Monday , 11 December 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353
Kimataifa

Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353

Spread the love

WAGONJWA  wa virusi vya corona (COVID-19) waliopona duniani wafikia 3,183,578 huku vifo vikiwa 388,353. Unaripoti mtandao wa Worlometer … (endelea).

Hadi kufikia leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020, mtandao huo ulikuwa umeripoti wagonjwa 6,591,124 duniani.

Marekani imeendelea kuwa taifa linaloongoza maambukizo ulimwenguni, likiwa na wagonjwa 1,902,031, waliopona 688,670, huku vifo vikifikia 109,146.

 Brazil ina wagonjwa 584,562, waliofariki dunia 32,568 na waliopona wakiwa 266,132.

China ambako ndiko corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina wagonjwa 83,022, waliofariki wakiwa 4,634 na waliopona wakiwa 78,319 huku wagonjwa wanaoendelea na matibabu nchini humo wakiwa 69 na watatu wakiwa katika hali inayohitaji uangalizi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Sakata la uhamiaji Rwanda lamng’oa waziri Uingereza

Spread the loveWaziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Robert Jenrick amejiuzulu baada ya...

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

Spread the loveMUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

Spread the loveSERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake,...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

Spread the loveJESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada...

error: Content is protected !!