Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wagonjwa 124 wa corona waongezeka Kenya
Kimataifa

Wagonjwa 124 wa corona waongezeka Kenya

Mutahi Kagwe, Waziri wa Afya Kenya 
Spread the love

SERIKALI ya Kenya imetangaza wagonjwa wapya 124 wa virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020, Waziri wa Afya nchini humo, Mutahi Kagwe amesema, wagonjwa hao wamebainika baada ya sampuni 2,640 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita.

Kangwe amesema, wagonjwa wamefikia 2,340 nchini humo huku wagonjwa 39 wakipona na wanne wakifariki dunia.

Waziri huyo, amewaomba Wakenya kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa huo ikiwemo kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima, kuvaa barakoa na kunawa mikono kwa maji tiririka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!