BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limempitisha Haroub Shamis kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020JOSEPHINE Joseph, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tasaf amesema, malipo ya walengwa wa kaya masikini awamu ya pili yatafanyika kwa njia ya kielektroniki. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020BEI ya mafuta ya Petroli na Dizeli yaliyoingizwa nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam, imeongezwa kuanzia kesho Jumatano tarehe 1 Julai mwaka...
By Regina MkondeJune 30, 2020KIONGOZI Mkuu (KC) wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amemkaribisha rasmi mwanadiplomasia mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, kujiunga na chama...
By Faki SosiJune 30, 2020RAIS John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ameonya wanachama wa chama hicho waliojitokeza kuwania urais Zanzibar kutochafuana na kuhakikisha wanaheshimiana na...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020RAIS John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amehoji, mtu anawezaje kupata mtoto bila kusogeleana? Anaripoti Hamisi Mguta, Dodoma …...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk. Bashiru Ally amewatangazia wanachama wa chama hicho wanaotaka kuwania ubunge, uwakilishi na udiwani...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amerejesha fomu za kuwania urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020....
By Mwandishi WetuJune 30, 2020RAIS mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera ameanza uteuzi wa watu watakaomsaidia kuendesha serikali yake wakiwemo maswahiba zake. Inaripoti itandao ya kimataifa … (endelea). Rais...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa vibali vya kushiriki shughuli za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kwa Asasi za Kiraia...
By Regina MkondeJune 30, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema amesema, wanakwenda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 kuitafuta dola ili...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kulichukua Jimbo la Bukoba vijijini pamoja na halmashauri kwa kushinda kata zote za udiwani....
By Mwandishi WetuJune 30, 2020WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Joyce Ndalichako amezindua Chuo cha Ufundi Stadi Nyamidaho kilichopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma....
By Mwandishi WetuJune 30, 2020ABAS Juma Mhunzi, makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Zanzibar, “ameliamsha dude.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Amemtuhumu mwenyekiti wake,...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020CHRISTOPHER Michael Mollel, aliyekuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ruaha (CDTI), anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro (DED), amemuomba radhi mara tatu, Rais John Magufuli, kwa kosa...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), itamfikisha mahakamani Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kilimatinde, Manyoni, Bahati Ilikunda na mzazi mwenzake, Haji...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020VITALIS Maembe, Mwanamuziki na Mwanaharakati nchini Tanzania, amesema amejiunga na Chama cha ACT-Wazalendo kwa kuwa chama hicho kina misingi ya kudai haki na...
By Faki SosiJune 29, 2020PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ameonyesha nia ya kutaka kugombea ubunge jimbo la Kilosa mkoani...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Adam Mgoy nusura watumbuliwe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020PETER Lijualikali, aliyekuwa Mbunge wa Kilombero (Chadema) na Joseph Haule (Prof. J), Mbunge wa Mikumi (Chadema), wamemwagia sifa Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inawashikilia watu tisa wakiwemo viongozi wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020ASKOFU wa Kanisa la Power of God lililopo eneo la Chanika, Dankon Rwaikila amewaomba watumishi wa dini kumuomba Mungu ili atuchagulie viongozi wenye...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020MRADI wa maji Kibamba – Kisarawe unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) umezinduliwa na Rais wa...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua zoezi la uchukuaji fomu za kugombea Urais wa Tanzania, ubunge na udiwani, katika Uchaguzi Mkuu wa...
By Regina MkondeJune 29, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amempa siku saba William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, amkabidhi hati ya shamba lenye...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amempigia chapuo Profesa Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kwa wananchi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020“NGUVU ya wazungu” ndio maneno ya mfuasi mmoja wa Donald Trump, Rais wa Marekani yaliyomo kwenye video ambayo (Trump) ametuma kwenye ukurasa wake...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020LAZARO Nyalandu, mtia nia wa urais wa Tanzania ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, akipewa nafasi ya Rais wa Jamhuri...
By Faki SosiJune 29, 2020SERIKALI ya Tanzania imetoa mwongozo wa namna wanafunzi na walimu wa shule za msingi na sekondari, watakavyokabiliana na ugonjwa wa homa kali ya...
By Regina MkondeJune 29, 2020MAUDLINE Cyrus Castico, Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wanawake, Wazee na Watoto Zanzibar, amekuwa mwanachama wa 32 kuchukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar,...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020CHAMA tawala cha Democratic Progressive Party (DPP), kinachoongozwa na aliyekuwa rais wa nchi hiyo Peter Mutharika, kimelalamika kupokwa ushindi wake na chama cha upinzani cha Malawi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020BARAZA Kuu la Uongozi la Chama Cha Wananchi (CUF) limetangaza kumsimamisha uongozi, Makamu Mwenyekiti wake Zanzibar, Abbas Juma Muhunzi kwa kukiuka Maadili ya...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020TUNDU Antipas Lissu, makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), aweza kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, “hata kama bado yuko...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limewaonya wamiliki wa shuke kuingilia majukumu yanayotendeka ama kufanywa katika mitihami ya kidato cha sita na ualimu inayotarajiwa...
By Hamisi MgutaJune 28, 2020KITENDAWILI kwamba Maalim Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo atagombea urais visiwani Zanzibar, amekitegua leo. Anaripoti Faki Sosi, Zanzibar…(endelea). Amesema, kutokana...
By Faki SosiJune 28, 2020RAIS John Magufuli amewataka wakazi wa Kisarawe ‘kuchangamkia fursa’ ya kumoa Jokate Mwegelo, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza katika...
By Mwandishi WetuJune 28, 2020RAIS John Magufuli amemtumbua hadharani Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe (DAS ), Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi kushika nafasi hiyo hapo...
By Hamisi MgutaJune 28, 2020LAZARUS Chakwera, Kiongozi wa upinzani nchini Malawi, ameibuka mshindi wa Urais katika uchaguzi wa marudio nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa...
By Mwandishi WetuJune 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemuagiza mkandarasi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation kutoka China aliyesaini mkataba wa ujenzi wa...
By Mwandishi WetuJune 27, 2020MICHEZO nane imechezwa leo kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, ambapo klabu ya Yanga imefanikiwa kuishusha Azam FC kwenye msimamo baada ya kuibuka na...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2020USHINDI wa mabao 3-2 dhidi ya Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kikosi cha Yanga kimejiimalisha kuikabili Kagera Sugar, katika...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2020SERIKALI kupitia Baraza la Michezo Tanzania (BMT), imeruhusu mashabiki kuingia uwanjani katika mchezo kati ya Tanzania Prisons na Simba utakaochezwa kwenye Uwanja wa...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2020MGENI Hasaan Juma, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 27, 2020BRIGEDIA Jenerali John Mbungo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), amepangua vituo vya kazi vya maafisa sita...
By Regina MkondeJune 27, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini Tanzania (Takukuru), imekamilisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, inazokikabili Chama cha Demokrasia...
By Regina MkondeJune 27, 2020CHAMA cha NCCR- Mageuzi, kimejifungia jijini Dodoma, tayari kunoa makada wake muhimu watakaoshriki uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka...
By Mwandishi WetuJune 27, 2020HUWENDA ubingwa wa Simba ukaamuliwa na Biashara United, kama ilivyokuwa kwa Liverpool kuamuliwa ubingwa na Chelsea baada ya kumfunga Manchester City kwa mabao...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2020WANACHAMA 15 wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wamerudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuJune 27, 2020CHIEF Lutalosa Yemba, amejitosa katika mbio za urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) huku wanachama watano wa chama hicho, wakijitokeza upande...
By Regina MkondeJune 27, 2020