Saturday , 27 April 2024

Habari

Kimataifa

Viongozi wa Afrika Mashariki watoa wito kusitishwa mapigano DR Congo

  VIONGOZI wa nchi za Afrika Mashariki wametoa wito wa kusitisha mapigano pamoja na uhasama kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa...

Kimataifa

Vikosi vya kijeshi vya Afrika Mashariki kutumwa Congo

  VIKOSI vya Jeshi la Kanda ya Afrika Mashariki, vinatarajiwa kutumwa mara moja katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa ajili...

Kimataifa

Ugonjwa wa Monkeypox ‘wabisha’ hodi Uganda

  TAASISI ya Utafiti wa Virusi nchini Uganda (UVRI), imetangaza kuwaweka katika uangalizi maalumu watu sita, wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa wa Monkeypox. Anaripoti...

Kimataifa

Mgombea urais aahidi kulipa mishahara kila baada ya wiki 2, kuhalalisha bangi

  KAMPENI za Uchaguzi Mkuu nchini Kenya zimeendelea kutimu vumbi huku Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Roots, Profesa George Wajackoyah...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Waziri Mkuu Uingereza aponea kung’olewa

  WAZIRI mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aponea chupu chupu kuondoka madarakani, kufuatia kura ya kutokuwa na imani naye kushindwa kufaulu. Anaandika Mwandishi...

HabariKimataifa

Mkuu Umoja wa Afrika amwangukia Putin, ‘Afrika ndio wahanga’

MWENYEKITI wa Umoja wa Afrika (AU), Macky Sall ambaye pia ni Rais wa Senegal amemtaka Rais wa Urusi, Vladimir Putin kuchukua hatua kutoka...

Kimataifa

Marekani kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu vita na Urusi

MAREKANI itaitumia Ukraine mifumo ya juu zaidi ya roketi kuisaidia kujilinda, Rais Biden ametangaza. Kwa mujibu wa BBC silaha hizo, zilizoombwa kwa muda...

Kimataifa

EU kuacha kuagiza 90% ya mafuta Urusi

  VIONGOZI wa mataifa ya Umoja wa Ulaya wamekubaliana kupiga marufuku uingizaji wa hadi theluthi mbili ya mafuta kutoka Urusi ifikapo mwishoni mwa...

Kimataifa

Canada kupiga marufuku umiliki wa bastola

  WAZIRI Mkuu wa Canada, Justin Trudeau amesema serikali yake itapeleka muswada bungeni kuweka zuio la nchi nzima kwa watu kumiliki bastola pamoja...

Kimataifa

Wagombea 11 waenguliwa kugombea urais

  TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) imewaondoa wanasiasa 11 kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais wa nchi hiyo unaotarajiwa kufanyika...

Kimataifa

Miaka mitatu jela kwa kuwanyanyasa yatima kingono

  MAHAKAMA nchini Misri imemhukumu tajiri mkubwa Mohamed El Amin kifungo cha miaka mitatu jela, kwa kuhusika katika biashara haramu ya kusafirisha binadamu...

Kimataifa

Mwanadiplomasia wa Urusi ajiuzulu kutokana na vita nchini Ukraine

  MWANADIPLOMASIA kutoka nchini Urusi Borisi Bondarev, ameacha kazi kupinga vita vya umwagaji damu usiokuwa na msingi ulioanzishwa na Putin dhidi ya Ukraine....

Siasa

ACT-Wazalendo yataka wanajeshi watenganishwe na siasa

  CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimeishauri Serikali kutowateua wanajeshi katika nafasi za uongozi wa umma, ili kuwatenga na siasa. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Kimataifa

Mwanafunzi apeleka kuku shuleni kama malipo ya karo

  MWANAFUNZI Lawrence Murimi mwenye umri wa miaka 14, anayetaka kujiunga na kidato cha kwanza katika shule ya Upili ya Kangaru kaunti ya...

HabariKimataifa

Goodluck Jonathan kuwania urais tena

ALIYEKUWA rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan ametangaza kuwania urais wa taifa hilo na kubadili mpango wa awali wa kutowania tena wadhifa huo. Anaripoti...

HabariKimataifa

Hospitali yakanusha madai maiti ya msanii kuimba Ekwueme usiku

HOSPITALI ya Kitaifa ya Abuja nchi Nigeria imekanusha madai kuwa maiti ya mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili, Osinachi Nwachukwu, ilikuwa ikiimba ‘Ekwueme’...

Kimataifa

Sauti Sol yatishia kushitaki kampeni za urais za Raila Odinga

  KUNDI la muziki kutoka nchini Kenya , linalofahamika kwa jina la Sauti Sol, limetishia kushitaki kampeni za urais za Waziri Mkuu wa...

Kimataifa

Kongamano la miji ya Afrika lafunguliwa nchini Kenya

  VIONGOZI magwiji wa soka na nyota wa Hollywood wanakutana leo,katika jiji la Kisumu kando ya Ziwa Victoria nchini Kenya,kwaajili ya Kongamano la...

HabariKimataifa

Mazungumzo yaanza kuwaondoa wanajeshi waliojeruhiwa Mariupol

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesema kuwa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanawaondosha wanajeshi wao, waliojeruhiwa katika jimbo la Mariupol. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

AfrikaHabari

Majenerali 35 kustaafu kutoka jeshi la Uganda

TAKRIBANI majenerali 35 wanatarajia kustaafu kutoka jeshi la Uganda (UPDF) mwezi Julai, kulingana na orodha iliyochapishwa na gazeti lakibinafsi nchini humo. Anaripoti Rhoda...

HabariKimataifa

Kijana afyatua risasi na kuua watu 10

KIJANA mmoja kutoka mji wa Buffalo, New York anayefahamika kwa jina na Payton Gendron mwenye umri wa miaka 18, amefyatua risasi kwa makusudi...

HabariKimataifa

Odinga amtangaza Martha Karua kuwa mgombea mwenza

HATIMAYE mpeperusha bendera wa Muungano wa Azimio la Umoja-katika Uchaguzi Mkuu nchini Kenya, Raila Odinga amemtangaza Martha Karua kama mgombea mwenza wake. Anaripoti...

Kimataifa

Odinga kumtambulisha mgombea mwenza leo, Martha atajwa

MGOMBEA urais wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kupitia Muungano wa Azimio, Raila Odinga anatarajiwa kumtaja mgombea mwenza leo katika mkutano wa hadhara utakaofanyika...

Kimataifa

Umoja wa Falme za Kiarabu wapata rais mpya

  MTAWALA wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan amechaguliwa rasmi kuwa rais leo tarehe 14 Mei,...

Kimataifa

Afrika Kusini yataka mashirika kununua chanjo za Covid 19 Afrika

  RAIS wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa,ameyataka mashirika ya kimataifa na mashirika ya wafadhili kununua chanjo za Covid 19 kutoka kwa wazalishaji wa...

Kimataifa

Korea Kaskazini yatangaza karantini nchi nzima

  KOREA KASKAZINI imetangaza amri ya kutotoka nje nchi nzima,baada ya kudhibitika kwa maambukizo ya kwanza ya Covid 19. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

Kimataifa

Finland kuomba uanachama wa NATO

  RAIS Sauli Niinisto na Waziri Sanna Marin wa Finland wametoa wito kwa nchi hiyo kuomba uanachama wa Nato. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

ElimuHabari

Furahika Education yatangaza nafasi 200 elimu ya ufundi bure

CHUO cha Maendeleo ya Ujuzi, Ufundi na Viwanda (Furahika Education) la Jijini Dar es salaam kimetangaza nafasi za masomo ya ufundi bure kwa...

Kimataifa

Kim Jong Un ampongeza rais Putin kwa siku ya Ushindi

  KIONGOZI wa Korea Kaskazini Kim Un ametuma salamu za pongezi kwa Rais VIadimir Putin baada ya kusherekea Siku ya Ushindi ya Urusi...

Kimataifa

Jonathan ajitosa Urais Nigeria kupitia chama kilichomng’oa

  ALIYEKUWA Rais wa zamani wa Nigeria Gooluck Jonathan, kupitia chama cha tawala cha People’s Democratic Party (PDP), amejitosa tena kuwania kurejea madarakani...

Kimataifa

Bobi Wine kuhudhuria kikao cha Baraza kuu la Chadema

  KIONGOZI wa Upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine,anatarajia kuwa mgeni maalum katika kiakao cha Baraza Kuu la Chadema litakalofanyika...

Kimataifa

BBC yamtaja muigizaji mpya wa Doctor Who

  SHIRIKA la Utangazaji la Uingereza (BBC) limemtangaza Ncuti Gatwa mwenye umri wa miaka 29 , mzaliwa wa Nyarugenge mjini Kigali, Rwanda kuchukua...

Kimataifa

Gavana Benki Kuu ajitosa urais

  GAVANA wa Benki Kuu ya Nigeria (CBN), Godwin Emefiele amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuteuliwa na chama cha All Progressive Congress kuwa mgombea...

Kimataifa

Balozi Mbarouk ampokea Katibu Mkuu Jumuiya ya Madola

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk leo tarehe 5 Mei, 2022 amempokea Katibu Mkuu...

KimataifaTangulizi

Mbunge adakwa akitazama video za ngono bungeni

CHAMA cha Conservative kutoka nchini Uingereza kimemsimamisha uanachama Mbunge wa Jimbo la Tiverton na Honiton, Neil Parish baada ya kubambwa akitazama video za...

Kimataifa

Rais Urusi, Ukraine kukutana ana kwa ana mkutano G20

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin na Volodymyr Zelensky wa Ukraine ambao ni mahasimu kutokana na vita inayoendelea kati ya nchi hizo mbili, wanatarajiwa...

Kimataifa

Afungwa miaka mitano kwa kuua nguruwe msikitini

  MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu Sadate Musengimana, kifungo cha miaka mitano jela kwakosa la kumuua nguruwe msikitini. Anaripoti Rhoada Kanuti kwa msaada wa...

Kimataifa

Rais Uhuru Kenyatta atoa wito kwa DRC

  RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya, ametoa wito kwa makundi mbalimbali nchini DRC Congo yenye silaha kuweka chini silaha zao, na kufanya kazi...

Kimataifa

Urusi yasitisha huduma ya gesi Poland, Bulgaria

  KAMPUNI ya Gazprom, ambayo ni msambazaji mkuu wa gesi asilia nchini Urusi imesitisha usambazaji wa gesi kwa nchi za Bulgaria na Poland,...

Kimataifa

Mamlaka ya Sweden yamrejesha raia wa Rwanda

  MAMLAKA ya Sweden imemrejesha Jean Paul Micomyiza mjini Kigali mwenye umri wa miaka 50,raia wa Rwanda aliyekamatwa nchini Sweden mnamo Novemba mwaka...

Kimataifa

Mataifa ya Magharibi kupeleka ndege za kivita Ukraine

  WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Liz Truss amesema kwamba Uingereza na mataifa mengine yenye nguvu ya Magharibi yabap0aswa kutoa ndege...

Kimataifa

Makamu wa Rais Marekani aambukizwa Corona

MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris imebainika ameambukizwa virusi vya Corona licha ya kupatiwa dozi zote mbili za chanjo ya Covid –...

Kimataifa

Hospitali yashambuliwa Darfur

  SHIRIKA la misaada ya kimatibabu la madaktari wasio na mipaka (MSF) linasema kuwa watu watatu wameuawa ndani ya hospitali katika eneo la...

Kimataifa

Marekani yakanusha kumuwekea vikwazo mpenzi wa Putin

  MSEMAJI wa Ikulu ya White House anayefahamika kwa jina la Jen Psaki amesema kuwa Marekani imekanusha katika taarifa siku ya jumatatu tarehe...

Kimataifa

Tajiri namba 1 duniani ainunua Twitter

  MUASISI wa kampuni ya magari ya Tesla, Elon Musk ambaye pia ni tajiri namba moja duniani, amenunua kampuni ya mtandao wa kijamii...

Kimataifa

Drogba abwagwa urais Ivory Coast

  MFUMANIA nyavu wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba amebwagwa kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Shirikisho...

Kimataifa

Rais Kagame kuhudhuria birthday ya mtoto wa Museveni

MWANAWE Rais Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba ametoa orodha ya watu mashuhuri ambao watahudhuria hafla ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo atafikisha umri...

Kimataifa

Msako waendelea Kenya mauaji mwanariadha wa kike

  MWANARIADHA wakike amepatikana ameuawa huko Iten mji wa Kenya ,ambapo mwanariadha wa Olimpiki Agnes Tirop aliuawa miezi sita iliyopita polisi wameripoti. Anaripoti...

Kimataifa

Jaji afuta sheria ya uvaaji barakoa kwenye vyombo vya usafiri Marekani

JAJI wa Mahakama moja katika jimbo la Florida nchini Marekani ameiondoa sheria ya uvaaji barakoa katika vyombo vyote vya usafiri nchini humo. Jaji...

Kimataifa

Ronaldo apata msiba wa mwanaye

  MSHAMBULIAJI wa Manchester United na staa namba moja duniani wa mpira wa miguu, Cristiano Ronaldo pamoja na mchumba wake Georgina Rodriguez wametangaza...

error: Content is protected !!