Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Uzinduzi Royal Tour: Rais Samia atoa shukrani
Habari za Siasa

Uzinduzi Royal Tour: Rais Samia atoa shukrani

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa shukrani kwa wote waliohusika katika maandalizi ya uzinduzi wa Filamu ya The Royal Tour nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha …(endelea).

Filamu hiyo baada ya kuzinduliwa maeneo mawili nchini Marekeani, jana Alhamisi tarehe 28 Aprili 2022 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia leo Ijumaa ameandika, “nawashukuru wananchi wa Arusha, wadau wa utalii, uongozi wa mkoa, kamati ya Royal Tour na wote walioshiriki na kufanikisha uzinduzi wa 3 wa filamu ya Royal Tour jijini Arusha.”

“Nafarijika kuona mapokezi haya makubwa ya zawadi niliyowaandalia Watanzania. Kwa pamoja tutafanikiwa.”

Uzinduzi wan ne utafanyika tarehe 7 Mei 2022 Zanzibar na 8 Mei 2020 utakuwa jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!