Sunday , 12 May 2024

Maisha

Maisha

Afya

Serikali yazitoa kifungoni hospitali za Marie Stopes

SERIKALI imeruhusu hospitali na zahanati za Shirika la Marie Stopes kuendelea kutoa huduma baada ya kufungiwa wiki kadhaa zilizopita kutokana na kukiuka miongozo...

Afya

Serikali yaonya madaktari

MADAKTARI nchini wamepigwa marufuku kuandika dawa za wagonjwa kwa kutumia majina ya kampuni kwa kuwa kitendo hicho kinasababisha baadhi ya wagonjwa kukosa dawa.Anaripoti...

Elimu

Prof. Ndalichako amuitia Takukuru mkuu wa chuo

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amemtaka Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Diwani Athuman kutuma wataalamu...

Afya

Hospitali binafsi yapewa mwezi mmoja kupungua bei ya matibabu

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameuagiza uongozi wa Hospitali ya Dini ya St.Francis kupunguza gharama za matibabu...

Afya

Serikali yanunua mashine 10 za X-ray

MASHINE kumi za mionzi (digital X-ray) zenye thamani ya Sh. 1.74 bilioni zimenunuliwa na serikali kwa ajili ya kuboresha huduma za afya nchini....

Elimu

Necta wafuta matokeo ya darasa la saba

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limefuta matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wa mwaka 2018 katika shule zote za msingi...

Afya

Hospitali zote zatakiwa kuonesha vipindi vya Afya

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya , Maendelo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka Waganga Wakuu wa Mikoa na Waganga Wafawidhi kuonesha vipindi...

Afya

Majaliwa apiga marufuku dawa mbadala

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali itadhibiti matumizi mabaya ya baadhi ya dawa za hospitali na kemikali zinazowekwa katika vyakula, ambazo hutumiwa kama...

Elimu

Waliosambaza vitabu feki watimuliwa kazi

WATUMISHI takribani 29 wa Taasisi ya Elimu nchini (TIE) wamesimamishwa kazi na kufunguliwa mashtaka ya kinidhamu kutokana na sakata la baadhi ya vitabu...

Elimu

NECTA yabadili mfumo mtihani darasa la saba

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde amesema kuwa kuanzia mwaka huu muundo wa mtihani ya darasa la...

Afya

Wizara ya Afya yaikomalia Ebola mipakani

MGANGA Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari Kambi ameongoza timu ya wataalam wa Afya kutoka Wizara ya Afya na Shirika la Afya Duniani...

Elimu

Ummy aingilia kati Mwalimu kumpiga mwanafunzi mpaka kufa

TUKIO la Mwalimu Respecious Patrick wa Shule ya Msingi Kibeta, iliyoko Bukoba mkoani Kagera anayedaiwa kumwadhibu mwanafuzi  Sperius Eradius, na kupelekea mwanafunzi huyo...

Elimu

Prof. Ndalichako: Mwalimu kumuua mwanafunzi ni bahati mbaya

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa kitendo cha Mwalimu kumpiga mwanafunzi hadi kufa ni cha bahati mbaya. Anaripoti Khalifa...

AfyaTangulizi

Viongozi wadini wapewa kazi kudhibiti Ebola

VIONGOZI wa dini zote wametakiwa kushirikishwa kwenye maandalizi ya mapambano ya ugonjwa wa ebola ambao umetaatifiwa upo nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia...

Afya

Serikali yatenga Bil. 30 kukarakabati hospitali za Rufaa

SERIKALI imetenga Sh. 30 bilioni kwa ajili ya kujenga na kukarabati miundombinu ya hospitali za Rufaa za Mikoa kila mkoa ili kuweza kuwawezesha...

Afya

Serikali yapanga mikakati ya kuzuia Ebola

SERIKALI kupitia Wizara ya Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yaendelea kuweka mikakati thabiti katika maeneo yote hatarishi ikiwemo mipakani na...

Afya

Upandikizaji figo wazidi kufanikiwa Muhimbili

IDADI ya wagonjwa waliofanyiwa huduma ya kupandikizaa figo katika hospitali ya Taifa Muhimbili imefikia 19 tangu kuanzishwa kwa huduma hiyo mwaka 2017. Anaripoti...

AfyaTangulizi

Serikali yatangaza uwezekano wa Ebola kusambaa kwa kasi

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonesha...

Elimu

China kuwasomesha wataalam wa gesi

SERIKALI ya China imetoa ufadhili kwa wanafunzi 20 kutoka nchini Tanzania kwa ajili ya kwenda China kusoma masuala yahusuyo mafuta na gesi. Anaripoti...

Afya

Wajawazito wahimizwa kupima Ukimwi

AKINA Mama wajawazito wametakiwa kuwahi kliniki mara wanapohisi wana ujauzito na kufuata ushauri wa wataamu wa afya ili kuwakinga watoto wanaotarajia kujifungua dhidi...

Elimu

Mtandao wa Wanafunzi waipongeza TCU

MTANDAO wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) umetoa shukrani kwa Tume ya Vyuo Vikuu  (TCU) kwa kukubali ushauri wao wa utaratibu mpya wa wanafunzi wa...

Elimu

TCU waanzisha mfumo mpya kwa wanafunzi wapya

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kuwa na mfumo mpya wa kielektroniki utakomwezesha mwanafunzi kuthibitisha chuo anachokwenda kusoma baada ya kuchaguliwa na...

Afya

Serikali kuwatibu wagonjwa damu nchini

SERIKALI ya Tanzania imesema inafanya mkakati wa kuhakikisha watanzania wote wanaougua magonjwa ya damu watibiwe ndani ya nchi kwa kujengea uwezo hospitali zote...

AfyaTangulizi

Serikali yatangaza tahadhari ya uwepo wa ugonjwa wa Ebola

UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, amewataka watanzania kuchukua tahadhari ya hali ya juu ili kujikinga na...

Afya

Wanawake wanaotumia uzazi wa mpango waongezeka

SERIKALI kupitia Wizara ya Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa idadi ya wanawake wanaotumia huduma za Afya za Kisasa...

Elimu

Prof. Ndalichako aendeleza makali yake

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amelitaka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kuvifungia vyuo visivyokidhi vigezo hasa...

Afya

Utumiaji maji safi na salama, kinga kubwa ya kipindupindu

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesisitiza jamii ya Tanzania juu ya utumiaji wa maji safi na...

Elimu

Serikali kuinadi Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima

PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, amesema Serikali imejipanga kuandaa na kutoa mafunzo ya uwezeshaji wa programu za kisomo na...

Afya

Wizara ya Afya kufanya udahili wa wanafunzi

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, inatarajia kufanya udahili wa wanafunzi kwa asilimia 100 kutoka wanafunzi 150...

Afya

Serikali yasisitiza wajawazito kutibiwa bure

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesisitiza kuwa huduma za uzazi kwa wajawazito zinatolewa bila ya malipo...

Afya

Gonjwa hili, Ukimwi haugusi

UPUNGUFU wa Kinga Mwilini (Ukimwi) ndio unaoonekana kuwa tishio lakini Ugonjwa wa Homa ya Ini unatajwa kuuwa Ukimwi na hata Kifua Kikuu. Anaripoti...

Afya

Upasuaji wa kifua wafanikiwa JKCI

WATOTO tisa wenye umri kuanzia miezi mitatu hadi 17 wamefanyiwa upasuaji wa kufungua kifua na Madaktari Bingwa wa upasuaji wa Moyo kwa watoto wa...

Afya

Rais Magufuli apongezwa  

SERIKALI inayoongozwa na Rais John Magufuli imepongezwa kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa kutoa na kuchukua hatua hasa katika magonjwa ya mlipuko. Anaandika Khalifa...

AfyaBusiness

Mkoa wako umeshika nafasi ipi maambukuzi ya VVU? Soma hapa

TUME ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imeeleza kuwa, Virusi Vinavyosababisha Ukimwi (VVU) vinaendelea kusambaa na kwamba, wananchi wanapaswa kuwa na tahadhari. Anaripoti...

ElimuTangulizi

NECTA watangaza matokeo ya kitado cha sita

BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya kidato cha sita leo Julai 13 na kuzitaja shule zilizoshika mkia kuwa ni pamoja...

ElimuTangulizi

Nondo aibua kikwazo mikopo Chuo Kikuu

MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Nchini (TSNP), Abdul Nondo amekitaja kikwazo kingine kwenye mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu ni Wakala wa Usajili,...

Afya

Tamisemi wapokea magari ya sekta ya Afya

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imekabidhiwa msaada wa magari sita na shirika la USAID Global Health Supply...

Afya

Watoto wenye ulemavu waomba Bima ya Afya bure

WAZAZI na walezi wenye watoto walemavu wa akili na viungo nchini wameiomba Serikali kuwakatia Bima ya Afya kwa ajili ya matibabu ya watoto...

Afya

Serikali yamwaga ajira sekta ya Afya

SERIKALI imetoa ajira mpya za watumishi kada za afya katika Mamlaka za serikali za Mitaa  (TAMISEMI) 6180 kwa mwaka wa fedha 2018/19. Anaripoti...

Afya

Tacaids watoa somo kwa wanahabari

TUME ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imeanza kutoa mafunzo kwa wanahabari wa vituo vya radio Jamii ili kuweza kusaidia kampeni ya...

Elimu

Wanafunzi UDSM waandamana

WANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameandamana usiku huu kutoka kampasi kuu ya Mlimani mpaka mabweni ya Mabibo, wakisherekea ushindi wa rais...

Elimu

Idadi wanafunzi waliopewa ujauzito na madereva bodaboda utata

SERIKALI imesema kuwa ni vigumu kupata idadi ya wanafunzi waliopewa mimba ba madereva wa pikipiki maafuru kwa madereva wa bodaboda. Anaripoti Dany Tibason...

AfyaTangulizi

Vifaa tiba visivyofaa vyakamatwa mitaani

SERIKALI imesema kuwa imefanikiwa kukamata vifaa mbalimbali ambavyo ni dawa na vifaa tiba ambavyo havifai kwa matumizi ya binadamu, katika vituo vya tiba...

ElimuTangulizi

Wanachuo waaswa kutotegemea kuajiriwa na Serikali

VIJANA wengi wanaomaliza elimu ya juu wanatakiwa kuachana na fikra za kutaka kuajiriwa na serikali na badala yake wafikirie kutumia elimu yao kwa...

Elimu

Shule, Vyuo binafsi walalamikiwa rushwa ya ngono

SERIKALI imesema kuwa baadhi ya Mameneja, Wakurugenzi pamoja na wamiliki wa shule binafsi na vyuo wanalalamikiwa kwa vitendo vya rushwa ya ngono hasa...

Elimu

Mawakala wa elimu watoa ufafanuzi wa udhamini

KAMPUNI ya Mawakala wa Elimu Solution Ltd, imetoa ufafanuzi jinsi wanavyo wadhamini wanafunzi wa vyuo vikuu, wajasiliamali, na wafanyakazi kwenda kusoma nchini China,...

Elimu

Rais wa DARUSO alikoroga UDSM

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamemtuhumu Rais wa serikali yao, kwa kukiuka katiba na kutumia nafasi yake kufanya mambo...

Elimu

Bodi ya Mikopo ‘uvungu kwa uvungu’ na waajiri

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HESLB), imetangaza vita dhidi ya waajiri hapa nchini ikiwamo wale wa serikali ili...

Afya

Unicef yalilia maisha ya watoto waliozaliwa Mwaka Mpya

IKIWA ndani ya mwaka mpya watoto 48,000 wamezaliwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini shirika la watoto duniani Unicef limezisihi nchi za ukanda...

Afya

Uhaba wa vitanda watesa wachangia damu

MPANGO wa Damu Salama, unakabiliwa na uhaba wa vitanda kwa vinavyotumiwa na watu wanaofika hapo kwa ajili ya kuchangia damu kwa hiari, anaandika...

error: Content is protected !!