Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353
Kimataifa

Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353

Spread the love

WAGONJWA  wa virusi vya corona (COVID-19) waliopona duniani wafikia 3,183,578 huku vifo vikiwa 388,353. Unaripoti mtandao wa Worlometer … (endelea).

Hadi kufikia leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020, mtandao huo ulikuwa umeripoti wagonjwa 6,591,124 duniani.

Marekani imeendelea kuwa taifa linaloongoza maambukizo ulimwenguni, likiwa na wagonjwa 1,902,031, waliopona 688,670, huku vifo vikifikia 109,146.

 Brazil ina wagonjwa 584,562, waliofariki dunia 32,568 na waliopona wakiwa 266,132.

China ambako ndiko corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina wagonjwa 83,022, waliofariki wakiwa 4,634 na waliopona wakiwa 78,319 huku wagonjwa wanaoendelea na matibabu nchini humo wakiwa 69 na watatu wakiwa katika hali inayohitaji uangalizi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!