Friday , 26 April 2024
Home danson
968 Articles61 Comments
Habari za Siasa

Chadema kumburuza DC Chemba mahakamani

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Chemba, Dodoma, umejipanga kwenda mahakamani kumfungulia kesi Mkuu wa Wilaya hiyo Samson Odunga,...

Habari Mchanganyiko

Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 45 kwa tuhuma mbalimbali pamoja na kukamata silaha, mali za wizi na madawa ya kulevya katika...

Habari za Siasa

Lissu azua kizazaa mahakamani Dodoma

MWANASHERIA wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu leo ametumia zaidi ya saa nne akiwa katika...

Habari Mchanganyiko

Viongozi, Wanachama CCWT wazidi kuvutana

BAADHI ya wajumbe na wanachama wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) wameendelea kuvutana na uongozi wa juu chama hicho wakitaka viongozi kuachia madaraka...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wazidi kuwahenyesha wapinzani

HALI ya kisiasa kwa vyama vya upinzani nchini inazidi kuwa mbaya kutoka na makada wa vyama hivyo kuendelea kukamatwa na kuswekwa rumande na...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya ulinzi watuhumiwa kwa wizi UDOM

KAMPUNI binafsi ya ulinzi la Stemo Security imedaiwa kujiingiza katika vitendo vya kiharifu badala ya kufanya kazi zake za ulinzi wa mali za...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea apandishwa kizimbani Dodoma

SAED Kubenea, Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), amefikishwa katika mahakama ya Wilaya ya Dodoma na kusomewa shtaka la kumshambulia mbunge Juliana Shonza...

Habari za Siasa

Mbatia alia na ajira mpya za walimu

JAMES Mbatia, Mbunge wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro (NCCR-Mageuzi), amesema kuwa tatizo la walimu nchini badoni kubwa sana kwa sasa tofauto na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa CCM anusurika kipigo bungeni

JULIANA Shonza, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) amenusurika kuangushiwa kipigo kikali na wabunge wa Chadema mara baada kuwatambia kuwa atahakikisha Halima Mdee, Mbunge...

Habari za Siasa

Mbunge wa Kibiti afunguka kuhusu mauaji

ALLY Seif Ungando, Mbunge wa Jimbo la Kibiti, mkoani Pwani amesema mapambano ya kudhibiti mauaji yanayoendelea jimboni kwake yanaweza kurahishishwa kwa serikali kupeleka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Miswada ya madini ‘kaa la moto’

MJADALA mkali umeibuka katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma siku ya leo wakati Kamati ya Bunge ya iliyoundwa na Spika Job Ndugai kujadili miswada...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai atangaza ‘kufa’ na Mdee, Bulaya

Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge, amejiapiza kutoruhusu wabunge wanaotumikia adhabu mbalimbali kurejea Bungeni hata kama wataenda kupinga suala hilo katika mamlaka zingine...

Habari za Siasa

Mbunge wa Chadema azua jambo

FRANK Mwakajoka, Mbunge wa Jimbo la Tunduma mkoani Songwe, amesababisha vicheko na miguno ndani ya ukumbi wa Bunge, mjini Dodoma, baada ya kuisifia...

Habari Mchanganyiko

Waliyoomba viwanja CDA kuponyeka

SERIKALI imesema kuwa kila mwananchi aliyeomba  kiwanja kwa iliyokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kuwa kiwanja chake hakitapotea baada ya mamlaka hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika acharukia hati ya dharura

MBUNGE wa Kibamba John Mnyika (Chadema) amepinga kitendo cha rais Dk.John John Magufuli kupeleka hati ya Dharura ya kupitisha mswada wa sheria ya...

Habari za Siasa

Wabunge wapewa chumba cha kunyonyeshea watoto

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewatengea wabunge wanawake wenye watoto eneo maalum la kunyonyeshea watoto wao ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Wanaobambikizia kesi wananchi kukiona

SELEMANI Jafo, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), amewataka wakuu wa mikoa na wilaya...

Habari Mchanganyiko

Mafisadi CDA kuisoma namba

WALIOKUWA wafanyakazi waandamizi wa iliyokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA), huenda wasipangiwe majukumu mapya katika idara na mamlaka za umma, iwapo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bashe adai mil. 200 za Magufuli

HUSSEIN Bashe, Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini, mkoani Tabora ameitaka Serikali kutoa kauli juu ya Sh. 200 milioni ambazo Disemba 2016, Rais...

Habari za Siasa

Mauaji Kibiti yagusa wabunge

MFULULIZO wa mauaji yanayoendelea wilayani Kibiti Mkoa wa Pwani yamewatikisa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuombaratiba ya leo...

Habari Mchanganyiko

Silinde awavaa matrafiki ‘wezi’

MSEMAJI wa Kambi Rasimi ya Upinzani Bungeni, wa masuala ya fedha na uchumi David Silinde, ameitaka serikali kuchukua hatua dhidi ya askari wa...

Habari za Siasa

Lissu awaburuza kortini Ndugai na Mkuchika

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amepeleka ombi katika Mahakama  Kuu Kanda ya Dodoma, akiomba kumshtaki Job Ndugai,...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai awabagua wapinzani, wamtolea uvivu

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewaagiza mawaziri kutopeleka fedha katika majimbo ya wapinzani kutokana na kuikataa bajeti kwa kupiga kura ya hapana, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Kiwanda chamuumbua Waziri Mwijage

SERIKALI imeendelea kupata kigugumizi juu ya ufufuaji wa kiwanda cha General tyre, kilichopo mkoani Arusha licha ya kutoa ahadi ya kukifufua kiwanda hicho...

Habari za Siasa

Heche atema cheche Dodoma

JOHN Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), amesema haogopi kuunganishwa katika kesi ya wananchi wa Tarime waliovamia mgodi wa North Mara kufuatia tamko...

Habari za SiasaTangulizi

Nape ataka ‘kina Lissu’ wasibezwe

NAPE Moses Nnauye, Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi, ameitaka serikali kutopuuza hoja na ushauri unaotolewa na wabunge wa upinzani kwani ushauri...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene awaonya ma-DC, ma-RC

GEORGE Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), amesema wakuu wa wilaya na mikoa wanatakiwa...

Habari Mchanganyiko

Wahalifu wanaotumia Bodaboda, Bajaji waongezeka Dar

PAMOJA na jitihada zinazofanywa na serikali, katika kuzuia uhalifu unaofanywa na baadhi ya waendesha bodaboda na bajaji, bado kundi hilo limeendelea kuwa tishio...

Biashara

Kaboyoka alipigia chapuo zao la tangawizi

MBUNGE wa Same Mashariki, Nagenjwa Kaboyoka (Chadema) ameitaka serikali kutoa kutangaza bei elekezi kwa wakulima wa tangawizi kutokana na wakulima wengi wa tangawizi...

Habari Mchanganyiko

Jaffo azitaka halmashauri kupima maeneo

SERIKALI imeziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinapima ardhi kwa lengo la kuondokana na migogoro ambayo ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali, anaandika Dany...

Habari za Siasa

Mdee airarua Bajeti

HALIMA James Mdee, Waziri kivuli wa Fedha na Mipango, na Mbunge wa Jimbo la Kawe (Chadema), amechambua mapendekezo ya bajeti ya serikali kwa mwaka...

Habari za Siasa

Halima Mdee kuliburuza Bunge mahakamani

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee amesema wanatarajia kwenda mahakamani kwa ajili ya kupinga uamuzi wa Bunge wa kuwasimamisha kwa kutohudhuria vikao vya bunge...

Habari za Siasa

Regina Lowassa awapa mbinu BAWACHA kuing’oa CCM

BARAZA la wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) wametakiwa kuungana na kuweka mipango mikakati ya nguvu ili kuhakikisha wanaiondoa CCM madarakani...

Habari za Siasa

Prof. Mkenda: Wanasiasa msitupelekeshe

PROFESA Adrof Mkenda, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, amewataka wanasiasa hapa nchini kuacha kuingilia masuala ya kitaalam yanayofonywa kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanafunzi 2,999 wakosa nafasi kidato cha tano

JUMLA ya wanafunzi 2,999 wamekosa fursa ya kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kati ya wanafunzi 96,018 waliochaguliwa, anaandika Dany...

Habari Mchanganyiko

Wabunge waichambua Bajeti

BAADHI ya Wabunge wamesema kitendo cha Bajeti ya Serikali kuondoa kodi kwenye mabango na ushuru wa mazao kinalenga kufifisha shughuli za maendeleo kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea aukataa mpango wa uchumi

MBUNGE wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema) ameiponda taarifa ya hali ya uchumi 2016 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha...

Habari za Siasa

Lukuvi azua mtafaruku ibada ya Ndesamburo

WILLIAM Lukuvi  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi amesababisha mtafaruku kwa muda mfupi baada ya kutinga kanisani na ving’ora vya jeshi la...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka amani ilindwe

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania waendelee kuliombea Taifa lidumu katika hali ya amani na utulivu, anaandika Dany Tibason. Majaliwa amesema suala la...

Habari za Siasa

Kubenea awalipua Mwakyembe, Mwambalasa

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo Saed Kubenea (Chadema) amewalipua Dk. Harrison Mwakyembe na Victor Mwambalasa kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanahusika katika kupitisha...

Habari Mchanganyiko

Madini kibao yagundulika Ukanda wa Pwani

SERIKALI imekiri kwamba kwenye Ukanda wa Pwani ya Tanzania kunapatikana madini ya aina mbalimbali ambayo ni barite, chokaa, chumvi, clay, dhahabu, flourite, jasi,...

Habari za Siasa

Mgogoro Poli Tengefu la Loliondo wadumu miaka 25

MBUNGE wa Viti Maalum, Catherine Magige (CCM) amehoji kuhusina na ni lini serikali itatatua mgogoro wa Pori Tengefu la Loliondo uliodumu zaidi ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali wagoma kuifuta kodi ya umiliki wa vyombo vya moto

SERIKALI imesema ada ya mwaka ya Magari (Annual Motor Vehicle Lincese Ownership Fees) inatozwa kwa wamiliki wa vyombo vya moto kwa mujibu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai amtupa ‘jela’ Mnyika, Wapinzani wasusa

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameamuru askari wa Bunge wamtoe nje, John Mnyika, Mbunge wa Kibamba na iutohudhuria vikao saba la bunge hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali haimjui aliyebuni Nembo ya Taifa

SERIKALI imesema mpaka sasa haijafahamika ni nani aliyebuni nembo ya taifa tofauti na ilivyokuwa ikijulikana kuwa aliyebuni nembo hiyo ni Francis Ngosha (80)...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe aelezea Ndesambulo alivyofariki

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupokea kwa mshutuko mkubwa wa kifo cha Muasisi wa chama hicho na mbunge wa mstaafu wa jimbo...

Habari za Siasa

Kubenea amtoa jasho Mwijage bungeni

WAZIRI wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji,Charles Mwijage alijikuta katika wakati mgumu baada ya kushindwa kujibu swali la nyongeza la Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea...

Habari za Siasa

Serikali kurudisha viwanda vyake kutoka kwa wawekezaji

SERIKALI, iko mbioni kuvirejesha serikalini viwanda vyake vinane vilivyokuwa vinaendeshwa na wawekezaji, anaandika Dany Tibason. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa...

Habari Mchanganyiko

Sumatra waingia kwenye shutuma nzito

MBUNGE wa Buyungu, Mwalimu, Bilago Kasuku (Chadema) ameibana serikali na kuitaka ieleze ni kifungo gani cha sheria kinaipaMamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi wanaichonganisha serikali na wananchi

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) Suleiman Jafo amewaambia wakandarasi kutotimiza wajibu...

error: Content is protected !!