WADAU katika Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam, wamezungumzia miaka mitano ya utumishi wa Saed Kubenea, mbunge wa jimbo hilo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 13, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amezungumza kwa njia ya simu na Rais Mteule wa Jamhuri ya Burundi, Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kwa...
By Mwandishi WetuJune 13, 2020CHAMA cha Demokrasia na Mwendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimepewa mbinu za ushindi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais Oktoba 2020. Anaripoti...
By Regina MkondeJune 13, 2020MWANAZUONI Dk. Azaveli Lwaitama amesema, Taifa linapita katika kipindi kigumu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kutokana na wananchi wengi kukata tamaa ya...
By Regina MkondeJune 13, 2020OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, imekitaka Chama cha ACT-Wazalendo, kutoa maelezo ya ufafanuzi kuhusu mazungumzo yake na Ubalozi wa...
By Regina MkondeJune 13, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia leo Jumamosi tarehe 13 hadi 15 Juni, 2020 kufuatia kifo...
By Mwandishi WetuJune 13, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya India, Narendra Modi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJune 12, 2020JESHI la Polisi Tanzania, limetoa taarifa za uchunguzi wa awali wa tukio linalodaiwa kushambuliwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
By Mwandishi WetuJune 12, 2020BAADHI ya wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameingia hofu ya kutorudi bungeni, kutokana na muundo wa mchakato wa kuteuliwa ndani ya chama...
By Regina MkondeJune 12, 2020POLISI watatu nchini Kenya, wamekamatwa kwa tuhuma za kumfunga kamba Mercy Cherono (21) kwenye pikipiki, kisha kumburuza kwa tuhuma za kuhusika katika uporaji....
By Mwandishi WetuJune 12, 2020CHAMA CHA Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya mchakato wa kupata wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJune 12, 2020ALIYEKUWA mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, ameanza kupata upinzani mkali katika mbio zake za kutaka kuwania urais, kupitia Chama cha Demokrasia...
By Mwandishi WetuJune 12, 2020ALBERT Obama, Mbunge wa Buhigwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma, amemjibu Dk. Phillip Mpango, Waziri wa Fedha, kufuatia kauli yake...
By Regina MkondeJune 12, 2020HALIMA Mdee, Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Fedha na Mipango, amemvaa Dk. Phillip Mpango, Waziri wa wizara...
By Masalu ErastoJune 12, 2020KAMATI ya Bunge ya Bajeti imeishauri Serikali ya Tanzania kuacha utaratibu wa sasa wa ukusanyaji wa mapato yote yanayotokana na shughuli za utalii...
By Mwandishi WetuJune 12, 2020GOODLUCK Mlinga, Mbunge wa Ulanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), amezichongea halmashauri bungeni, kwamba zina tatizo kubwa la matumizi mabaya na ubadhirifu wa...
By Mwandishi WetuJune 12, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, itawafikisha mahakamani watumishi nane wakiwemo saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kwa...
By Regina MkondeJune 12, 2020WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango ametangaza ‘kiaina’ kuwania Ubunge wa Buhigwe mkoani Kigoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi...
By Mwandishi WetuJune 12, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yuko chini ya uangalizi wa kawaida kwa siku tatu katika Hospitali ya Aga...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020SERIKALI ya Tanzania imependekeza mfumo wa ukusanyaji wa mapato yanayotokana na sekta ya utalii na mazao ya misitu nchini humo kufanywa na Mamlaka...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Sh. 34.88 trilioni, katika Mwaka wa Fedha 2020/21. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020SERIKALI ya Tanzania imependekeza kufuta au kupunguza ada na tozo 60 zinazotozwa na wizara, idara na taasisi zinazojitegemea ili kuondoa kero na urasimu...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020NCHI zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimependekeza viwango vipya na kuondoa tozo za ushuru wa pamoja wa forodha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Hayo...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020SERIKALI ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Magufuli, imejigamba kutekeleza miradi mikubwa tangu iliopanza kuwatumikia wananchi mwaka 2015. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJune 11, 2020WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amewasilisha Bungeni Bajeti ya Serikali ya Tanzania ya mwaka 2020/21 ya Sh. 34.87 Trilioni. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020THOBIAS Andengenye, aliyekuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Tanzania amemshukuru Rais wa nchi hiyo, John Magufuli kwa kumsamehe. Anaripoti...
By Regina MkondeJune 11, 2020MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Francis Mutungi ameitaka Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata) kuhakikisha inapigia upatu sera ya siasa safi na...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametangaza hadharani kumsamehe aliyekuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye ambaye alimuomba msamaha. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020RAIS wa John Magufuli amewataka Watanzania kutodharau dawa za kienyeji katika kukabiliana na maradhi mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiongozi huyo wa Tanzania ametoa...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amelipongeza Bunge la nchi hiyo, kwa kupitisha azimio itakayozuia mtu au mamlaka kuhamisha Makao Makuu ya nchi yaliyopo...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020DK. John Magufuli, Rais wa Tanzania amesema, atamwandikia barua Kristalina Georgieva, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha za Kimatiafa (IMF ), kwa ajili...
By Regina MkondeJune 11, 2020SERIKALI imeweka vipaombele 1 vya miradi ya maendeleo kwa mwaka 2020/2021 ili kuhakikisha uchumi unakuwa kwa kasi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 11, 2020WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mwasiliano, imeongoza kwa kupatiwa fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kuanzia mwaka 2016/2017 hadi 2019/2020. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020RITTA Kabati, Mbunge Viti Maalumu mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ameiomba Serikali kuwapunguzia gharama za matibabu wagonjwa wa saratani na figo....
By Mwandishi WetuJune 11, 2020SERIKALI imesema, mwaka jana (2019) pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja lilikuwa Sh. 2,577,967 kutoka Sh. 2,452,406 mwaka 2018, sawa na ongezeko...
By Danson KaijageJune 11, 2020SERIKALI ya Tanzania imesema, ina mpango wa kujenga magereza kila wilaya, ili kumaliza tatizo la mrundikano wa mahabusu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuJune 11, 2020SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuja na bajeti itakayoziba mapengo yaliyoachwa na athari za mlipuko wa virusi vya corona (COVID-19), hususan katika uchumi wa...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimeanza rasmi kujipanga kwa ajili ya kushiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania, Dk. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020MAHMOUD Mousavi-Majd, Raia wa Iran aliyesaidia Intelejensia ya Marekani (CIA) kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Iran, Qassem Soleimani amehukumiwa kunyongwa hadi...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni nchini Tanzania, imekosoa marekebisho yanayokusudiwa kufanywa katika Sheria ya Utekelezaji wa Haki na Wajibu wa Msingi, Sura ya...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020MUSWADA wa wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.3) wa Mwaka 2020 umewasilishwa bungeni ukipendekeza kufanyika marekebisho ya sheria 13 ikiwemo inayoweka masharti ya...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo kimebainisha vikwazo kumi vitakavyosababisha uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 kutokuwa huru, haki na unaoweza kuacha majeraha kwa Watanzania. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad ameliita tukio la kushambuliwa kwa Freeman Mbowe, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020SERIKALI ya Tanzania imetoa mwenendo juu ya hali ya maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19)....
By Mwandishi WetuJune 10, 2020WATU 59 wameuawa katika shambulio lililofanywa na waasi kwenye Kijiji cha Borno, kilichopo Kaskazini mwa Nigeria jana jioni tarehe 9 Juni 2020. Chombo cha habari...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020TUKIO la kushambuliwa na watu wasiojulikana lililomkuta Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), usiku wa kuamkia Jumanne tarehe 9...
By Masalu ErastoJune 10, 2020BUNGE la 11 la Tanzania linaloongozwa na Spika Job Ndugai, litahitimishwa Jumanne ijayo tarehe 16 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 10, 2020UBALOZI wa Marekani nchini Tanzania umetoa tamko la kulaani tukio la kushambuliwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
By Mwandishi WetuJune 10, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, inatarajia kuwahoji wabunge 69 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuhusu tuhuma...
By Regina MkondeJune 10, 2020