CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kuwa uchambuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kimepotosha na kimewaahaada watanzania juu ya upotevu wa ...
Read More »Serikali watilia shaka uraia wa Abdul Nondo
MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ameitwa Makao Makuu ya Uhamiaji kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu uraia wake. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi ...
Read More »Mbowe na wenzake wakamilisha dhamana, waachiwa huru
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wenzake sita akiwemo Halima Mdee, Mbunge wa Kawe aliyeunganishwa katika kesi hiyo leo, wamekamilisha masharti ya dhamana hivyo wakati wowote wanaweza kuachiwa huru. ...
Read More »Polisi wamshikilia Halima Mdee na ugonjwa wake
JESHI la Polisi limemkamata Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na kuendelea kumshikiria hadi sasa pamoja na kuwa mgonjwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mdee alikamatwa leo alfariji akitokea Afrika Kusini ...
Read More »Bavicha wajitosa kulinda hatma ya Chadema
BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha) limejiapiza kukulinda chama chao kwa gharama yeyote kwa kile walichodai ni hujuma za kutaka kukifuta na kufungwa kwa viongozi wa chama hicho. Anaripoti Faki ...
Read More »Chadema waishtaki Serikali ya JPM Umoja wa Ulaya
WABUNGE na Madiwani wa Chama cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameishitaki SErikali ya Tanzania kwa Umoja wa Ulaya juu ya hali ya kisiasa na kushinikiza kupatiwa dhamana viongozi ...
Read More »Mawakili, Hakimu kutoa hatima ya kutoletwa Mbowe na wenzake
MAWAKILI wa pande zote mbili wa kesi zinazowakabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake wamekutana na Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri kujua hatma ya watuhumia hao kutofika mahakamani mpaka sasa. Anaripoti ...
Read More »Hiki ndicho kilichowakwamisha Mbowe na wenzake
VIONGOZI wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaendelea kusota rumande kwa hoja kwamba, wanaweza kuhatarisha usalama wa jamii. Anaandika Faki Sosi…(endelea). Hoja hiyo imewasilishwa jana na mawakiwa wa ...
Read More »Mbowe na wenzake wapewa kesi ya Akwilina, wanyimwa dhamana
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na viongozi watano wa chama hicho wamesomewa mashtaka nane katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu likiwemo la kufanya maandamano yaliyosababisha kifo cha Mwanafunzi wa Chuo ...
Read More »Mbowe na wenzake wafikishwa mahakamani Kisutu
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayowakabiri. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Viongozi hao walioripoti Kituo cha Polisi cha ...
Read More »Mbowe, viongozi Chadema wafutiwa dhamana
MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wengine wandamizi wa chama hicho, “wameswekwa rumande,” kwenye kituo cha polisi kati jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki ...
Read More »Deni la Taifa lazidi kupaa
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Serikali (CAG) ya mwaka 2016/17 imeonyesha deni la Taifa limezidi kupaa kwa asilimia 12 ukilinganisha na ripoti ya mwaka 2015/16. Anaripoti Faki Sosi … ...
Read More »Maalim Seif amdhibiti Prof. Lipumba, amshika pabaya
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepiga marufuku uanzishaji wa matawi mapya na kuagiza viongozi wake ngazi ya majimbo kuwa macho na nyendo zozote za “watu fulani” kutaka kufungua matawi kwa nia ...
Read More »Lowassa, Mbowe waufuata waraka wa Maaskofu KKKT
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama hicho, Edward Lowassa wameshiriki kwenye ibada ya Jumapili ya matawi kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ...
Read More »Mipango ya Jaji Mutungi, Lipumba kumng’oa Maalimu Seif yafichuka
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa Msajili wa vyama siasa nchini Jaji Francis Mutungi na Mwenyekiti anayetambuliwa na Ofisi yake Profesa Ibrahimu Lipumba ...
Read More »ACT-Wazalendo waikaba Polisi
MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam imekiruhusu chama cha ACT-Wazalendo kulishtaki Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuzuia ziara za chama hicho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kesi hiyo namba 8 ...
Read More »Mnyika, Heche wang’ang’aniwa Polisi, Mdee asakwa
JOHN Mnyika, Naibu Katibu Mkuu (Bara) na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Serengeti, John Heche wamezuiliwa polisi kwa madai ya kuwa wameshindwa kufuata taratibu za dhamana. Anaripoti Faki Sosi … ...
Read More »IGP, DCI ‘wamkimbia’ Nondo mahakamani Dar
WAKATI Mwenyekiti wa Mtandao wa Wananfunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo akipandishwa kizimbani leo asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam nayo ...
Read More »Mawaziri hawa hawako salama
WAZIRI wa Kilimo, Charles Tizeba na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina siku zao zinahesabika kutokana kushindwa kuhudhuria bila kutoa taarifa kwenye Mkutano ulioitwa na Rais Jonh Magufuli. Anaripoti ...
Read More »Nondo ‘awaponza’ Sirro, AG na DCI
MAWAKILI wanaomwakilisha Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdul Nondo wamefungulia kesi Mkuu wa jeshi la Polisi nchini (IGP), Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (DCI), Mwasheria Mkuu ...
Read More »Marekani yachunguza serikali ya JPM
WAJUMBE wawili kutoka nchini Marekani kutoka katika kitengo cha Mshauri wa Marekani kinachohusu Siasa na Uchumi wametua nchini kwa kile kinachodhaniwa kuchunguza Serikali ya Tanzania Bara inayoongozwa na Rais John Magufuli ...
Read More »Viongozi TSNP wahojiwa saa saba kuhusu Nondo
JESHI la Polisi nchi limewahoji viongozi wa Mtandao wa wafunzi (TSNP) kama mashahidi kwenye kesi anayotarajiwa kufunguliwa Mwenyekiti wa mtandao huo Abdul Nondo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Nondo aliripotiwa ...
Read More »Serikali yahofiwa kuburutwa ICC
KAULI za viongozi wa serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli kwa wananchi, zinaweza kusababisha kufikishwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC). Anaandika Faki Sosi … (endelea). Hayo ...
Read More »Namaingo wazindua mradi mpya Msolwa
JUHUDI za Taasisi ya Namaingo Business Agents (NBA), imezindua mradi Shamba Mji Msolwa wilayani Mkuranga, Pwani ikiwa ni mwendelezo wa kuinua uchumi wa nchi kupitia kilimo. Anaripoti Faki Sosi … ...
Read More »Mtatiro awajibu waliomvua uanachama
MWENYEKITI wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amejibu uongozi wa CUF wilaya ya Ubungo, uliomvua uanachama, na kusema kuwa hatajishughulisha na tangazo hilo na siyo ...
Read More »Mauaji, ubaguzi wa mawakala dosari uchaguzi wa marudio
KITUO cha sheria na Haki za Binaadamu (LHRC) kimeeleza mauaji, kubaguliwa kwa mawakala wa upinzani kumetia dosari uchaguzi wa marudi wa jimbo la Kinondoni na Siha pamoja na Kata 10. ...
Read More »Wafuasi wa Chadema waliopigwa risasi waachiwa
MAHAKAMA imewaachia huru wafuasi saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuwapa dhamana wanachama watatu wenye majeraha ya risasi baada ya kufyatuliwa risasi na Polisi kwenye maandamano. Anaripoti Faki ...
Read More »Mbowe aibua mazito risasi ya Akwilina
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema kuwa jeshi la Polisi limewajeruhi waandamanaji wa tano wa risasi za moto huku moja ikimpata Mwanafunzi wa Chuo cha ...
Read More »Mtatiro wa CUF aiparura serikali ya JPM
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitahadharisha serikali kuwa mashambulizi ya demokrasia yanaweza kuleta athari kwa jamii. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo yameelezwa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa ...
Read More »Binti achomwa moto hadi kufa
NI binti wa miaka 18 ambaye alikimbia kwa zaidi ya mita 100 ili kujiokoa na shambulizi, hatimaye alianguka chini kwa uchovu, wauaji wakamfikia kisha wakamchoma moto mpaka mauti yakamfika. Anaripoti Faki ...
Read More »Kubenea amjia juu Mwigulu
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Lameck Nchemba, kujiuzulu mara moja wadhifa wake. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari ...
Read More »Viongozi wa Chadema watinga Polisi kwa mahojiano
VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamewasili kituo cha Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa mahojiano kama walivyotakiwa na jeshi hilo jana. Anaripoti Faki Sosi … ...
Read More »Afisa wa serikali apora sanduku la kura Kinondoni
AFISA mmoja mwandamizi wa serikali amepora sanduku la kupigia kura na kutoweka nalo, kwenye eneo la Magomeni, mtaa wa Idrisa, jimbo la Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). ...
Read More »Chadema wakabiliana na Polisi Kinondoni
VURUMAI kubwa imeibuka jijini Dar es Salaam, jioni hii, kufuatia jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa Chama cha ...
Read More »Mbowe, wabunge Chadema ‘waliamsha dude’ ofisi za Tume
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiongozana na Mgombea Ubunge Jimbo la Kinodnoni, Salumu Mwalimu pamoja na wabunge wa Chadema katika ofisi za Tume ya Uchaguzi ...
Read More »DPP amwachia huru Sadifa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma imemwachia huru aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM, Sadifa Hamis baada ya Jamhuri kuwasilisha ombi la kuifuta kesi ya rushwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). ...
Read More »Watu ‘wasiojulikana’ wazidi kuinyanyasa Chadema
NAIBU Meya wa Manispaa ya Iringa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gangalonga (Chadema), mkoani Iringa Dady Igogo, amenusururika kuwa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana. Anaripoti Faki Sosi … ...
Read More »Ripoti ya Polisi Kinondoni yaikaanga Chadema
RIPOTI ya Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni limeiweka kwenye mazingira magumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuonesha chama hicho kutoa lugha ya uchochezi katika kampeni zake za ...
Read More »Chadema kumuenzi Tambwe Hiza kwa ushindi Kinondoni
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumuenzi mwanachama wake Richard Tambwe Hiza kwa kushinda na kutangazwa washindi katika jimbo la Kinondoni. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Tambwe Hiza aliyefariki ...
Read More »Kibatala amnasua Sugu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi-Mbeya imewaachia kwa dhamana washtakiwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga katika kesi. Anaripoti Faki ...
Read More »Mtoto yatima abakwa na kukatishwa ndoto zake
MMOJA kati ya waathirika wa vitendo vya ubakaji ni motto wa umri wa miaka 13 (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kubakwa na kijana anayeitwa Baraka Tendega, wote wakazi wa Mtaa wa Ulonge ...
Read More »Tambwe Hizza afariki dunia
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umepata pigo kutokana na kifo cha mwanasiasa machachari, Richard Tambwe Hizza. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Ukawa ni muunganiko wa vyama vinne, Chama Cha Demokrasia ...
Read More »Chadema yaeleza sababu za kutekwa diwani wake
CHAMA cha Chadema kimehusisha tukio kutekwa kwa mgombea wa udiwani wa kata ya Buhangazi wilayani Muleba Mkoani Kagera, Nelson Makoti kuwa ni njama za kisiasa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). ...
Read More »Ushirikina: Chanzo cha ubakaji na ulawiti Iringa
IMANI sugu za ushirikiana mkoani Iringa ni mojawapo ya chanzo cha imani potofu zinazochochea vitendo viovu vya ubakaji, ulawiti na udhalilishaji wa watoto wanaoishi katika baadhi ya wilaya za mkoa ...
Read More »Kubenea: Tutashinda na tutatangazwa washindi
MBUNGE wa Chadema jimbo la Ubungo, Saed Kubenea amesema, ni lazima chama chake kiibuke kidedea kwenye kinyang’anyiro cha ubunge jimboni Kinondoni. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza kwenye mkutano wa ...
Read More »Lowassa, Sumaye, wabunge wa Chadema wammaliza Mtulia
EDWARD Lowasa Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameawambia wananchi wasipopigania Demokrasia watakuwa kwenye kibano. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). “Musipokuwa na Demokerasia mwafaa” amesema ...
Read More »Ukatili na unyanyasaji wa kijinsia unavyoathiri watoto Iringa
LICHA ya juhudi za serikali na watetezi wa haki za watoto kuendeleza harakati za kulinda hadhi na afya za watoto nchini Tanzania, matukio ya unyanysaji na ukiukwaji wa haki za ...
Read More »Rais wa DARUSO alikoroga UDSM
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamemtuhumu Rais wa serikali yao, kwa kukiuka katiba na kutumia nafasi yake kufanya mambo ya hovyo badala ya kutetea maslahi ya ...
Read More »Meya Dar: Ngoma ngumu 2020
USHINDI wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwenye uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam ni ishara kwamba uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa pamoja na ...
Read More »UKAWA kuanikwa siri ya ushindi ya Unaibu Meya
MWENYEKITI wa Chadema, Kanda ya Pwani, Fredrick Sumaye, atakutana na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, muda wowote wiki hii. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Taarifa kutoka ndani ya ...
Read More »