Saturday , 27 April 2024
Home danson
968 Articles60 Comments
Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wachoshwa na wanasiasa kuwasweka rumande

CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimekerwa na baadhi ya wanasiasa kuwawajibisha na kuwadhalilisha watumishi wa Umma. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Maofisa ugani wapewa somo kuongeza ufanisi

WAZIRI Kilimo, Japhet Hasunga amewataka Maofisa ugani nchini kuweka mipango kazi yao itakayowawezesha kufanikisha ufanisi wa kilimo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Waliokula chakula cha sumu, afya zao zaimarika

WATU 53 wanaosadikiwa kula chakula chenye sumu katika msiba kata ya Mtumba Jijini Dodoma na kukimbizwa katika hospitali ya Rufaa, afya zao zimeimarika...

Elimu

Wadau wa elimu waililia serikali mtaala wa elimu

WADAU wa elimu nchini wamehoji walimu kutoshirikishwa katika mchakato wa kuandaa mtaala wa elimu mwaka 2016, kabla ya serikali kuupeleka mashuleni. Anaripoti Danson...

Elimu

Waziri atia msisitizo uandishi wa Insha

WILLIAM Ole Nasha, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, amewataka wakuu wa shule nchini kushawishi wanafunzi kuchangamkia fursa za mashindano ya uandishi...

Elimu

MET: Kuna haja kuboresha elimu nchini

MTANDAO wa Elimu Tanzania (MET), unaojumuisha asasi za kiraia 210 umeeleza, kuna haja ya kuboresha elimu nchini kwa lengo la kupata wasomi makini. Anaripoti...

Elimu

Pinda mgeni rasmi mahafali DECCA

MIZENGO Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya Tatu ya Chuo cha Uuguzi (DECCA), yatakayofanyika tarehe 13 Desemba 2019,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Majina waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Kwanza haya hapa

BARAZA la Mitihani nchini (NECTA), limetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Akitangaza majina hayo leo...

Habari za Siasa

Vyama vilivyojitoa vyapewa nafasi 163 kati ya 332,160

VYAMA vya upinzani vilivyojitoa katika kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vimepewa nafasi 163 kati ya 332,160, zilizokuwa zinashindaniwa katika uchaguzi huo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge kutotumia neno chama tawala, upinzani 

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amesema, chombo hicho cha kutunga sheria, kipo kwenye mjadala mzito wa kutafuta majina ya utambulisho kwa...

Habari za Siasa

Kitachofanywa na JPM siku tano za ziara yake Dodoma

RAIS John Magufuli anatarajiwa kufanya ziara ya siku tano jijini Dodoma, kuanzia tarehe 21 – 25 Novemba 2019. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Hatuna uhaba wa mahindi – Serikali

SERIKALI imeeleza kutoridhishwa na upandaji wa bei ya mahindi, ikieleza kutokuwepo kwa uhaba wa bidhaa hiyo nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea),                                            Kauli...

Habari za Siasa

Kimenuka Bodi ya Korosho

TUME ya watu watano, imeundwa ili kuhakiki korosho yote iliyopokelewa, iliyouzwa na fedha zilizopatikana baada ya kuwepo kwa matumizi ya fujo ya Sh....

Habari Mchanganyiko

Mlemavu wa macho ampa ushauri JPM 

MWALIMU Mkuu Mstaafu wa Shule ya Msingi Bwigiri Wasioona, Chamwino mkoani Dodoma, Sylivavus Hosea ambaye ni mlemavu wa macho, amemwomba Rais John Magufuli kuangalia namna ya...

Habari za Siasa

Futeni vyama vya upinzani – JPM ashauriwa

KAMA Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinaamini kwamba kina haki kuliko vyama vingine ndani ya nchi hii, basi upelekwe muswada bungeni ili vyama vya...

Habari za Siasa

Mdee atinga bungeni, Spika Ndugai ‘amaindi’

UNAWEZA kujiuliza, kuna kitu gani kilichopo kati ya Halima Mdee, Mbunge wa Kawe na Job Ndugai, Spika wa Bunge? Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Leo...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wasusia Uchaguzi Serikali za Mitaa

KAMATI Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewaamuru wanachama, viongozi na wafuasi wake, kujiondoa katika mchakato wa uchaguzi wa serikali...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Anglikana atuhumiwa kusafirisha meno ya Tembo

SHEKANDI Ashery Mkombola (44), Mchungaji wa Kanisa la Aglikana, lililopo katika Kijiji cha Chinyika, Mpwapwa jijini Dodoma, na watu wengine 21 wanatuhumiwa kukutwa...

Habari Mchanganyiko

Ushirikiano wa EWURA, Wizara ya Madini waokoa Bil 121.6

EWURA kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati na Madini iliandaa Mfumo wa Uagizaji wa Pamoja (BPS) wa mafuta nchini, Utafiti wa UDSM, Aprili...

Habari za SiasaTangulizi

Kura za chuki zanukia CCM 

BAADAHI ya maeneo nchini, wateule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 24 Novemba 2019, wanaweza kukumbwa na...

Habari za Siasa

Serikali yakiri udhaifu fomu serikali za mitaa

SERIKALI imekiri kuwepo kwa udhaifu katika uchukuaji fomu, kwa ajili ya kugombea nafsi mbalimbali kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Elimu

Serikali inaweka nguvu kwenye TEHAMA-Prof. Ndalichako

PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknoljia amesema, serikali inatambua umuhimu wa kuwekeza katika sekta ya teknolojia ya habari na wasiliano...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Mkata wafurahia kukamilika mradi wa maji

BAADHI ya wakazi wa kata ya Mkata, Handeni, mkoani Tanga, wamesema kuwa kitendo cha serikali kuwapelekea mradi wa maji safi kimewafanya kuondokana na...

Habari za Siasa

Fomu serikali za mitaa: mbwembwe marufuku

MBWEMBWE na shamrashamra zilizozoeleka katika uchukuaji fomu za kugombea ngazi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini, zimepigwa marufuku. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea)....

Habari za Siasa

Jafo: Uandikishaji wapiga kura Serikali za Mitaa, wavunja rekodi

ZOEZI la uandikishaji wa daftari la wa wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2019 umevunja rekodi tofauti na miaka...

Habari Mchanganyiko

Waimbaji wa muziki wa Injili wafundwa

WATUNZI wa Muziki wa Injili nchini wametakiwa kutunga nyimbo zenye ubunifu na maarifa kwa ajili ya utukufu wa Mungu badala ya kutunga nyimbo...

ElimuTangulizi

Matokeo ya darasa la Saba haya hapa

BARAZA la Mitihani nchini (NECTA), limetangaza matokeo ya darasa la saba ambapo Mikoa ya Kanda ya Ziwa imeongoza kwa kushika nafasi 10 za mwanzo. Anaripoti...

Elimu

Mwalimu alalamika kunyimwa ruhusa ya kuuguza mama yake

MWALIMU wa shule ya msingi Chazungwa, wilayani Mpwapwa, Dodoma, Rose Mgulambwa amesema anashangazwa na Afisa Elimu Msingi, Mery Chakupewa kwa kumnyima uhamisho kwa...

Elimu

Kongwa, Chalinze wakumbushwa cha kufanya mradi wa usomaji vitabu

IDARA  ya Elimu Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma na Wilaya ya Chalinze, Pwani wametakiwa kuhakikisha wanaendeleza mambo muhimu waliyonufaika na Mradi wa Usomaji...

Elimu

Wazazi watakiwa kushirikiana na walimu kuwajenga watoto

WAZAZI pamoja na walezi wametakiwa kujenga utamaduni wa kushirikiana na walimu ili kuweza kuwajenga watoto katika malezi bora. Anaripoti Danson Kaijage, Moshi …...

Afya

Mifumo ya Afya yatakiwa kuandikwa kwa kiswahili kusaidia wananchi

KATIBU  Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Zainabu Chaula amewagiza wataalamu wa sekta ya Afya wanaohusika...

Habari za Siasa

Serikali yaahidi kutoa ushirikiano kwa LHRC

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa kituo cha msaada wa Kisheria na haki za...

Habari Mchanganyiko

Tumieni fursa zinazojitokeza-Mavunde

ANTONY Mavunde, Naibu Waziri Ofisi ya Rais anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, amewataka vijana kutumia vyema fursa wanazozipata ili kujiingizia kipato badala ya...

Elimu

HakiElimu yaeleza changamoto mtoto wa kike

KUTEMBEA mwendo mrefu pia kushindwa kupatikana kwa mahitaji kwa mtoto wa kike, husababisha watoto hao kufikiria kuacha shule. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Askofu: Msiogope kubadilisha katiba

JOSEPH Bundala, Askofu Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini Tanzania amezitaka taasisi za dini kufanya mabadiliko ya katiba zao, ili ziendane na wakati...

Habari za Siasa

Bunge laahairishwa, maswali 123 yaulizwa

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limehailishwa hadi tarehe 6 Novemba, 2019, baada ya wabunge kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Musiba, Lugola waingia vitani

MUDA mchache baada ya Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kumtaka Cyprian Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais...

Habari za Siasa

Uhifadhi magereza ni kwa mujibu wa sheria – Masauni

SERIKALI imesema, moja ya jukumu la Jeshi la Magereza ni kuwapokea na kuwaifadhi waharifu wa aina zote, wanaopelekwa kwa mujibu wa sheria. Anaripoti Danson...

Tangulizi

Serikali yamchoka Musiba, yamfananisha na tapeli

CYPRIAN Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais John Magufuli, amechokwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Serikali kupitia Kangi Lugola, Waziri wa Mambo...

Habari Mchanganyiko

Walemavu watakiwa kuwa wabunifu

SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya watu wenye ulemavu kuwa wabunifu katika kuibua miradi, badala ya kutegemea wafadhili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wilaya 27 hazina mahakama za wilaya-Dk. Mahiga

SERIKALI imesema, ni kweli Wilaya ya Itilima kwa sasa haina Mahakama ya Wilaya, hivyo wananchi wanalazimika kusafiri kwa umbali wa kilometa 37 kufuata...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Lissu amejitakia mwenyewe

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amesema, Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki amejitajia mwenyewe ‘kuvuliwa ubunge.’ Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). “Kwa...

Habari za Siasa

Kubenea ahoji vibali vya sukali kutoka nje

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ameihoji serikali na kutaka ieleze kama kitendo cha kutoa kibali cha viwanda vya sukari kuagiza sukari nje...

Habari za Siasa

TRA inakwama kukusanya kodi Mbagala-Mbunge

ISSA Mangungu, Mbunge wa Mbagala ameishauri serikali irudishe mamlaka ya kukusanya kodi ya majengo kwa halmashauri, akidai kwamba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kwanini serikali inalipisha fedha maiti?-Mbunge ahoji

MBUNGE wa upinzani ameitaka serikali ieleze, ni lini itaacha kulipisha fedha maiti? Anaripoti Danson Kaijage … (endelea). Ni kutokana na mgonjwa kufia hospitalini...

Habari za Siasa

Zogo bungeni, wapinzani wafura

HATUA ya Bunge la Jamhuri kupitisha Mswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali (Na.5) wa mwaka 2019, imetibua wapinzani. Anaripoti Danson Kaijage...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe alianzisha; AG, Waitara wamtuliza

SUALA la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2019, limeibuka bungeni na kusababisha mabishano baina ya Mwita Waitara, Naibu Waziri Ofisi ya...

Habari za Siasa

‘Matukio kutupa watoto yameongezeka’

BUNGE limeelezwa, katika kipindi cha Januari hadi Juni 2019, kumekuwa na jumla ya matukio 66 ya watoto waliotupwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

AfyaHabari za Siasa

Mbunge ataka mazingira rafiki kwa madaktari bingwa

SONIA Mgogo, Mbunge wa Viti Maalum (CUF), ameitaka serikali kueleza mpango wake wa kuwawezesha madaktari bingwa ili wafanye kazi nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Ddodoma …...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge Chadema ahoji miradi ya maji kutokamilika

SERIKALI imetakiwa ieleze, ni lini itahakikisha miradi ya maji ambayo inatakiwa kutekelezwa, inatekelezwa kwa wakati. Anaripoti Dandon Kaijage, Dodoma … (endela). Pia imetakiwa...

error: Content is protected !!