Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Msako waendelea Kenya mauaji mwanariadha wa kike
Kimataifa

Msako waendelea Kenya mauaji mwanariadha wa kike

Spread the love

 

MWANARIADHA wakike amepatikana ameuawa huko Iten mji wa Kenya ,ambapo mwanariadha wa Olimpiki Agnes Tirop aliuawa miezi sita iliyopita polisi wameripoti. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada wa Mashirika ya Kimataifa … (endelea).

Mwanariadha huyo Damaris Muthee Mutua ambaye ni mzaliwa nchini Kenya lakini alikuwa na uraia wa Bahrain,mwenye umri wa miaka 28 , amepatikana ameuawa huko Iten mji wa Kenya ambapo mwanariadha mwingine alikutwa ameuawa mwezi oktoba mwaka jana 2021.

Maafisa wanasema kuwa mwanariadha huyo aliuawa kwa kudungwa kisu.

Serikali inamsaka mpenzi wa mwanariadha huyo wa Ethiopia ambaye polisi wanasema kuwa ni mshukiwa mkuu wa tukio hilo.

Aidha Iten ni kambi ya mafunzo kwa wakimbiaji wa masafa marefu.

Hata hivyo mumewe bado yuko kizuizini na anakanusha mashitka hayo kuhusika na mauaji .

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!