Friday , 17 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Bunge: Serikali ifanye tathimini maombi ahirisho la madeni

  SERIKALI imeshauriwa kufanya tathimini ya kina kabla ya kuomba ahirisho la kulipa madeni ya Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Serikali...

Tangulizi

Mbunge: Dk. Mwigulu unafeli wapi? futa leseni hizi

MBUNGE wa Mbogwe, Nicodemas Maganga (CCM) leo Jumanne amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kutumia mamlaka aliyonayo kuzifutia leseni benki...

Habari za Siasa

Wizara ya fedha waomba bajeti Sh trilioni 14

  WIZARA ya Fedha na Mipango, imeliomba Bunge lipitishe bajeti ya Sh. 14.94 trilioni, kwa ajili ya matumizi yake katika mwaka wa fedha...

Makala & Uchambuzi

Mambo yanayombeba Rais Samia kimataifa

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres aliwahi kusema; “Ushirikiano wa kimataifa na diplomasia vimethibitisha kuwa na faida na huduma...

Habari za Siasa

Kamati yashauri akaunti jumuifu kuanzishwa haraka

  SERIKALI imeshauriwa kuanzisha “mara moja” akaunti jumuifu kwaajili ya ukusanyaji wa mapato ya muungano ili kuondokana na kero za Muungano katika suala...

Habari za Siasa

Trilioni nane zahudumia deni la Taifa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema hadi kufikia Aprili 2022, imetumia kiasi cha Sh. 8.0 trilioni, kati ya Sh. 10.6 trilioni, ilizopanga kugharamia deni...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Waziri Mkuu Uingereza aponea kung’olewa

  WAZIRI mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aponea chupu chupu kuondoka madarakani, kufuatia kura ya kutokuwa na imani naye kushindwa kufaulu. Anaandika Mwandishi...

Habari za Siasa

Bunge lataka Ofisi Msajili wa Hazina kuongezewa fedha

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeishauri Serikali kuiongezea fedha fungu maalumu Ofisi ya Msajili wa Hazina ili iweze kulipa madeni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkuu wa Majeshi Tanzania kustaafu

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo, anatarajia kumaliza utumishi wake ndani ya jeshi hilo, mwishoni mwa Juni, 2022. Anaripoti Mwandishi...

Tangulizi

COSOTA kukusanya, kugawa mirabaha ya Bil. 1.3/- mwaka 2022/23

  TAASISI ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) inatarajia kukusanya mirabaha yenye thamani ya Sh.1.3 bilioni na kuigawa kwa wabunifu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za Siasa

CCM yakabidhi miradi ya maji kwa viongozi wa dini

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeikabidhi miradi ya maji ya miji 28, kwa viongozi wa dini, ikitaka iwaombee watu watakaohusika katika utekelezaji wake...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Adhabu mbadala, utaratibu watuhumiwa kujidhamini waja

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wizara yake inakwenda kuufumua mfumo wa jinai, ili kuangalia namna ya kupunguza msongamano wa...

HabariMichezo

Rais Samia awamwagia pongezi Serengeti Girls

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Timu ya Taifa hilo ya soka la Wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kwa...

HabariHabari za Siasa

Wabunge wakumbushia ahadi za JPM bungeni

WABUNGE wameikumbusha Serikali kuhusu utekelezaji wa ahadi za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, ya kutoa fedha kwa ajili ya...

Tangulizi

Kauli ya Nape yamuibua Membe

WIKI moja baada ya mwanasiasa nguli nchini, Benard Membe kurejea rasmi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu alipofukuzwa mwaka 2020, hatimaye ameeleza...

HabariMichezo

Tanzania yatinga kombe la Dunia kwa mara ya kwanza

  TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya umri wa miaka 17, (Serengeti Gilrs), imefanikiwa kutinga kwa mara ya kwanza kwenye fainali za...

Habari za Siasa

Majaliwa akemea utiririshaji maji machafu, atoa maagizo 15

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekemea tabia ya utiririshaji wa maji machafu na majitaka kutoka viwandani na kwenye migodi kwani inachangia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukatili: Mke adaiwa kuuawa na mumewe, kiwiliwili chatenganishwa, viungo vyatawanywa

  KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, mkazi wa kitongoji cha Lubela, mtaa wa Nyashimbi kata ya Mhongolo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waibua hoja sita bodi ya mikopo

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania imebuka na hoja sita dhidi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwaikali avuliwa hadhi ya Uaskofu

  KANISA la Kiinjili la Kulutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu, Dk. Edward Mwaikali aliyekuwa askofu wa Dayosisi...

HabariMichezo

Uchebe azua hofu kurejea Simba, alia upweke

KOCHA mkuu wa klabu ya AFC Leopards inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya, Patrick Aussems maarufu kama ‘Uchebe’ ameondoka nchini humo kabla ya msimu...

HabariMichezo

Lacazette aaga Arsenal, awaachia ujumbe mzito

MSHAMBULIAJI matata wa Arsenal, Alexandre Lacazette amewaachia ujumbe mzito mashabiki wa timu hiyo ya Ligi Kuu England baada ya klabu hiyo kutangaza kuwa...

HabariMichezo

Antonio Rudiger atua Real Madrid

BEKI matata kutoka Ujerumani, Antonio Rudiger amekamilisha uhamisho wake kutoka Chelsea kuelekea Real Madrid. Tarehe 2 Juni, 2022 The Blues walimuaga Rudiger baada...

HabariKimataifa

Mkuu Umoja wa Afrika amwangukia Putin, ‘Afrika ndio wahanga’

MWENYEKITI wa Umoja wa Afrika (AU), Macky Sall ambaye pia ni Rais wa Senegal amemtaka Rais wa Urusi, Vladimir Putin kuchukua hatua kutoka...

Habari

ARU yabuni teknolojia ya ujenzi rafiki kwa mazingira

CHUO Kikuu Ardhi (ARU), kupitia Taasisi yake ya Utafiti ya Nyumba wamebuni teknolojia ya ujenzi wa gharama nafuu kwa kutumia matofali  ambayo ni rafiki...

Habari za Siasa

Chongolo akemea upendeleo serikalini

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Daniel Chongolo amekemea tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali kupanga watumishi wa...

Makala & Uchambuzi

CAG apewe ulinzi atake asitake

  FIKIRIA unarudi nyumbani kwako, unakutana na kisanga cha vijana wawili wameraruriwa na mbwa wako, na wako taabani. Unauliza unaambiwa ni vibaka wameruka...

Habari MchanganyikoTangulizi

‘Tattoo’ zazua mtafaruku sh Dar

  HOFU imetanda kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mtongani, kata ya Kunduchi, Kinondoni, Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya wanafunzi wake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uamuzi Askofu mteule KKKT Konde kusimikwa kujulikana leo

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya leo Ijumaa tarehe 3 Juni 2022, inatarajia kutoa uamuzi wa kupinga Askofu mteule, Geofrey Mwakihaba...

Tangulizi

Utalii wa faru weupe kuanzishwa hifadhi za Burigi-Chato, Mikumi

WAZIRI wa Mali Asili na Utalii, Dk. Pindi Chana amesema katika kupanua wigo wa utalii na mapato, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania...

Tangulizi

TANAPA kutumia teknolojia kuimarisha ulinzi, usimamizi wa hifadhi

  SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linatarajia kuimarisha ulinzi na usimamizi wa hifadhi kwa kuboresha matumizi ya sayansi na teknolojia. Anaripoti...

Habari za Siasa

Shaka awakomalia viongozi Mtwara

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameziagiza mamlaka husika kuhakikisha mradi wa maji...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile ampongeza January, amtishwa “mfupa wa LNG”

  MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma (CCM), Mariam Ditopile amemtaka Waziri wa Nishati, January Makamba kuwa makini na Mardi wa Gesi...

Habari za Siasa

Maige ahoji sababu Tanzania kushindwa kugundua mafuta

  MBUNGE wa jimbo la Uyui nchini Tanzania, Almasi Maige, amehoji sababu ya Tanzania kushindwa kupata nishati ya mafuta licha ya kuwa na...

Habari za Siasa

Chongolo ampe maagizo mbunge wake

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amemtaka Mbunge wa Itilima, Njelu Silanga kuwawezesha wakulima wa jimbo hilo kuhakikisha kila...

Habari za Siasa

CCM yatoa siku 30 vigogo maliasili na utalii

  WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania imepewa mwezi mmoja (siku 30) ihakikishe watendaji wake wa wanaohusika na wanyamapori wawe wamefika Meatu...

Tangulizi

Wananchi Ngara waonywa kutouza ardhi kiholela

  WANANCHI wa Wilayani Ngara Mkoa wa Kagera nchini Tanzania wametakiwa kuacha kuuza ardhi kiholela na kuepuka kulima kwenye vyanzo vya maji. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Ndugulile aendelea ‘kulilia’ vivuko Kigamboni

  MBUNGE wa Kigamboni jijini Dar es Salaam kupitia chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Faustine Ndugulile amesema, kilio cha...

Habari za Siasa

Sabaya abubujikwa machozi, amwangukia Rais Samia

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya amebubujikwa machozi mahakamani wakati akimwomba Rais Samia Suluhu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mashtaka mapya 7 ya Sabaya na wezake, mvutano waibuka

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari za Siasa

REA sasa kusambaza gesi asilia vijijini

  KUTOKANA na ukubwa wa gharama za miundombinu ya usambazaji wa gesi asilia, Kampuni ya Mandeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Wakala wa...

Makala & Uchambuzi

Simba, Yanga kuingia kwenye presha za usajili

  WAKATI msimu wa mashindano wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kombe la Shirikisho ukienda ukingoni, vigogo wa soka nchini klabu...

Habari za Siasa

Mfumo kuzuia upotevu wa mafuta wakati wa upakuaji mbioni

  SERIKALI ipo mbioni kuanza matumizi ya teknolojia ya kisasa katika shughuli za upakuaji mafuta kutoka kwenye meli ili kuepuka udanganyifu na upotevu...

HabariMichezo

Rasmi Pogba aondoka Manchester United

  KLABU ya Manchester United imeachana rasmi na kiungo wake Paul Pogba, mara baada ya kumaliza mkataba wake ndani ya klabu hiyo ambayo...

Habari za Siasa

Mradi wa Umeme Rufiji kutumia asilimia 51 ya bajeti nzima ya Nishati

SERIKALI imetenga Sh 1.44 trilioni katika mwaka wa fedha 2022/23 kwaajili ya kutekeleza kazi mbalimbali kwenye mradiMradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji...

Habari za Siasa

Mbowe azungumzia Rais Samia kutinga uzinduzi kitabu cha Sugu

  MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mboiwe, amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuzindua kitabu cha msanii mkongwe wa muziki wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia akemea magari ya Serikali kubeba mikaa, ‘sombasomba’

  RAIS Samia ameuagiza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kushirikiana na TAMISEMI kuhakikisha magari 123 yaliyogawiwa kwa mfuko huo na Halmashauri, hayatumiki...

Habari za Siasa

Vipaumbele 12 vya Makamba Wizara ya Nishati

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amekuja na vipaumbele 12 katika utekelezaji wa bajeti ya mwkaa 2022/23. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)...

Habari za Siasa

Serikali yaja na waratibu wa umeme vijijini kila jimbo

  KATIKA kuimarisha usimamizi wa miradi ya kupeleka umeme vijini, Serikali imesema inakwenda kuajiri waratibu wa miradi ya umeme vijijini kwa kila jimbo....

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya apandishwa tena kortini

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya leo Jumatano tarehe 1 Juni 2022, amepandishwa katika...

error: Content is protected !!