Sunday , 28 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waandika barua hospitali aliyotibiwa shahidi, wajibiwa

  PETER Kibatala, Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Spika Tulia anazungumza na waandishi

  LEO Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022, Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson anazungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atoa salamu za Valentine

  LEO Jumatatu tarehe 14 Februari 2022 ni siku ya wapendao ‘Valentine Day’ na ndani ya chumba cha Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa atoa maagizo mazito TARURA

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wahandisi wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) kusimamia miradi kwa weledi, uadilifu na uaminifu huku wakizingatia ubunifu...

HabariTangulizi

Dk. Mpango awatwisha zigo mawaziri 5 uharibifu Bonde la Ihefu

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewaagiza mawaziri watano kuelekea katika Bonde la Ihefu na kufanya tathmini ya uharibifu wa mazingira katika...

HabariTangulizi

Prof. Lipumba awaangukia aliowakwaza mgogoro wake na Maalim Seif

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa  Ibrahim Lipumba amewaomba radhi watu aliowakwaza katika mgogoro wake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama...

HabariTangulizi

Zungu apitishwa bungeni kwa 98.35%, atoa ujumbe Uchaguzi 2025

  NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu, amewaeleza wabunge kuwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, uko mbioni hivyo washirikiane kutekeleza miradi ya Serikali....

BurudikaTangulizi

Rais Samia: Serikali itagharamikia matibabu ya Profesa Jay

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, kuanzia sasa Serikali itagharamia matibabu yote anayopata aliyekuwa Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule maarufu...

Tangulizi

Spika Tulia awapa kipimo cha mavazi wabunge

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewakumbusha wabunge kuzingatia uvaaji wa mavazi yanayoruhusiwa kikanuni na kuwa tayari kwa jambo lolote...

HabariTangulizi

Rais AfDB azuru kaburi la Hayati Magufuli

RAIS wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Daktari Akinwumi Adesina, amezuru katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Magazeti ya MwanaHALISI, Mawio, Tanzania Daima na Mseto yafunguliwa

  SERIKALI ya Tanzania imeyafungulia magazeti manne yaliyofungiwa ya MwanaHALISI, Mseto, Tanzania Daima na Mawio. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Tangulizi

Rais Samia kufanya ziara Ufaransa, Ubelgiji

  RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajia kuondoka nchini kuelekea Ufaransa na baadaye Ubelgiji kwa ajili ya ziara ya kikazi katika nchi hizo. Anaripoti...

Tangulizi

Wawa: Hatutacheza kwa presha dhidi ya ASEC

  BEKI wa kati wa klabu ya Simba, Raia wa Ivory Coast Pascal Wawa, amefunguka kotocheza kwa presha kwenye mchezo wa michuano ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi adai kuumwa, mahakama yataka uthibitisho

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

HabariTangulizi

Mabula aapishwa kumrithi Lukuvi

  WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula ameapishwa kushika wadhifa huo ambao awali ulikuwa chini ya Wiliam Lukuvi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wahoji jalada kufunguliwa bila maelezo

  TUMAIN Swila, Shahidi wa 13 wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu amedai wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Askari polisi adai haina maslahi binafsi

  MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Inspekta Swila akana kuwa mpelelezi wa kimkakati

  MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai uhamisho wake wa muda kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama: Makonda atangazwe gazetini, nyumbani kwao

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni leo Jumanne tarehe 8 Februari 2022, imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mpelelezi abanwa sababu msaidizi wa Sabaya kuachwa huru

  MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai Justine Kaaya,  aliyekuwa msaidizi wa Lengai Ole Sabaya, akiwa Mkuu wa Wilaya ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia azuru kaburi Mwalimu Nyerere

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 7 Februari 2022 amezuru kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere nyumbani kwake Butiama mkoani...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge CCM wachuana kumrithi Dk. Tulia

  WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameanza kujitosa kuchukua fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea nafasi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bobali atua ACT-Wazalendo, Nkumbi arejea CUF

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Wananchi (JUVICUF), Hamidu Bobali, amejiunga na ACT-Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba awaita vigogo ACT-Wazalendo, awaahidi vyeo

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amewaita wanachama wa chama hicho waliokimbilia ACT-Wazalendo, warejee ili waweze kuchukua nafasi za...

Habari za SiasaTangulizi

Mfungua jalada la kesi aeleza walivyomnasa Mbowe

  MKAGUZI wa Polisi, Tumaini Swila (46), amedai aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Ramadhani Kingai, alimuagiza...

Habari za SiasaTangulizi

Kaka wa Lissu atambulishwa kama mgeni kesi kina Mbowe

  WAKILI maarufu Alute Mughwai Lissu, kaka wa kiongozi wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu ametambulishwa mahakamani kama...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo ACT-Wazalendo kurejea CUF

  BAADHI ya vigogo na wanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, wanaodaiwa kutoridhika na mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hicho, wako mbioni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Kubenea: Makonda kusakwa

  MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

HabariTangulizi

Serikali yataja sababu tatu mkanganyiko mgawo wa umeme

WIZARA ya Nishati imesema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza mgawo wa umeme usiwe mkali, wizara ilikaa na watalaam wake na kupata...

Tangulizi

Serikali kusaka vijana wenye vipaji mtaa kwa mtaa

  SERIKALI imepanga kuanza kupita kila kijiji, mtaa, wilaya, halmashauri na mkoa kusaka vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ili kuwasaidia. Anaripoti Kelvin...

KitaifaTangulizi

TLS yalia Serikali kutumia mawakili wa nje, kuwaunganisha

  CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeishauri Serikali ya Tanzania iwatumie mawakili wazawa, ili kuwaongezea ujuzi na kupunguza gharama. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

#LIVE: Rais Samia ashiriki kilele siku ya sheria

  LEO Jumatano tarehe 2 Februari 2022 ni kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mgeni rasmi kwenye...

Tangulizi

Shaka atoa agizo wizara ya maliasili kunusuru wananchi

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi( CCM), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameiagiza Wizara ya Maliasili...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kilichowakimbiza Lissu, Lema Tanzania chatajwa

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Goodbless Lema, wanadaiwa kwenda kuishi uhamishoni...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Tulia aibuka kidedea Uspika, azoa kura zote

  MBUNGE wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson (CCM) ameibuka kidedea katika nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

Luteni Urio awa mbogo kwa Kibatala baada ya kudai yuko kizuizini 

  SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis Urio amemtaka...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania

  LEO Jumanne, tarehe 1 Februari 2022, Bunge la Tanzania linafanya uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Tulia ajiuzulu U-naibu Spika

  DAKTARI Tulia Ackson, ametangaza kujiuzulu nafasi ya naibu spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Taarifa ya kujiuzulu...

Habari za SiasaTangulizi

Fedha za Mbowe kufadhili ugaidi zaibua mkanganyiko

  FEDHA kiasi cha Sh. 699,000, zinazodaiwa kutolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe mwaka 2020 kwa ajili ya kufadhili vitendo vya kigaidi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi wavunja ukimya utata askari aliyejinyonga mahabusu

  JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu utata wa tukio la kujinyonga hadi kufa kwa Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Grayson Mahembe...

Habari za SiasaTangulizi

Luteni Urio: Sikuamini kama Mbowe anaweza kufanya ugaidi

  ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Denis Urio, amedai hakuamini kama Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anaweza kufanya vitendo...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Maalim Seif atema cheche

  MWENYEKITI mpya wa chama cha upinzani nchini Tanzania-ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu Babu Duni amewashukuru wote waliomchagua kushika wadhifa huo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

ACT -Wazalendo yaanika mbinu za kuidhibiti Serikali nje ya Bunge

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kimeteua watu wa kufuatilia utendaji wa wizara na taasisi za Serikali. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo wazindua ACT KIGANJANI

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimezindua mfumo wa usajili wa kisasa wa wanachama wa chama hicho uliopewa jina la ‘ACT Kiganjani’ wenye lengo...

Tangulizi

Kibatala atumia Biblia mahakamani kuwatetea kina Mbowe

  KIONGOZI wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, Wakili Peter Kibatala, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Luteni Urio: Mbowe alinificha

  SHAHIDI wa Jamhuri, katika kesi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis Urio, amedai mwanasiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Luteni Urio adai Mbowe hakutaka kuzungumzia ugaidi kwenye simu

  SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, Luteni Denis Urio, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, hakutaka kuzungumzia ugaidi kwenye mawasiliano ya simu, bali...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yatoa maagizo kwa wasikilizaji kesi ya Mbowe kuhusu shahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imewaamuru watu waliofika mahakamani hapo kusikiliza kesi ya uhujumu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wawili wafariki dunia, 8 wajeruhiwa ajali Kimara-Suka

  WATU wawili wamefariki dunia na wengine nane kujeruhiwa vibaya baada ya lori aina ya Scania kugonga watu waliokuwa wanavuka barabara ya Morogoro...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mahakama yatoa maagizo kwa shahidi wa Jamhuri, mawakili

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imemuamuru Luteni Denis Urio, shahidi wa 12 Jamhuri, ajibu maswali...

error: Content is protected !!