MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewaagiza wakuu wilaya na mikoa kushirikiana na mamlaka zingine kuwaaondoa wananchi wote wanaoishi na kuendesha shughuli za...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Shinyanga, imewaacha huru wanachama wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Katala Kikaja na Ng’hulima Lilanga, baada ya...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022JOPO la ngazi ya juu la Umoja wa Mataifa tarehe 26 Oktoba lilishutumu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea Beijing katika...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022DEODATUS Thadeo anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kujiteka baada ya kudaiwa kuiba kiasi...
By Regina MkondeNovember 16, 2022MISS Tanzania 2018 – Queenelizabeth Makune ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amepokea Nakala za Hati za Utambulisho za...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete amewataka Wahandisi wa Shirika ya Reli Tanzania (TRC) kuhakikisha vifaa vyote vinavyotumika katika ujenzi wa reli...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022VIONGOZI nchini wametakiwa kuacha kufanya siasa kwenye ardhi bali waitumie katika kuboresha shughuli za usimamizi endelevu wa misitu ikiwemo kuweka mipaka ya...
By Christina HauleNovember 16, 2022MAKAMU wa Rais Dk. Phillip Mpango, anatarajaiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA), zitakazotolewa...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, leo Jumatano, tarehe 16 Novemba 2022, amefanya uteuzi wa viongozi wawili, akiwemo Dk. Sharifa Omar Salim,...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022KAMATI maalum ya Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo upande wa Zanzibar, imeagiza Sekretarieti ya chama hicho kuratibu vikao vya viongozi na wanachama kwa...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022MBUNGE wa Rwanda, Gamariel Mbonimana ambaye alijiuzulu ubunge juzi tarehe 14 Novemba, 2022, ameomba msamaha kwa kuendesha gari akiwa mlevi. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022WAKATI kura za uchaguzi wa bunge hazijamalizika kuhesabiwa, rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza nia ya kugombea urais kwa mara...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022RAIS wa shirikisho la kandanda duniani, Gianni Infantino ametoa wito wa kusitishwa kwa muda wa mwezi mmoja vita kati ya Urusi na...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2022KAMATI ya kudumu ya Miundombinu ya Bunge imefanya ziara katika Ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kupata maelezo ya usimamizi...
By Seleman MsuyaNovember 16, 2022WIZARA ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi ya Zanzibar imeipongeza Benki ya NMB kwa kuleta masuluhisho maalum yalio rafiki kwa ajili ya wakandarasi huku...
By Gabriel MushiNovember 15, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) ambaye ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara (NBC Premier League) imesisitiza kuhusu...
By Gabriel MushiNovember 15, 2022MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango (CCM) ameazisha miradi ya viti vya kukodisha kwa ajili ya biashara kwenye kata 14 katika jimbo...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2022WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameelezea kuridhishwa na Ujenzi wa Barabara ya Mabasi yaendayo haraka – (BRT) sehemu ya...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2022BENKI ya CRDB imeendelea kudhihirisha kuwa benki bora na kinara nchini kwa kutunikiwa tuzo mbili za umahiri katika sekta ya fedha nchini katika...
By Gabriel MushiNovember 15, 2022Serikali imeiagiza Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL), kusimamia kwa karibu taasisi hiyo ili miradi inayotekelezwa inakamilika...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2022MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewakamata watu wawili jijini Arusha kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2022JUMLA ya watuhimiwa 11 wamekamatwa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) ikiwamo Kocha wa makipa wa Klabu ya...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2022BENKI ya NMB imepongeza uanzishwaji wa kongamano la Kigoda cha utafiti cha Mkapa na Chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT). Kwani hiyo ni...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2022TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imesaini mkataba wa ushirikiano na chuo Kikuu cha Jagiellonian nchini Poland, wenye lengo la kubadilishana ujuzi...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2022SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Dk. Tulia Ackson Mwansasu, ameitaka serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA), kuangalia upya utaratibu wa mashirika...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2022BARAZA la Mawaziri nchini Tanzania limeelekeza vitengo vyote vinavyohusika na kukabiliana na majanga viimarishwe ili kuongeza uwezo wa kukabiliana na majanga. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2022MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na wadau wengine, imeanza utaratibu wa kutoa rasilimali za mawasiliano kwa wabunifu wapya wa Teknolojia ya...
By Regina MkondeNovember 14, 2022WANAWAKE kadhaa wa Kata ya Luguruni wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Herry James, wakidai kutopata huduma ya maji kwa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2022RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa “atajiuzulu” iwapo atashtakiwa kwa madai ya kuficha wizi katika shamba lake la kibinafsi, kulingana na msemaji...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2022VIONGOZI wa Marekani na China wamekutana katika hatua ambayo inalenga kutuliza joto la mzozo kati ya nchi zao. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2022KUNDI la 16 la wananchi wanaohama kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera limeondoka leo tarehe 14 Novemba,...
By Gabriel MushiNovember 14, 2022KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL imepata faida ya shilingi bilioni 3.8 baada ya kodi na imepitisha gawio kwa wanahisa wake litakalotolewa mwezi ujao....
By Mwandishi WetuNovember 13, 2022BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefungua dirisha la rufaa ndani ya siku saba kwa wanafunzi ambao hawakuridhika na...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2022KLABU ya Soka la Yanga imeibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu Bara...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2022WATAHINIWA 566,840 wa kidato cha nne nchini Tanzania wanatarajia kuanza mitihani yao ya Taifa kesho Jumatatu tarehe 14, Novemba, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiNovember 13, 2022KATIKA kuhamasisha wateja wa Benki ya NMB kutumia kadi ‘master card’ pamoja na mfumo wa NMB Mkononi kufanya miamala badala ya kutumia...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2022JUMLA ya mabalozi 45 wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wanatarajiwa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2022SERIKALI imevitaka vyuo kuzingatia mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi vyuoni ili kuondoa malalamiko kutoka kwa waajiri kwamba wahitimu wengi wanahitimu bila kuwa na...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema mwaka huu Tanzania inatarajia kupokea mgawo wa Dola...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2022KATIKA kuchangamkia fursa ya soko la mabondo ya samaki nchini China, Serikali imeongeza bajeti ya kiasi cha Sh bilioni 60 katika sekta ya...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2022MRATIBU wa huduma za chanjo mkoa wa Morogoro Dk. Masumbuko Igembya amewahimiza watu wote wakiwemo wenye magonjwa sugu kuachana na maneno ya...
By Christina HauleNovember 11, 2022WAHASIBU na Wakaguzi wa Hezabu nchini wametakiwa kuweka mbele maslahi ya umma, kuwa waadilifu na kuzingatia maadili na sheria zinazowaongoza kwenye kazi zao...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2022HALMASHAURI za Wilaya zenye vijiji vinavyotekeleza miradi ya usimamizi shirikishi wa misitu na biashara endelevu ya mazao ya misitu nchini zimetakiwa kufanya...
By Christina HauleNovember 11, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mipango ya sekta ya maji, ili kuongeza...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wazoee tozo zinazotozwa katika baadhi ya huduma za usafirishaji, kwa kuwa barabara za kulipiwa zitajengwa nyingi...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2022SERIKALI ya Tanzania, imetoa wito kwa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya upungufu wa mazao ya chakula unaosababishwa na ukame uliotokana na ukosefu...
By Regina MkondeNovember 11, 2022MAJALIWA Jackson, mvuvi aliyesaidia zoezi la kuwaokoa manusura wa ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision Air mkoani Kagera, amechangiwa pesa kiasi...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo kupitia Ofisi ya Katibu Mkuu Taifa, kimeinga uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2022MUSWADA wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, umeshindwa kusomwa kwa mara ya pili bungeni jijini Dodoma, kutokana na mhimili huo...
By Regina MkondeNovember 11, 2022