Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Prof. Ndalichako: Mwalimu kumuua mwanafunzi ni bahati mbaya
Elimu

Prof. Ndalichako: Mwalimu kumuua mwanafunzi ni bahati mbaya

Spread the love

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa kitendo cha Mwalimu kumpiga mwanafunzi hadi kufa ni cha bahati mbaya. Anaripoti Khalifa Abdallah … (endelea).

Ndalichako amesema Serikali haijamtuma Mwalimu huyo kufanya tukio hilo hivyo watu wasichukulie tukio hilo kudhani kuwa shule ni sehemu ambayo si salama.

Amesema ikiwa siku moja baada ya kifo cha Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Kibeta mkoani Kagera kutokea huku ikidaiwa kuwa kilitokana na kipigo cha Mwalimu aliyemtuhumu kwa kumuibia pochi yake lake.

Aidha amewataka Watanzania wawe na amani na utulivu katika kipindi hiki ambacho serikali inafanya kazi yake.

“Aliyefanya hivyo hajatumwa na serikali, nawaambia shule ni sehemu salama kwa namna yoyote asitokee mtu akawafanya wazazi wahofie kuwapeleka shule watoto wao,”amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

Spread the love  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara,...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

Spread the love  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari...

Elimu

Shule ya Alpha yazindua mfumo wa kugundua vipaji vya watoto

Spread the love  SHULE ya Sekondari ya Alpha ya jijini Dar es...

error: Content is protected !!