinu mbadala kudhibiti ukiukwaji ukatili kijinsia

MAOFISA wa vyombo vya ulinzi na usalama vinavyodhibiti masuala ya ukiukwaji wa haki za binadamu na ukatili wa kijinsia, wametakiwa kutafuta njia mbadala...

Habari Mchanganyiko

TPA yapewa wiki 2 bandari ya Karema ianze kutoa huduma

NAIBU Waziri Uchukuzi, Atupele Mwakibete ametoa wiki mbili kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuhakikisha bandari mpya ya...

Habari Mchanganyiko

NMB ‘Mwalimu Spesho’ yatua Nachingwea

MKUU wa Wilaya ya NachingweaHashim Komba akiwa na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kusini, Janeth Shango kwa pamoja wakizindua rasmi mpango...

Habari Mchanganyiko

Barabara ya Saadani -Tanga kuchochea usafirishaji

IMEELEZWA kuwa kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Tunga – Mkwaja – Mkange yenye mrefu wa kilomita 95.2, ikiwemo  kilometa 3.7 za mchepuo...

Habari Mchanganyiko

Pesapal yapewa leseni na BoT kufanya biashara nchini

KAMPUNI ya Pesapal Tanzania imepewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kufanya biashara nchini kama mtoa huduma wa mifumo ya malipo ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

LATRA yafunguka chanzo BOLT kusitisha usafiri wa magari

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema mojawapo ya sababu ya baadhi ya Kampuni za teksi mtandaoni kusitisha huduma za usafiri wa magari...

Habari Mchanganyiko

Mbunge aliyedaiwa kuua kwa risasi kusota rumande

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma  nchini Kenya imesema Mbunge wa Kimilili, Didmus Barasa ataendelea kusota rumande kwa siku 10 zaidi kusubiri...

Habari Mchanganyiko

Magari kupita daraja jipya la Wami Septemba mwaka huu

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema kuwa Serikali inatarajia kuanza kuruhusu magari kupita juu ya daraja jipya la wami, lililopo...

Habari Mchanganyiko

Exim waadhimisha miaka 25, yapongeza wafanyakazi wake

BENKI ya Exim Tanzania imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwa hafla fupi iliyolenga kutambua jitihada na mchango wa wafanyakazi wa benki hiyo katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga vitanda, magodoro Kagera

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda 80 vya ngazi mbili na magodoro 160 yenyewe thamani ya Sh 27 milioni kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

NBC wasisitiza kukuza michezo, sanaa na utamaduni

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu adhma yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya michezo hapa nchini kwa kuunga mkono jitihada...

Habari Mchanganyiko

TPA yatangaza vipaumbele muhimu 5

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari TPA imesema ujenzi wa miundombinu bora ya Bandari yenye mitambo ya kisasa  na sahihi ya kuhudumia meli na...

Habari Mchanganyiko

Waziri Gwajima aipongeza NMB kuwajali wamachinga

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk. Dorothy Gwajima ameipongeza Benki ya NMB kwa kutenga fedha kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

UTAFITI: Vyakula vya baharini, wanyamapori chanzo cha Covid-19

IMEELEZWA kuwa Soko la vyakula vya baharini na wanyamapori la Huanan lililopo katika mji wa Wuhan nchini China ndio kitovu cha mlipuko wa...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yatoa gawio la Sh 2.2/- ikiahidi makubwa

  SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limetoa gawio kwa Serikali kiasi cha Sh 2.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/21 huku wakitarajia...

error: Content is protected !!