TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maaendeleo (Chadema)-Bara amesema, atazungumza na Watanzania Jumatatu tarehe 8 Juni 2020 kuelezea adhima yake...
By Mwandishi WetuJune 5, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewawataka viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), wanaotarajiwa kuchaguliwa hivi karibuni, kuja na mipango madhubuti ya kukiimarisha...
By Regina MkondeJune 5, 2020ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) nchini Tanzania, Laurean Bwanakunu na mwenzake wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam...
By Faki SosiJune 5, 2020DK. John Magufuli, Rais wa Tanzania, amesema atafungua shule za msingi na sekondari hivi karibuni, kama ataridhishwa na kasi ya upunguaji wa maambukizi...
By Mwandishi WetuJune 5, 2020CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeiomba Serikali kuajiri walimu wapya, ili kuondoa changamoto ya uhaba wa walimu iliyotokana na mpango wa elimu bila...
By Mwandishi WetuJune 5, 2020WIZARA ya Nchi Ofisi wa Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeeleza, watumishi wa sekta ya ardhi waliokuwa chini...
By Danson KaijageJune 5, 2020MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party, (TLP) Augustine Lyatonga Mrema amesema, katika uchaguzi mkuu mwaka 2020 chama chake hakitaweka mgombea wa Rais...
By Hamisi MgutaJune 5, 2020JAFET Emmanuel, Mkazi wa Kilimahewa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwa kosa la...
By Mwandishi WetuJune 5, 2020KUANZIA kesho Jumamosi tarehe 6 Juni 2020, miji mbalimbali ya Australia inatarajia kushuhudia maelfu ya raia wake kushiriki maandamano kupinga ubaguzi wa rangi....
By Mwandishi WetuJune 5, 2020SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema, ndani ya siku 14 zijazo, litarejesha safari za treni za mizigo na abiria kati ya Dar es...
By Mwandishi WetuJune 5, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka itawafikisha mahakamani aliyekuwa mtendaji mkuu wa Bohari...
By Regina MkondeJune 5, 2020KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Rais John Magufuli, kutokana na mazungumzo yaliyofanyika kwa...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimesema, kimeupokea kwa mikono miwili mwaliko uliitolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kauli...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako...
By Hamisi MgutaJune 4, 2020WAFANYAKAZI wanne wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya...
By Hamisi MgutaJune 4, 2020SERIKALI ya Kenya imetangaza wagonjwa wapya 124 wa virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Akizungumza na waandishi wa habari leo...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamepinga muswada wa marekebisho...
By Hamisi MgutaJune 4, 2020ALLY Mohamed Mtiga, mwenyekiti wa kamati ya mazingira mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio wilayani Temeke, Dar es Salaam, anashikiliwa na Taasisi ya...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020MKUU wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Tom Apson ameongoza mazishi ya Chris Mfinanga, aliyekuwa mpigapicha wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa yaliyofanyika kwenya...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ‘wamealikwa’ kwenye meza ya mazungumzo...
By Danson KaijageJune 4, 2020JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 limeanza kufukuta, vyama mbalimbali vya siasa vimeanza kuweka mikakati yake ya kupata wagombea. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020WAGONJWA wa virusi vya corona (COVID-19) waliopona duniani wafikia 3,183,578 huku vifo vikiwa 388,353. Unaripoti mtandao wa Worlometer … (endelea). Hadi kufikia leo...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020UCHUNGUZI wa awali wa afya ya George Floyd umeonesha kwamba, alikuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa kali ya mapafu corona (COVID-19). Inaripoti mitandao...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inawafikisha watumishi wanne wa Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC) katika Mahakama ya...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ameitaka Tume ya Haki za Binadamu Tanzania kufanya wajibu wake wa kuwaelimisha...
By Hamisi MgutaJune 3, 2020WILFRED Muganyizi Lwakatare, mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Bukoba Mjini, mkoani Kagera, aliyetangaza kustaafu mbio za ubunge,...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi, Rais John Pombe Magufuli amefanya kikao na viongozi waandamizi wa chama hicho akiwemo Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed...
By Hamisi MgutaJune 3, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inawashikilia watumishi wanne wa Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC) kwa tuhuma mbalimbali...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER), Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi...
By Hamisi MgutaJune 3, 2020PAPA Francis, Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani amesema, dunia haiwezi kupuuza ubaguzi wa rangi na kutengwa kwa watu. Inaripoti Mitandao ya kimataifa...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020MAHAKAMA Kuu Masjala ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba ya kupinga uamuzi wa Job Ndugai, Spika wa Bunge kumrejesha bungeni...
By Faki SosiJune 3, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maaendeleo (Chadema)-Bara, amesema atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, ameitaka Serikali kutumia kipindi kifupi kilichobaki cha uhai wa Bunge, kupeleka muswada...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020RICHARD Zablon, muuguzi katika Zahanati ya Chamwino, jijini Dodoma, leo tarehe 3 Juni 2020 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini humo, kwa...
By Danson KaijageJune 3, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimefungua milango ya majadiliano na vyama vingine vya upinzani ili kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020SIKU ya miguu kifundo au nyayo za kupinda ulimwenguni huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Juni. Tarehe hii ilitokana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020CHAMA cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema) kimefungua milango kwa watia nia wa urais wa chama hicho kuanzia leo Jumatano tarehe 3, Juni hadi...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020NELSON Ndalu (67) anatuhumiwa kukopesha wananchi kwa riba kubwa na kisha kuwafilisi kwa kutaifisha mali zao kinyume cha sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020KAMA mji au jimbo litashindwa kuchukua hatua muhimu za kurejesha hali ya amani, basi nitatumia jeshi la Marekani kufanya kazi hiyo. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka Idara ya Uhamiaji kutambua wajibu wao wa kutoa huduma iliyobora na inayokidhi matarajio ya wateja ambao...
By Hamisi MgutaJune 2, 2020MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya taa zitakazoanza...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inalaumiwa kubagua vyama vya siasa vya upinzani. Ni katika maboresho ya kanuni mbalimbali za uchaguzi. Anaripoti Faki...
By Masalu ErastoJune 2, 2020MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda, ameziagiza daladala jijini humo, kutowaacha wanafunzi vituoni kwa kigezo cha kubeba abiria...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inamshikilia aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Kaimu mkurugenzi wa Lojistiki wa...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020FLOYD Mayweather, bondia anayeongoza kwa kulipwa fedha nyingi dunia, amesema atalipa gharama zote zitazohitajika katika msiba wa George Floyd. Inaripoti mtanzano wa BBC…(endelea). Floyd,...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimetoa utaratibu mpya utakaotumika kuwapata wagombea udiwani, ubunge na uwakilishi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguJune 2, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mtwara, imewakamata wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 18 akiwamo Ofisa wa Mamlaka...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020MAHAKAMA ya Rufaa ya Afrika Mashariki (EAC), imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Jamhuri dhidi ya gazeti la kila wiki la MSETO, kupinga gazeti...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020MAMBO yanazidi kwenda mrama Marekani, mauaji yanaanza kushuhudiwa kwenye maandamano ya kulaani kuuawa kwa Mmarekani mweuzi, George Floyd akiwa mikononi mwa polisi. Inaripoti mitandao...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020JOTO la Uchaguzi wa urais, wabunge na wawakilishi utakaofanyika Oktoba 2020, visiwani Zanzibar, limepamba moto huku kukiwa na tuhuma za vyama vya upinzani,...
By Mwandishi WetuJune 2, 2020