Sunday , 3 December 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Wanafunzi UDSM waandamana
Elimu

Wanafunzi UDSM waandamana

Spread the love

WANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameandamana usiku huu kutoka kampasi kuu ya Mlimani mpaka mabweni ya Mabibo, wakisherekea ushindi wa rais wao mpya. Anaripoti Charles William … (endelea).

Nhonya Haroun Stanley ndiye rais mteule wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, DARUSO ambapo amechaguliwa katika uchaguzi uliofanyika leo Jumatano chuoni hapo.

Haroun amewaangusha wapinzani wake Frank Isack na Matulanya Evarist katika uchaguzi uliojaa mvutano mkali huku Loveness Nkya akimuangusha Suzan Zabron katika nafasi ya makamu wa rais wao DARUSO.

Zaidi ya wanafunzi 5,000 walijitokeza kupiga kura.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

Spread the loveCHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

Spread the love MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi...

Elimu

Janeth Mbene apongeza HKMU, ataka wahitimu wajiajiri

Spread the loveWAHITIMU wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), ...

error: Content is protected !!