Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani yakanusha kumuwekea vikwazo mpenzi wa Putin
Kimataifa

Marekani yakanusha kumuwekea vikwazo mpenzi wa Putin

Spread the love

 

MSEMAJI wa Ikulu ya White House anayefahamika kwa jina la Jen Psaki amesema kuwa Marekani imekanusha katika taarifa siku ya jumatatu tarehe 25 Aprili 2022 ,kwa waandishi wa habari kwamba imesitisha makusudi kumuwekea vikwazo mwanamke anayesemekana kuwa mpenzi wa Putin. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada wa Mashirika ya Kimataifa … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Wall Street Journal ,maafisa wa Marekani wamezuia vikwazo kwa Kabaeva kutokana na wasiwasi kwamba Putina anaweza kuliona kama shambulio binafsi.

‘’Hakuna aliye salama kutokana na vikwazo vyetu’’Psaki alisema ‘’Tayari tumemuidhinisha Raisi Putin, lakini binti yake na wasaidizi wa karibu tutaendelea kukagua zaidi,’’aliongeza.

Hata hivyo kumekuwa na wito kwa Marekani , kumuwekea vikwazo mchezaji Kabaeva mwenye umri wa miaka 38 ambaye ni mshindi wa medali ya dhahabu ya Olimpiki, kama Marekani ilivyowafanyia mabinti wawili wa Putin.

Aidha inaweza kuonekana kama ‘’pigo binafsi kwa Putini kwasababu inaweza kuongeza mvutano kati ya Urusi na Marekani ‘’ jarida hilo liliandika

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!