Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mbarouk amhakikishia ushirikiano Balozi DRC
Habari Mchanganyiko

Mbarouk amhakikishia ushirikiano Balozi DRC

Spread the love

 

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amepokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) nchini, Jean-Pierre Massala katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara tarehe 15 Novemba, 2022 Jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Akizungumza baada ya kupokea nakala hizo, Balozi Mbarouk amemhakikishia Balozi huyo kuwa Serikali itampa ushirikiano wakati wa utekelezaji wa majukumu yake hapa nchini.

Balozi Mbarouk ameongeza kuwa Tanzania na DRC zitaendelea kushirikiana kwenye masuala mbalimbali yenye maslahi kwa pande zote mbili hususan biashara na uwekezaji.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!