Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Wanafunzi UDSM waandamana
Elimu

Wanafunzi UDSM waandamana

Spread the love

WANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameandamana usiku huu kutoka kampasi kuu ya Mlimani mpaka mabweni ya Mabibo, wakisherekea ushindi wa rais wao mpya. Anaripoti Charles William … (endelea).

Nhonya Haroun Stanley ndiye rais mteule wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, DARUSO ambapo amechaguliwa katika uchaguzi uliofanyika leo Jumatano chuoni hapo.

Haroun amewaangusha wapinzani wake Frank Isack na Matulanya Evarist katika uchaguzi uliojaa mvutano mkali huku Loveness Nkya akimuangusha Suzan Zabron katika nafasi ya makamu wa rais wao DARUSO.

Zaidi ya wanafunzi 5,000 walijitokeza kupiga kura.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!