Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Kim Jong Un ampongeza rais Putin kwa siku ya Ushindi
Kimataifa

Kim Jong Un ampongeza rais Putin kwa siku ya Ushindi

Spread the love

 

KIONGOZI wa Korea Kaskazini Kim Un ametuma salamu za pongezi kwa Rais VIadimir Putin baada ya kusherekea Siku ya Ushindi ya Urusi jana tarehe 9 Mei 2022 ,akielezea mshikamano thabiti wa nchi yake na Moscow, shirika la habari la Korea Kaskazini KCNA limeripoti.

Kwa mujibu wa taarifa yake iliyotumwa jana Jumatatu tarehe 9 Mei 2022, Kim anasema kuwa ‘’Mshikamano madhubuti wa muda mrefu kwa sababu ya watu wa Urusi kung’oa vitisho vya kisiasa na kijeshi na usaliti wa vikosi vya adui.’’

Kiongozi huyo ameeleza pia imani yake kwamba, uhusiano wa kimkakati na wa jadi wa urafiki kati ya nchi hizo mbili utakuwa kwa kasi.

Hata hivyo hivi karibuni Korea Kaskazini imeangazia uhusiano wake wa karibu na Urusi , na kuunga mkono hadharani Moscow juu ya uvamizi wake nchini Ukraine.

Aidha mwezi Februari ,ililaumu mzozo wa Ukraine juu ya ‘’sera ya kivita ‘’ya Marekani na Magharibi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!