Friday , 3 May 2024
Home mwandishi
8769 Articles1258 Comments
Habari Mchanganyiko

Bawacha wamtwisha Samia zigo la akina Mdee, Mbowe agongelea msumari

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aangilie kwa jicho la tatu sakata la...

Habari za Siasa

Bawacha wavunja ukimya mbele ya Rais Samia

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limemtaka Rais Samia Suluhu Hassan asikatishwe tamaa na baadhi ya watu wanaopinga...

Habari za Siasa

Bawacha wamchongea kwa Rais Samia aliyewakataza kupanda miti Moshi

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Mkoa wa Kilimanjaro, wamemchongea kwa Rais Samia Suluhu Hassan mtumishi wa Shule...

Habari Mchanganyiko

Ado: Rais Samia ameitoa gizani tasnia ya habari

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameitoa nchi gizani katika masuala ya uhuru wa habari...

Makala & Uchambuzi

Hawa ndio wanawake wanaotikisa, wanaoigusa jamii ya Watanzania

MACHI 8 kila mwaka Siku ya Kimataifa ya Wanawake duniani ambayo huadhimishwa kwa lengo kuongeza chachu katika harakati za mapambano ya kuleta usawa...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa habari afariki dunia katika ajali Geita

MWANDISHI wa Habari mwandamizi wa gazeti la Nipashe kutoka kampuni ya IPP Media, Richard Makore amefariki dunia katika ajali iliyoua watu saba eneo...

Habari Mchanganyiko

Nchi 26 kushiriki kongamano la maji Dar es Salaam

  WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso anatarajia kufungua Kongamano la Kimataifa la Maji la Kisayansi litakaloshirikisha takribani nchi 26 duniani ambalo litafanyika kwa...

Habari

Tanzania yaungana na nchi 180 kushiriki maonesho ya utalii Ujerumani

  TANZANIA imeungana na mataifa 180 duniani kushiriki maonesho makubwa ya utalii duniani (International Tourism – Börse Berlin) yanayofanyika katika jiji la Berlin...

Habari Mchanganyiko

Barrick yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa msaada hospitali ya Mwananyamala

  KATIKA kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wafanyakazi Wanawake wa kampuni ya Barrick kutoka ofisi ya Dar es Salaam wametembelea hospitali ya Rufaa...

Habari Mchanganyiko

Mmomonyoko maadili watajwa marufuku watoto shule za bweni

  SERIKALI imepiga marufuku huduma ya bweni kwa wanafunzi wa umri mdogo kuanzia darasa la awali hadi darasa la nne. Anaripoti Judith Mbasha,...

Habari Mchanganyiko

Uamuzi rufaa kesi ya Kubenea, Makonda kutolewa Aprili 20

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imepanga tarehe 20 Aprili 2023, kutoa uamuzi wa rufaa iliyokatwa na Mwanahabari Saed Kubenea,...

Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe awakabidhi maafisa ugani pikipiki 61

  MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amekabidhi jumla ya pikipiki 61 kwa Maafisa Ugani katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ikiwa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh aliyetuhumiwa kwa ugaidi afariki mbele ya Jaji

  SHEIKH Said Ukatule, aliyekuwa mahabusu ya Gereza Kuu la Ukonga, jijini Dar es Salaam, alikokuwa akishikiliwa na serikali kwa mashitaka ya ugaidi,...

Afya

Manesi 7 mbaroni tuhuma za kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane

  JUMLA ya wauguzi/manesi saba wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama wamefikishwa polisi baada ya kudaiwa kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane. Anaripoti...

Elimu

Shule ya Alpha yazindua mfumo wa kugundua vipaji vya watoto

  SHULE ya Sekondari ya Alpha ya jijini Dar es Salaam imezindua mfumo wa kupima na kugundua vipaji vya watoto kidigitali. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Vurugu, rushwa zatajwa kuahirishwa Mkutano Mkuu TLP

  KUTAWALA kwa vurugu na rushwa kumetajwa kuwa chanzo cha kutofanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chama cha TLP ambao ulikuwa na ajenda ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Chadema wabadilishia gia angani

MAWAKILI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, wafunge maswali ya dodoso kwa baadhi...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yamgeuzia kibao Rais Mwinyi, yamtaka ajipange 2025

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema changamoto zinazoikabili Bandari ya Malindi, Zanzibar, haitokani na kuwa na gati moja, kama ilivyoelezwa na Rais wa visiwa...

Habari za Siasa

Rais samia apiga ‘stop’ viongozi kuamua kwa maagizo kutoka juu

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi na watendaji wa Serikali, kuacha kufanya maamuzi kwa kisingizio cha maagizo kutoka juu, bali kwa kufuata...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi ataja mikakati kushusha bei ya mafuta Zanzibar

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi , amesema Serikali yake inakusudia kuboresha miundombinu ya bandari pamoja na hifadhi ya kutosha ya mafuta,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yavuna wanachama wa CUF, CCM, Chadema Zanzibar

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeendelea kuvuna wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) baada ya kuwapokea 305 kupitia mkutano wake wa hadhara uliofanyika Viwanja...

Habari Mchanganyiko

RC Geita apiga stop MA-DC kuwaweka watumishi mahabusu, “ni ushamba”

  MKUU wa mkoa wa Geita, Martin Shigella amesema amekubaliana na wakuu wa wilaya za mkoa huo kwamba hakuna mtumishi yeyote atakayekamatwa na...

Kimataifa

Gavana na watu wengine 5 wauawa kwa risasi Ufilipino

  ROEL Degamo (56), Gavana wa jimbo la katikati mwa Ufilipino pamoja na watu wengine watano, wameuawa jana Jumamosi, tarahe 4 Machi, kwa...

Kimataifa

Wanahabari wa kigeni nchini China walionja joto ya jiwe 2022

VYOMBO vya habari vya kigeni nchini China vilipitishwa kwenye hali ngumu wakati taifa hilo linatekeleza sera yake ya kupambana na Uviko-19 ambapo inadaiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Jesca Kishoa avunja ndoa na Kafulila

  NDOA baina ya Jesca David Kishoa, mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Jamhuri na David Kafulila, Kamishena katika wizara ya fedha,...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaliamuru gazeti la The Citizen kumlipa Mchechu Sh. 2.5 bilioni

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeliamrisha gazeti la kila siku linalochapishwa kwa lugha ya Kiingereza nchini la The Citizen, kumlipa fidia ya Sh. 2.5...

Habari Mchanganyiko

NEMC yataka miradi ya maendeleo inayoanzishwa kuzingatia uhifadhi mazingira

  MKURUGENZI Mkuu wa Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), Dk. Samuel Gwamaka ameitaka miradi ya maendeleo inayoanzishwa iwe inazingatia uhifadhi...

Habari Mchanganyiko

GGML yaweka historia Tanzania, yashinda tuzo ya usalama kwa mwaka wa 4 mfululizo

MISINGI imara ya udhibiti wa hali ya usalama katika utendaji kazi ndani na nje ya Mgodi wa Geita Gold Mining Limited. (GGML), imeendelea...

Habari Mchanganyiko

BRELA yakutana na wadau kupitia Kanuni za Wamiliki Manufaa wa Kampuni

  WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imekutana na Vyombo vya Uchunguzi kwaajili ya kupitia Kanuni za Wamiliki Manufaa wa Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Mbunge, viongozi wa ushirika Mbozi wanyukana vikali mbele ya DC

  VIONGOZI wa Vyama vya Ushirika wilayani Mbozi, wamemjia juu mbunge wa Jimbo la Mbozi, George Mwenisongole, kwa kutoa tuhuma za wizi wanazodai...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapata pigo Zanzibar

  MWAKILISHI wa Jimbo la Mtambwe, visiwani Zanzibar, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Habib Ali Mohamed, amefariki dunia, wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

MASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania ng’ombe yanazidi kutimua vumbi huku timu kadhaa zikiendelea kumenyana katika hatua ya makundi....

Habari za Siasa

Wakulima alizeti wamuangukia Chongolo kuporomoka bei ya zao hilo

  WAKULIMA wa alizeti mkoani Singida, wamemwomba Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, kuishauri serikali iongeze kodi ya mafuta ya...

Habari za Siasa

Rais Samia akemea mawaziri walioajiri maafisa habari binafsi

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameonesha kutoridhika na kitendo cha baadhi ya Mawaziri kuajiri maafisa habari binafsi kwaajili ya kuripoti habari zao na...

Habari Mchanganyiko

WCF yasajili asilimia 90 ya waajiri nchini

  MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dk. John Mduma, amesema hadi kufikia tarehe 30 June 2012 umefanikiwa kusajili waajiri...

Habari Mchanganyiko

Vodacom kutangaza washindi wa programu ya Vodacom Digital Accelerator

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania PLC inatarajia kutangaza kampuni bunifu chipukizi tatu zilizoibuka na ushindi wa msimu wa pili wa programu ya Vodacom...

Habari za Siasa

Rais Samia: Nafahamu madhara ya kubadili viongozi mara kwa mara

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema hana lengo na hapendi kubadilisha viongozi mara kwa mara kwa kuwa anafahamu madhara yake, ikiwemo kuchukua...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka mawaziri kujibu upotoshaji

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka mawaziri kueleza mafanikio ya Serikali mara kwa mara, ili kudhibiti baadhi ya watu wanaofanya upotoshaji. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mambo matano kuteka mkutano wa faragha wa mawaziri Arusha

  KATIBU Mkuu Kiongozi, Dk. Moses Kusikulika, amesema mada tano zitajadiliwa katika mkutano wa faragha wa siku tatu wa mawaziri na makatibu wa...

Tangulizi

Hiki hapa alichokifanya Lema mara tu baada kuwasili Tanzania

  MUDA mfupi baada ya kuwasili Tanzania akitokea uhamishoni nchini Canada, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless...

Habari za Siasa

CCM yaeleza mageuzi iliyofanya kwenye elimu tangu uhuru

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema tangu kimechukua madaraka baada ya Tanzania kupata uhuru, kimefanya mageuzi mengi katika sekta ya elimu, kwa kujenga vyuo...

Habari za Siasa

Hatimaye Lema awasili Tanzania, akabidhiwa biblia na wazee wa Chadema

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, amewasili nchini akitokea Canada, alikokuwa akiishi tangu 2020 baada...

Habari za Siasa

Chadema, Wasira wapingana kuhusu serikali za majimbo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kupingana na mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wassira, kuhusu Serikali za Majimbo, baada ya chama hicho...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajipanga kujibu mapigo kwa Rais Dk. Mwinyi

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeahidi kumjibu hadharani Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, kufuatia kauli yake aliyotoa kuhusu sakata la Uwanja wa Ndege...

Habari Mchanganyiko

Mikopo ‘kausha damu’ yakausha unyumba Kinyerezi, Serikali yaingilia kati

TANGU kuanza utaratibu wa baadhi ya wananchi kukopa mikopo ambayo mingine imegeuka kuwa ‘kausha damu’, changamoto nyingi zimeibuliwa ikiwa ni pamoja na kuvunjika...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wamkataaa mwenyekiti wa kijiji kisa hekari 50

WANANCHI wa kijiji cha Shinji kata ya Mbebe wilayani Ileje mkoani Songwe wamesema hawana imani na Mwenyekiti wa kijiji hicho, Ali  Kalinga kutokana...

Habari Mchanganyiko

Washindi NMB MastaBata ‘Kote Kote’ wapaa Dubai

WASHINDI saba wa kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kadi iliyoondeshwa na Benki ya NMB ‘NMB MastaBata – Kote Kote’ wameagwa na kukabidhiwa tiketi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Makonda yaiva

MAHAKAMA Kuu, kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza shauri la jinai, lililofunguliwa na mwanahabari mahiri nchini, Saed Kubenea, dhidi ya Paul Makonda,...

Kimataifa

Uchaguzi Nigeria: Tinubu wa chama tawala aongoza matokeo ya awali

  MGOMBEA wa chama tawala Bola Ahmed Tinubu anaongoza uchaguzi mkuu wenye ushindani mkali zaidi nchini Nigeria tangu nchi hiyo irejee kwa demokrasia...

Habari Mchanganyiko

Kanisa Katoliki Geita lililonajisiwa lafungwa kwa muda

  KANISA Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita, limefungwa kuanzia jana Jumatatu hadi tarahe 18 Machi 2023, kwa ajili ya kusubiri...

error: Content is protected !!