Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Vikosi vya kijeshi vya Afrika Mashariki kutumwa Congo
Kimataifa

Vikosi vya kijeshi vya Afrika Mashariki kutumwa Congo

Spread the love

 

VIKOSI vya Jeshi la Kanda ya Afrika Mashariki, vinatarajiwa kutumwa mara moja katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa ajili ya kuimarisha ulinzi na usalama mashariki mwa taifa hilo. Unaripoti Mtandao wa BBC … (endelea).

Hatua hiyo inakuja kufuatia wito wa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo, uliotaka kikosi cha Kanda ya Afrika Mashariki kwenda Congo kwa ajili ya kurejesha usalama katika mikoa ya Ituri, Kivu Kaskazini na Kusini.

Mbali na wito huo, Rais Kenyatta ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) amevita vikundi hasimu kuacha mara moja mapigano bila masharti yoyote.

Rai hiyo ya Rais Kenyatta umetolewa baadaya hivi karibuni mapigano kati ya vikundi vya waasi na Jeshi la Congo, kupamba moto.

Vikosi vya kijeshi vya Kanda ya Afrika Mashariki, vitakwenda kuungana na vikosi vya Umoja wa Mataifa (MUNOSCO).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!