Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo yapata pigo Zanzibar
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapata pigo Zanzibar

Marehemu Habib Ali Mohamed
Spread the love

 

MWAKILISHI wa Jimbo la Mtambwe, visiwani Zanzibar, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Habib Ali Mohamed, amefariki dunia, wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Saiffe, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma ACT-Wazalendo,Salim Biman, Mohamed amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 3 Machi 2023.

“Chama cha ACT-Wazalendo kinatuma salamu za pole Kwa Spika wa Baraza la Wawakilishi, wananchi wa Mtambwe, ndugu, jamaa na marafiki wote wa marehemu Mohamed, kwa kuondokewa na kiongozi wetu, mwanafamilia na mpendwa wetu,” imesema taarifa ya Bimani.

Kupitia taarifa hiyo, Bimani amesema ratiba ya mazishi itatolewa baadae baada ya chama hicho kushauriana na famili ya marehemu Mohamed.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

error: Content is protected !!