Sunday , 5 May 2024
Home mwandishi
8786 Articles1247 Comments
Habari Mchanganyiko

Katibu Tawala Geita ahimiza wachimbaji kujiunga na NSSF

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Profesa Godius Kahyarara amewahamasisha wachimbaji wadogo wa madini mkoani humo kujiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Benki ya Exim wasafisha magari ya wateja, wagawa zawadi

BENKI ya Exim Tanzania imeungana na watoa huduma duniani kusherehekea wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuendelea kuwa karibu zaidi na wateja...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo kuibana Serikali majimboni

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema chama chake kitaanza kuisimamia Serikali katika majimbo yote nchini, ili kuhakikisha kero za...

Kimataifa

Rais Museven awaomba msamaha Wakenya

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewaomba radhi wakenya kwa machapisho ya mtoto wake aliyoyatoa wiki hii kupitia mtandao wa twitter. Katika kaarifa yake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya mafuta yaendelea kushuka

BEI ya mafuta ya petroli imeendelea kushuka kwa miezi miwili mfululizo baada ya Mamlaka  ya Udhibiti wa Nishati na Maji kutangaza bei mpya...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mawaziri wa Madini Afrika wajadili ugunduzi, uvunaji madini mkakati

NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa ameshiriki Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Madini Afrika uliondaliwa na Umoja wa Afrika na kufanyika...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yalaani mauji operesheni za jeshi la polisi

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeelaani  vikali kile kilichodai ni ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Jeshi la Polisi nchini Tanzania katika operesheni zake...

Tangulizi

Biteko afurahishwa mpango BOT kununua dhahabu ya wachimbaji wadogo

WAZIRI wa Madini Dk. Doto Biteko amefurahishwa na namna Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ilivyojipanga kufanya kazi kwa  ukaribu na wachimbaji wadogo wadogo ...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yalia na uvamizi wa tembo, migogoro ya wakulima

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeomba Serikali ichukue hatua za haraka kutatua changamoto za uvamizi wa wanyama katika makazi  na mashamba ya wananchi wanaoishi karibu...

Habari Mchanganyiko

Waziri wa Madini aridhishwa kasi ya ujenzi wa kinu cha kupoza umeme GGML

WAZIRI wa Madini Dk. Dotto Biteko ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kinu cha kupoza umeme (substation) kinachojengwa na Kampuni ya Geita...

Habari za Siasa

Ndaruke achanguliwa Mwenyekiti mpya CCM Kibiti

  Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kibiti mkoani Pwani kimepata viogozi wapya baada ya kufanyika uchanguzi wa ndani wa chama hicho hapo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Linaloamuliwa na Serikali ni lako Waziri

RAIS Samia Suluhu Hassan amewapa maelekezo mawaziri ikiwemo kutunza siri na kubeba jambo lolote linaloamuliwa na Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Waziri Madini: Mgodi wa GGML mfano bora Afrika kuhudumia jamii

WAZIRI wa Madini, Dk. Dotto Biteko amesema Kampuni ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) ndiyo kampuni uchimbaji inayoongoza Tanzania na Afrika kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia afanyia mabadiliko Baraza la Mawaziri

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanyia mabadiliko madogo, baraza lake la mawaziri. Katika mabadiliko hayo, mwanadiplomasia mashuhuri nchini, Balozi Liberata Mulamula, ameachwa kwenye baraza...

Kimataifa

Watu 174 wafariki katika mkanyagano Indonesia

TAKRIBAN watu 174 wamefariki katika mkanyagano kwenye mechi ya soka ya Indonesia ambayo imekuwa mojawapo ya majanga mabaya zaidi ya viwanja duniani. Vinaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia ashinda tuzo mbili za kimataifa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa na Jumuiya ya Kimataifa ya Watetezi na Amani. Anaripoti...

Afya

Daktari Mtanzania afariki kwa Ebola Uganda

DAKTARI Muhammed Ali ambaye ni Mtanzania amefariki kwa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda ambapo alikuwa akisomea shahada ya uzamili ya udaktari katika upasuaji....

Habari Mchanganyiko

Waziri Makamba ahudhuria warsha ya mradi wa  kusindika gesi asilia Norway

WAZIRI wa Nishati, January Makamba, ameshiriki katika warsha ya viongozi iliyofanyika kwenye mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia (Liquefied Natural Gas Plant...

Habari Mchanganyiko

Mabalozi wa ‘Rafiki briquettes’ wageuka kivutio maonesho ya madini Geita

  MABALOZI wa mkaa mbadala wa Rafiki Briquette kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wamekuwa kivutio katika Maonesho ya Kitaifa ya Teknolojia...

Michezo

GGML wazindua mashindano ya soka kwa watoto wanaozunguka mgodi

KAMPUNI ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu Geita (GGML) imezindua mashindano ya mpira wa miguu kwa watoto wanaozunguka mgodi huo ili kukabiliana na changamoto...

Habari Mchanganyiko

DC Nyang’hwale aipongeza GGML kuajiri asilimia 98 Watanzania mgodini

MKUU wa wilaya ya Nyang’wale, Jamhuri William amesema uongozi wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGM) umewatoa kimasomaso Serikali ya mkoa wa...

Tangulizi

Wanafunzi Hazina watia fora Moko Dar

  SHULE ya Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam, imeendelea kutesa kwenye matokeo ya utahimilifu (moko) Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo...

Afya

Samia apiga ‘stop’ ujenzi vituo vipya vya afya

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa wataachana kwanza na ujenzi wa vituo vipya vya afya na nguvu kubwa itaelekezwa katika...

Elimu

Waliopata daraja la kwanza mitihani ya Taifa Ipepo Sekondari wakabidhiwa zawadi

  WADAU wa elimu kata ya Ipepo Wilaya Makete Mkoani Njombe wametimia ahadi ya kutoa zawadi kwa wanafunzi wa Sekondari ya Ipepo waliopata...

Habari Mchanganyiko

Zanzibar waipongeza Tume ya Madini kwa usimamizi dhabiti sekta ya madini

WIZARA ya maji, nishati na madini Zanzibar imeipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Tume ya Madini kwa usimamizi mzuri wa...

Habari Mchanganyiko

Katibu Madini awaita wachimbaji wadogo kutumia vifaa vya GF Truck

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo ametoa wito kwa wachimbaji wadogo wa madini kuchangamkia mitambo na vifaa vinavyosambazwa na Kampuni...

Habari za Siasa

Marufuku kuingia mkataba bila kumshirikisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku mamalaka yeyote ya Serikali kuingia mkataba bila kuishirikisha Ofisi ya Mwanasheria...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ataka Sheria ya kulinda uwekezaji iangaliwe upya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameonesha kutoridhika na masharti ya sheria ya kulinda uwekezaji inayoweka ulazima wa mzozo baina ya mwekezaji...

Habari Mchanganyiko

Ambao hawatajisajili chama cha mawakili wa Serikali kupoteza kazi zao

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mawakili wa Serikali ambao hawatajisajili katika Chama cha Mawakili wa Serikali katika...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu, Chenge wawafunda mawakili wa Serikali kuhusu chama chao

MAWAKILI wa Serikali, wametakiwa kutumia chama chao kuhakikisha viongozi wa Serikali wanazingatia matakwa ya katiba na sheria za nchi, katika utekelezaji wa majukumu...

ElimuHabari

CBE yawashukuru waliochangia harambee, yakusanya shilingi milioni 56

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanikiwa kukusanya shilingi milioni 56 kwaajili ya ujenzi wa mabweni ya wasichana kwenye kampasi yake ya...

Elimu

Mwalimu Benki yazindua “Bando la Mwalimu”, Serikali yatoa neno

BENKI ya Mwalimu imezindua Bando la Mwalimu kupitia kampeni yake ya ‘Asante Mwalimu’ yenye lengo la kurudisha shukrani kwa mwalimu, ambapo Serikali imeahidi...

Kimataifa

Raila Odinga ataka Interpol kuongoza uchunguzi wa kifo cha mshukiwa wa ICC Kenya

  KIONGOZI wa Azimio Raila Odinga amewataka polisi wa Kimataifa wa Interpol kuanzisha uchunguzi kuhusiana na kifo cha mshukiwa wa Mahakama ya Kimataifa...

Habari za Siasa

Zanzibar tuko tayari njooni kuwekeza-Rais Mwinyi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kufungua milango kuwakaribisha wawekezaji kutoka nje, ili...

HabariSiasa

Mkoa wa Pwani wajiandaa na Uchaguzi mwishoni mwa wiki hii.

  Kaimu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Pwani ,Elisante Msuya ameeleza ,maandalizi ya uchaguzi wa wilaya katika nafasi mbalimbali yamekamilika, ambapo...

AfyaTangulizi

Wakuu wa mikoa wapewa maagizo tahadhari ya Ebola

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ametoa tahadhari ya ugonjwa wa Ebola na kuagiza wakuu wote wa mikoa kujiandaa endapo itatokea kisa chochote au...

Habari za Siasa

Vijana watakiwa kuwa mstari wa mbele kupinga sheria zinazominya uhuru wa kujieleza

UHURU wa Wananchi kujieleza katika masuala mbalimbali sambamba  na kupewa taarifa juu ya masuala muhimu  yanayolihusu Taifa,  yanatajwa kuwa miongoni mwa masuala muhimu ...

Kimataifa

IGP, DCI Kenya wajiuzulu, Rais ataja sababu

  RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto jana tarehe 27 Septemba, 2022 amemteua Japhet Koome kuwa Inspekta Jenerali mpya wa Jeshi la polisi...

Habari Mchanganyiko

Shehena ya sigara bandia za Bil. 1.8/- kutoka DRC yakamatwa Shinyanga

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA), Kanda ya Ziwa Magharibi imekamata shehena ya sigara bandia zenye thamani ya Sh 1.8 Bilioni katika...

Habari Mchanganyiko

Kibano chaja kwa waagizaji magari ‘used’ watakaokwepa ukaguzi Japan

  SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka waagizaji wa magari yaliyotumika kutoka Japan, mawakala wa forodha na wananchi wote kwa ujumla kuhakikisha wanakagua...

Habari Mchanganyiko

Upelelezi wakwamisha kesi ya madiwani wa Loliondo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeahirisha kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya viongozi wa Loliondo, mkoani Arusha, hadi tarehe 11 Oktoba 2022,...

Tangulizi

Letshego yaja na akaunti ya wajasiriamali wadogo, wastaafu

  TAASISI inayotoa huduma za kifedha nchini Tanzania ya Letshego imezindua akaunti maalum kwa ajili ya wajasiriamali wadogo na wakati na akaunti ya...

Kimataifa

Urusi yampa uraia Edward Snowden

  RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amempa uraia kachero na mhandisi wa zamani wa Marekani, Edward Snowden, ambaye tangu mwaka 2020 amekuwa mkaazi...

Habari Mchanganyiko

Mwongozo wafungwa Zanzibar kutoa malalamiko waja

CHUO cha Mafunzo Zanzibar, pamoja na wadau mbalimbali ikiwemo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), kimekamilisha mchakato wa kupokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Padri kizimbani tuhuma udhalilishaji watoto kingono

PADRI wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Mtakatifu Deonis Aropagita, Jimbo la Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Sostenes Bahati Soka amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

Habari Mchanganyiko

NMB yashinda tena Tuzo ya Benki Bora wateja binafsi Tanzania

  Kwa mwaka wa pili mfululizo, Benki ya NMB imeshinda tuzo ya benki kiongozi wa kuwahudumia wateja binafsi nchini kutokana na ubora wa...

ElimuHabari

Serikali yaipongeza St Anne Marie kwa kutochuja wanafunzi, Yaahidi kuendelea kuongoza Dar/kitaifa

  SERIKALI imepongeza shule ambazo hazina kawaida ya kuchuja wanafunzi unapofikia muda wa mitihani ya kitaifa iiwemo St Anne Marie Academy . Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Jinsi Mbatia alivyozuiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari

IKIWA ni siku moja tangu kupinduliwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, leo amekutana na zengwe jingine baada ya kuzuiwa kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Othman, ujenzi wa Chama imara silaha kuu ya kushinda uchaguzi 2025

  MAKAMU Mwenyekiti Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Massoud Othman amewataka wanachama kuimarisha chama chao ili kuwa imara zaidi hatimae kuibuka na ushindi katika...

Kimataifa

Rais Benki ya Dunia agoma kujiuzulu

  RAIS wa Benki ya Dunia, David Malpass amesema kwamba hatajiuzulu kutokana ukosoaji dhidi ya matamshi yake aliyoyatoa kuhusiana na mabadiliko ya tabianchi....

error: Content is protected !!