BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajia kukusanya fedha za kujenga shule ya wavulana ya vipaji Maalum kupitia mashindano ya mbio ‘marathon’....
By Faki SosiMarch 18, 2024MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Maftaha Nachuma amesema kuwa Serikali ya umoja wa Kitaifa (SUK)-imetokana na maridhiano ya chama chao (CUF)...
By Faki SosiMarch 15, 2024WAKATI Chama cha ACT-Wazalendo kikitangaza nia ya kujiondoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa – Zanzibar (SUK), Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid...
By Faki SosiMarch 12, 2024KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema kupungua kwa idadi ya wapiga kura katika uchaguzi kumetokana na watu...
By Faki SosiMarch 11, 2024CHAMA cha ACT Wazalendo kimetangaza nia ya kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...
By Faki SosiMarch 8, 2024Mbunge wa Embakasi Mashariki nchini Kenya, Paul Ongili Owino maarafu ‘Babu Owino’ amewaasa vijana kuwa chachu ya mageuzi ya kisiasa ili kuwaletea mabadiliko...
By Faki SosiFebruary 29, 2024Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji ‘Babu Duni’ ambaye katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 alikuwa Mgombea Mwenza wa Hayati Edward,...
By Faki SosiFebruary 11, 2024MAHAKAMA Kuu Tanzania Masjala ndogo ya Manyara imetoa wito kwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini, Pauline...
By Faki SosiJanuary 27, 2024HATIMAYE Mbunge wa Viti Maalumu Halima Mdee na wenzake 18 wamekata rufaa katika Mahakama ya Rufaa nchini Tanzania kwa kutoridhishwa na hukumu iliyotolewa...
By Faki SosiJanuary 19, 2024CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kulivunja Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (Latra CCC) kwa kushindwa kusimamia vema...
By Faki SosiJanuary 17, 2024CHAMA Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara ndogondogo maarufu ‘machinga’ yatakayowawezesha kufanyabiashara zao na si kuwakimbiza na kuwamwaga bidhaa zao. Anaripoti...
By Faki SosiJanuary 14, 2024KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania limeonya watu kuacha tabia ya kujilimbikizia mali na kula rushwa kwa kuwa matendo hayo yamepigwa vita na...
By Faki SosiDecember 25, 2023SERIKALI ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluh Hassan imetoa zaidi ya Sh bilioni 4.7 katika kuboresha huduma za afya halmashauri...
By Faki SosiDecember 15, 2023MAHAKAMA Kuu Tanzania Masjala ya Dar es Salaam imebatilisha uamuzi wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lililobariki uamuzi wa...
By Faki SosiDecember 14, 2023JOEL Mwinza (44), Daktari Bingwa wa Mifupa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Mifupa (MOI), Joel Mwinza ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi...
By Faki SosiDecember 13, 2023KESI ya mauaji inayowakabili maofisa uhamiaji watatu wilayani Kakonko waliofikishwa kizimbani kwa tuhuma za kumuua Enos Elias itatajwa tarehe 28 Desemba mwaka huu....
By Faki SosiDecember 12, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni katika uzinduzi wa taasisi ya Professa Jay Foundation pamoja na kuahidi kumgharamia matibabu...
By Faki SosiDecember 11, 2023MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amejitokeza leo Jumapili jijini Dodoma na kuwaelezea waumini wa Katoliki Parokia...
By Faki SosiDecember 10, 2023SERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa una miamba dhoofu iliyonyonya maji ndio chanzo cha maporomoko yaliyoleta maafa katika eneo...
By Faki SosiDecember 5, 2023BAADHI ya wananchi mkoani Kigoma wameilalamikia Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa madai kuwa baadhi ya maofisa wake mkoani humo...
By Faki SosiNovember 28, 2023Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemtaka Mkuu wa kambi ya wakimbizi Nduta iliyopo Kibondo mkoani Kigoma kufungua kambi hiyo ili wananchi...
By Faki SosiNovember 18, 2023KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda na wenzake wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa kosa kuandamana kwa...
By Faki SosiNovember 10, 2023INAKADIRIWA kuwa Watanzania 14,028 sawa na asilimia 33.3 kila mwaka hupata ugonjwa kwa saratani. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Kwa mujibu wa Takwimu...
By Faki SosiOctober 29, 2023KATIKA kuimarisha mahusiano mazuri baina ya vyombo vya habari na Jeshi la Polisi nchini, jeshi hilo limeshaanza elimu ya utayari kwa askari wake...
By Faki SosiOctober 18, 2023WAKATI Shirika la NIC Insurence likitimiza miaka 60 tangu kuanzishwa kwake limekusudia kufanya mageuzi makubwa kwenye kilimo kwa kutoa bima kwa wakulima na...
By Faki SosiOctober 16, 2023Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imempa jukumu la kuwa mshauri wa masuala ya habari na uhusiano mtangazaji wa zamani wa BBC Salim...
By Faki SosiOctober 13, 2023SERIKALI ya Tanzania na Norway imesaini makubaliano ya kufanya utafiti utakaosaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Makubaliano hayo...
By Faki SosiOctober 11, 2023CHAMA cha Wanasheria Afrika Masharika (EALS) kimetoa wito kwa waandishi wa habari kusoma na kuzielewa sheria zinazoongoza sekta hiyo ili kuamka na kupaza...
By Faki SosiSeptember 9, 2023JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeeleza kuwa mojawapo ya sababu ya kuhamishwa Dk. Damas Ndumbaro kutoka Wizara ya Katiba na Sheria kuelekea wizara...
By Faki SosiAugust 31, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemsimisha uongozi Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Tabora, Lucas Kiberenge na wenzake kwa kushiriki kumuandalia mkutano...
By Faki SosiJuly 22, 2023CHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa Serikali na mjadala unaondelea Bunge kuhusu ushirikishwaji wa sekta binafsi kwenye ujenzi wa...
By Faki SosiMay 23, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuitisha kikao maalum cha Baraza la vyama hivyo...
By Faki SosiMay 7, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetoa wito kwa jamii kuhakikisha watoto wanalindwa ili kufikia malengo yao ikiwamo kutimiza ndoto ya kuwa viongozi imara kwa maslahi...
By Faki SosiMay 4, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwarejesha Watanzania wanaoshikiliwa na waliokutwa na makosa ya jinai katika mataifa ya nje. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...
By Faki SosiApril 26, 2023SERIKALI imesema kuwa Watanzania 200 waliokwama nchini Sudan wakati huu ambako taifa hilo likiwa kwenye machafuko wapo njiani kurejea nyumbani. Anaripoti Faki...
By Faki SosiApril 25, 2023MAHAKAMA nchini Tanzania imetoa wito kwa wadau wa mahakama kutumia mifumo ya Tehema ili kurahisha usikilizwaji wa mashauri na kuendana na kasi...
By Faki SosiApril 3, 2023WAKATI serikali ikiweka mikakati mbalimbali kuimarisha sekta ya kilimo ili kuwanusuru wananchi wake na baa la njaa, kampuni ya mbolea -Yara imezindua...
By Faki SosiMarch 28, 2023WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya Karibu Tanzania Organization ‘KTO’ na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imezidi kuchagiza...
By Faki SosiMarch 7, 2023WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula, ametoa wito kwa benki na taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya...
By Faki SosiFebruary 21, 2023HATIMAYE Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema, ametangaza kurejea nchini tarehe 3 Machi 2023. Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 2, 2023NDUGU wa Tarimo Nemes Raymond Raia wa Tanzania aliyefariki kwenye uwanja wa vita katika mji wa Bakhmut nchini Ukraine akipigana upande wa...
By Faki SosiJanuary 19, 2023ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini Tanzania imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na...
By Faki SosiJanuary 10, 2023ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na kwa...
By Faki SosiJanuary 10, 2023BARAZA la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni limetoa amri ya zuio ya ujenzi wa Kituo cha Afya eneo la Tegeta ‘A’...
By Faki SosiJanuary 4, 2023MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeiamuru Kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro kulipa fidia ya Sh. 300 milioni baada ya moja...
By Faki SosiDecember 21, 2022WAKATI lugha ya Kiswahili ikizidi kuenea dunia Kampuni ya vifaa vya ujenzi ya ALAF pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...
By Faki SosiDecember 15, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), Charles Meshack amesema iwapo hakutakuwa na hatua madhubuti katika utunzaji na...
By Faki SosiNovember 24, 2022WANANCHI wa vijiji vya Lulongwe kata ya Matuli na kijiji cha Mlilingwa kata ya Tununguo, Wilaya ya Morogoro mkoani humo, wamesema Mradi...
By Faki SosiNovember 22, 2022WAANDISHI wa Habari nchini wameaswa kuacha kuandika habari kusifia ilhali wananchi bado wanakabiliwa changamoto zinazokwamisha maendeleo yao. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...
By Faki SosiNovember 7, 2022SHIRIKA la Uzashaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa SUMAJKT imekabidhi jozi 500 za viatu vya wanafunzi kwa ajili ya kusaidia kampeni...
By Faki SosiNovember 4, 2022