Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Maisha Elimu NECTA watangaza matokeo ya kitado cha sita
ElimuTangulizi

NECTA watangaza matokeo ya kitado cha sita

Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde
Spread the love
BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya kidato cha sita leo Julai 13 na kuzitaja shule zilizoshika mkia kuwa ni pamoja na ya wasichana ya Jangwani, ya Jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). 

Shule nyingine zilizoshika mkia ni Forest ya (Morogoro), Jang’ombe, St James, Kilolo,(Iringa),  White Lake,(Dar es Salaam) Aggrey,(Mbeya), Nyailigamba,(Kagera) Musoma Utalii, (Mara)  Ben Bella(Mjini Magharibi) na Golde Ridge(Geita).

Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde, Mjini Zanzibar.

Kuangalia matokeo kamili ingia hapa 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!