Friday , 3 May 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Biashara madini nchini yaimarika bei ikipaa

  WAZIRI wa Madini, Doto Biteko, amesema biashara ya madini nchini imeendelea kuimarika huku bei ya madini muhimu kama dhahabu na almasi ikizidi...

Habari za SiasaTangulizi

Soko la madini Mererani lawagawa wabunge

  UHAMISHAJI soko la madini ya Tanzanite kutoka Arusha kwenda Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limewagawa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

Habari za SiasaTangulizi

CCM yahakiki madeni ya kampeni 2020

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kinafanyia uhakiki madeni ya wafanyabiashara saba waliosema wanakidai, kutokana na kazi kiliyowapa wakati...

Habari za Siasa

Serikali yakamata madini ya Sh. 501 Mil. yakitoroshwa

  SERIKALI imesema imefanikiwa kukamata madini ya Sh 501.2 milioni katika matukio ya utoroshaji katika kipindi cha kati ya Julai 2021 hadi Machi...

Habari za Siasa

Uzinduzi Royal Tour: Rais Samia atoa shukrani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa shukrani kwa wote waliohusika katika maandalizi ya uzinduzi wa Filamu ya The Royal Tour nchini...

Habari za Siasa

Madini yapokea fedha kiduchu za miradi ya maendeleo

  WIZARA ya Madini imepokea Sh 1.5 bilioni pekee kwaajili ya miradi ya maendeleo hadi kufikia Machi 2022 sawa na asilimia 10 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka sheria Vyama vya Siasa irekebishwe kumpa makali msajili

  MBUNGE Viti Maalumu (CCM), Neema Lugangira, ameshauri Sheria ya Vyama vya Siasa irekebishwe ili kumpa meno Msajili wa Vyama vya Siasa katika...

Habari za Siasa

Mbunge asema utawala wa sheria ndiyo kivutio uwekezaji, biashara

  MBUNGE wa Madaba, Joseph Mhagama, amesema kivutio namba moja cha wawekezaji na biashara nchini ni utawala wa sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Tabasamu aibua mazito Bungeni tenda za mafuta, Spika amzuia

MBUNGE wa Sengerema, Hamis Tabasamu ameibua “mambo mazito” bungeni kuhusu kuchezewa kwa tenda ya uagizaji wa mafuta ya Tarehe 18 Aprili 2022. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mpina ataka Bunge lichunguze majadiliano sakata makinikia

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina ameliomba Bunge kuunda kamati ya kiuchunguzi ili kujua sababu ya Kamati ya Majadiliano ya Kesi ya Makinikia kukubali...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile afuturisha Dodoma, wamwombea Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amejumuika na viongozi wa Dini, Serikali, Chama Cha Mapinduzi na wananchi mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Waliotajwa ripoti ya CAG wawajibishwe

  MAKAMU Mwenyekiti wa chama tawala Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameishauri Serikali inayoongozwa na chama hicho kuchukua hatua za kinidhamu...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana aitaka CCM kuwa tayari kwa maridhiano ya kisiasa

MAKAMU Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana amewataka wanachama na viongozi wa CCM kuwa tayari kwa maridhiano ya kisiasa aliyoyaanzisha Rais Samia Suluhu Hassan....

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aliyefariki alizuiwa kupanda ndege kwenda Dar

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, David Kihenzile amesema siku moja kabla ya Mbunge Irene Ndyamkama kufikwa na umauti,...

Habari za Siasa

Jaji Warioba aitaka Tanzania ifuate nyayo za Zanzibar uchumi wa buluu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameishauri Serikali ya Tanzania kufuata nyayo za Serikali ya Zanzibar, kukuza uchumi kwa kutumia rasilimali za bahari,...

Habari za Siasa

Sababu tano chimbuko la Muungano Tanganyika, Zanzibar hizi hapa

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Mzee Pius Msekwa, amesema muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulitokana na chimbuko la masuala matano, ikiwemo la kuimarisha ulinzi...

Habari za SiasaTangulizi

Msekwa ataja sababu Nyerere, Karume kufanya siri makubaliano ya Muungano

SPIKA wa Bunge mstaafu, Pius Msekwa, amesema Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume, waliendesha makubaliano ya Muungano wa Tanganyika na...

Habari za Siasa

Kampuni 7 zamuangukia Rais Samia madeni Uchaguzi Mkuu 2020

  KAMPUNI saba za uchapishaji kutoka Kariakoo, jijini Dar es Salaam, zimekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilipe kiasi cha Sh. bilioni moja fedha...

Habari za Siasa

Maandalizi ya sensa yafikia asilimia 81

  MWENYEKITI wa Kamati Kuu ya Sensa ya Watu na Makazi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema maandalizi ya zoezi hilo hadi kufikia jana...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Muungano wetu ni zaidi ya hati, mambo ya muungano

  MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango, amesema ushirikiano na mwingiliano wa wananchi wa pande zote za muungano unadhihirisha kuwa Muungano wa Tanganyika...

Habari za Siasa

Kinana awapa maagizo wabunge, madiwani

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewataka madiwani na wabunge kukataa kupitisha miswada ya sheria yenye kukandamiza...

Habari za Siasa

Shaka asema CCM kushika dola kupo palepale

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema lengo la Chama kuendelea kushika Dola...

Habari za Siasa

Rais Samia asema anazielewa sababu Chadema kususia

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema anaelewa sababu ya chama kimoja ambacho hajakitaja, kimekataa kushiriki mchakato wa majadiliano ya kutafuata muafaka mazingira ya ufanyaji...

Habari za Siasa

UWT wampongeza Rais Samia, wamlilia mbunge

UONGOZI wa Wanawake Tanzania (UWT) wametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu wake wa kuzindua filamu ya...

Habari za Siasa

Mbunge amnyooshea kidole DC Nkasi

  MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (Chadema) amesema iwapo serikali haitachukua hatua za kumuonya mkuu wa wilaya ya Nkasi dhidi ya matumizi...

Habari za SiasaMpya

Mbunge viti maalum CCM afariki

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Viti Maalum,CCM, Irene Alex Ndyamkama ambaye...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana awaonya wanaosaka uongozi kwa fedha CCM

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi-Bara nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana amesema wanachama wanaotafuta uongozi ndani ya chama hicho kwa kutumia fedha, hawana nafasi...

Habari za Siasa

Chongolo ateta na bodaboda, bajaji

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewaahidi vijana 26 wa shina la namba tano la kata Kilimani mkoani Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba ataja mambo 7 yaliyompa heshima Nyerere

JAJI Mstaafu Joseph Warioba ametaja mambo saba yaliyompa heshima Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na kusisitiza kuwa kiongozi huyo alikataa kuitwa...

Habari za Siasa

Majaliwa: Hakuna wakupinga Tanzania ilikuwa kinara ukombozi Afrika

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema hakuna wa kupinga kluwa Tanzania chini ya uongozi wa Hayati Mwl. Julius Nyerere, ilikuwa kinara wa ukombozi wa...

Habari za Siasa

Kinana awaachia maswali Watanzania kuhusu Mwalimu Nyerere

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania wajiulize kwa nini Tanzania inaendelea kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius...

Habari za Siasa

Matamko ya mali viongozi 46 yakutwa na dosari

  KATI ya matamko 425 ya mali na madeni ya viongozi wa umma yaliohakikiwa, asilimia 11 (sawa na matamko 46) yalibainika kuwa na...

Habari za Siasa

Bashungwa amsimamisha kazi DED Mvomero kwa kupuuza maagizo yake

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya...

Habari za Siasa

Serikali yazinyooshea kidole halmashauri

  SERIKALI ya Tanzania imeziagiza halmashauri zote nchini humo ambazo zimepokea kiasi cha sh.50 milioni kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa vituo...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji uhaba watumishi na vifaa tiba, Serikali yamjibu

  MBUNGE wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Josephine Ngezabuke (CCM) ameihoji Serikali na kutaka kujua ni lini itamaliza...

Habari za Siasa

Mbunge ataka watu binafsi wapewe mikopo, vikundi vinakwama kurejesha

MBUNGE wa Lupembe, Edwin Swale (CCM), ameishauri Serikali ifanye mabadiliko ya sheria yatakayowezesha asilimia 10 za mapato ya halmashauri zinazotolewa kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yashindwa kulipa deni Mil. 38.3- CAG

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amesema, ukaguzi alioufanya kwa mwaka 2020/21 amebaini chama kikuu...

Habari za SiasaTangulizi

CAG ahofia CCM kupoteza bilioni 3, kesi 108 kortini

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere ameonesha hofu kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: CCM yakosa gawio milioni 480

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/21 nchini Tanzania, amebaini kampuni zinazomilikiwa na Chama Cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo yaliyotawala mazungumzo ya Rais Samia, Kamala Harris

  MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris ameeleza mambo mahususi watakayogusia katika mazungumzo yake na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye yupo nchini...

Habari za Siasa

CAG abaini kasoro michezo ya kubahatisha

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amebaini ufanisi duni kwenye mchakato wa utoaji leseni kwa...

Habari za Siasa

Mashirika 12 yakwepa kulipa kodi TRA bilioni 90

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/21 imebaini mashirika ya umma 12 kati 200 yaliyokaguliwa...

Habari za Siasa

Miradi ya Afya H’shauri 20 yakamilika lakini haitumiki

  MIRADI ya majengo ya afya katika mamlaka 20 za serikali za mitaa, haitumiki licha ya kukamilika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

Rais Samia aipangua MSD, ateua viongozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi watatu akiwemo Mavere Tukai kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD)....

Habari za Siasa

Bunge lataka ripoti fedha mikopo halmashauri kuanzia 2018

  BUNGE la Tanzania, limeitaka Serikali litoe taarifa za matumizi ya asilimia 10 za mapato ya ndani ya halmashauri, zilizotolewa kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Bunge laonesha wasiwasi ukusanyaji maduhuli Serikali za Mitaa

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, imesema mwenendo wa makusanyo ya maduhuli ya mamlaka za Mikoa na Serikali...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Hali mbaya ya kifedha PSSSF na NSSF

  HALI ya kifedha ya Mfuko ya Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Mfuko wa Hifadhi za Kijamii (NSSF) ya...

Habari za Siasa

Ripoti ya CAG: ACT-Wazalendo yaibana Serikali matumizi ‘holela’

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kufuata Katiba kwa kufanya matumizi ya fedha mara baada ya kuwa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo wataka Serikali kulipa madai ya wafanyakazi

  CHAMA cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali iwalipe watumishi wote malimbikizo ya madai yao mara moja kwa mkupuo...

Habari za Siasa

Mbunge: Serikali inawawekea vikwazo wananchi Ngorongoro

MBUNGE wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai ameituhumu Serikali “inawawekea vikwazo vya kimaendeleo” wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha kwa kuhamisha fedha za...

error: Content is protected !!