Friday , 3 May 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Kimataifa

Raila alia kuhujumiwa na wabunge wake

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, amewataka wabunge wa Umoja wa Azimio, wanaotaka kuiunga mkono Serikali ya Rais William Ruto, wajiuzulu nyadhifa...

Afya

Rais Samia apongezwa uboreshaji huduma za afya Musoma Vijijini

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa mchango mkubwa wa Serikali yake katika uboreshaji huduma za afya kwenye Jimbo la Musoma Vijijini,...

Afya

Waziri Ummy afafanua madaktari bingwa kufungua ‘vioski’ hospitalini za umma

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema suala la Madaktari Bingwa kufanya kazi ya Kliniki binafsi katika Hospitali za umma baada ya saa...

Biashara

Vodacom yatoa tuzo ikitimiza miaka 11 bila vifo kazini ikitumia ubunifu

KAMPUNI ya Teknolojia na mawasiliano, Vodacom Tanzania PLC imewapongeza kwa kuwapatia tuzo mbalimbali washirika na watoa huduma wake kwa kuzingatia viwango vya usalama...

AfyaTangulizi

NHIF yafanya uhakiki wanachama, watoa huduma, wafungia vituo 48, waajiri 88

  MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanya uhakiki wa wanachama wa mfuko huo na kubaini mambo kadhaa na kuyachukulia hatia...

Kimataifa

Masanduku ya siri China yaleta taharuki

  SEKTA ya watengeneza wanasesere nchini China imekosolewa kwa kitendo cha kuuza masanduku ya siri ambayo yametumika kusafisisha wanyama. Imeripoti CNN na Mitandao...

Biashara

NICOL yapeleka neema kwa wanahisa wake sabasaba

KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL, imeendelea kufanya vizuri sokoni kwa kupata ongezeko ya faida ya shilingili bilioni 6.2 mwaka huu kulinganisha na faida...

Elimu

St Mary Goreti yasifiwa kwa mchango wake katika jamii

MBUNGE wa Moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro, Priscus Tarimo, ameupongeza uongozi wa shule ya sekondari ya St Maria Goreti mchangao mkubwa inayotoa katika kukuza...

Afya

Rukuba wajenga kituo cha afya, waomba watumishi

WAKAZI wa Kisiwa cha Rukuba, Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, wameiomba Wizara ya Afya na Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI, ipeleke watumishi pamoja na...

Biashara

Mradi wa maegesho ya malori wazidi kuipaisha Tunduma

HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetumia kiasi cha Sh 1.7 bilioni kujenga mradi huo wa maegesho ya malori ili kukabiliana...

BiasharaMichezo

NMB kuanza kusajili wanachama Yanga Julai 10

BENKI ya NMB kupitia matawi yake yote nchini inatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu tarahe 10 Julai 2023, kusajili na kutoa kadi za uanachama wa...

Biashara

Washindi 22 promosheni NMB “Bonge la Mpango”, wabeba zawadi zao  

JUMLA ya washindi 22 wa Kampeni ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB ‘Bonge la Mpango’ wamekabidhiwa zawadi zao jijini Dar...

Kimataifa

Raila akinukisha tena Kenya “wakati wa mazungumzo umekwisha”

  KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ametimiza azma yake ya kuitisha maandamano kwa ajili ya kupinga muswada mpya wa sheria ya...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

  BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti...

Kimataifa

Mwanandoa afumwa akishiriki ngono na mchepuko kanisani, waumini wasusa..

  KUNDI la waumini wa Kanisa la Bungonya lililoko wilayani Kayunga nchini Uganda limesusa kushiriki ibada kanisani hapo baada ya wanandoa wawili kufumaniwa...

Biashara

Vodacom yazindua kampeni ya ‘Biashara Pamoja, Tuamini Sisi’, katika maonyesho ya Sabasaba

  KATIKA kutekeleza adhma yake ya kutumia ubunifu wa kidigitali kuongeza ufanisi kwenye shughuli mbali mbali ikiwemo zile za kibiashara, kampuni ya mawasiliano...

BiasharaTangulizi

Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere Februari-2024

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...

Biashara

TASAF yafaidisha kaya 160 Kondoa

KATIKA mwaka wa fedha wa 2021/23 jumla ya fedha kiasi cha Sh 102  milioni zimewanufaisha wakazi wa Kijiji cha Itundwi kata ya Mnina...

Michezo

Tunduma watenga billioni 1.5 kujenga uwanja

KUTOKANA na ukosefu wa eneo sahihi la kufanyia michezo halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetenga kiasi cha Sh.1.5 bilioni kujenga...

Biashara

Kampuni, taasisi Arusha zakoshwa na huduma ya NBC Connect

TAASISI na kampuni wateja za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mkoani Arusha, wameipongeza benki hiyo kwa kuwapelekea huduma ya malipo kidigitali inayojulikana...

Elimu

Global Education Link yatoa fursa vyuo vya nje sabasaba

WAKALA wa Elimu Nje ya nchi Global Education Link (GEL), imeendesha zoezi la kudahili wanafunzi vyuo nje ya nchi papo hapo kwenye maonyesho...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti Mwandishi...

ElimuTangulizi

Mwanafunzi kidato cha 3 ajinyonga darasani, akutwa na ujumbe wa kugomea shule

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Lumbira kata ya Luanda wilayani Mbozi mkoani Songwe,Japhari Mwashitete  (16) amekutwa amefariki dunia kwa...

Kimataifa

Marekani, Urusi kubadilisha wafungwa

NCHI mahasimu Marekani na Urusi zinajadili uwezekano wa kubadilishana wafungwa ambao unaweza kumhusisha mwandishi wa gazeti la Wall Street Journal, Evan Gersh-kovich, ambaye...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mramba atembelea banda la GGML sabasaba, akoshwa na miradi, rekodi za kampuni hiyo

KATIBU mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...

Biashara

‘Bonge la Mpango’ ya NMB yafikia tamati, wateja wajishindia zawadi nono

KAMPENI ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB iliyopewa jina la ‘Bonge la Mpango’ Msimu wa Tatu imefikia kilele tarehe 5...

Biashara

Kampuni 5,000 zashiriki sabasaba

  KAMPUNI 5666 za ndani na nje ya nchi zimeshiriki kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam DITF)...

Biashara

Tawi la 229 la NMB lazinduliwa Buhigwe, Dk Mpango asema…

MTANDAO wa Matawi ya Benki ya NMB nchini umezidi kutanuka, baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango kuzindua Tawi la...

Afya

NBC yaungana na Taasisi ya Benjamini Mkapa kusomesha wakunga 100

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na Taasisi ya Benjamini Mkapa kuanzisha mpango wa kutoa ufadhili wa masomo (scholaships) kwa wanafuzi wa...

Michezo

Dk Mpango mgeni rasmi tamasha la washairi

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufungaji wa tamasha la ushairi lililoandaliwa na Taasisi ya Usanifu wa Kiswahili...

Biashara

Wafanyabiashara wamuanguakia Samia wasiondolewe Bandari kavu Jimbiza

WAFANYABIASHARA katika Bandari Kavu ya Jimbiza, iliyoko Kilwa Masoko, mkoani Lindi, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan wakiitaka iingilie kati ili wasiondolewe...

Elimu

Musoma Vijijini waomba shule za kidato cha tano, sita

JIMBO la Musoma Vijjiini mkoani Mara, limeomba Serikali ianzishe shule za kidato cha tano na sita, huku likisema kuna baadhi ya shule zilizojengwa...

BiasharaElimu

Teknolojia ya kidigitali kuleta mapinduzi ya elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara   

TEKNOLOJIA za kidigitali na uunganishwaji ni ufunguo wa kuwawezesha vijana wa Afrika kuonyesha uwezo wao. Kwa kuwafungulia milango ya fursa kwa vijana wa...

Biashara

Wateja wa Vodacom kurudishiwa 10% wakilipa kwa simu bidhaa mbalimbali banda la Sabasaba

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania katika msimu huu wa sabasaba imetoa zawadi kwa watanzania kwa kuwarudishia mpaka 10% ya pesa watakapolipia bidhaa mbalimbali...

Kimataifa

Ripoti: Serikali za Mitaa China tuhumani kuuza ardhi bandia

  RIPOTI ya Wall Street Journal (WJS) inaituhumu Mamlaka ya Serikali za mitaa ya China kwa kuongeza kwenye kukusanya mapato ya takribani dola...

Elimu

Wananchi wajitolea ujenzi shule mpya Mbozi, watoto hutembea kilomita 10

WANANCHI wa vitongoji vilivyopo katika kata ya Mlowo halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamechangia nguvu kazi kujenga shule ya sekondari Nambala...

Michezo

NMB, Yanga SC. waingia makubaliano kuimarisha huduma za kidijitali, kusajili wanachama

KWA kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, Benki ya NMB imeingia makubaliano na timu ya Yanga SC. na kuwa benki ya kwanza...

KimataifaTangulizi

Rais agomea nyongeza ya mshahara wake, “walimu, polisi … wanastahili”

RAIS wa Kenya, William Ruto  amegomea pendekezo la Tume ya mishara ya nchi hiyo (SRC) la nyongeza ya mshahara kutoka TSh 24.8 milioni...

Habari MchanganyikoKimataifa

Lori laparamia daladala, bodaboda, machinga, laua zaidi ya 55 Kenya, Rais atuma salama za pole

WATU zaidi ya 55 wanahofiwa kufariki dunia baada ya lori lenye trela kugonga daladala nchini Kenya pamoja na waendesha bodaboda na watembea kwa...

Elimu

800 wahitimu masomo elimu ya watu wazima

JUMLA wanafunzi 800 wamehitimu masomo katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kati yao wanaume 279 sawa na asilimia 35  na wanawake...

Afya

NHIF yaita Watanzania kujisajili uanachama Sabasaba

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umewahimiza wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam na waliotoka katika maeneo mbalimbali nchini kufika...

Biashara

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Kimataifa

Mahakama yapinga ombi la Trump la kuondolewa mashtaka ya ubakaji

  JAJI mmoja wa mahakama ya serikali mjini New York nchini Marekani ametupilia mbali juhudi za rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald...

KimataifaTangulizi

Mshahara wa milioni 28 kwa Rais Ruto wazua gumzo Kenya

RAIS wa Kenya, William Ruto, naibu wake Rigathi Gachagua na Katibu Mkuu Mkuu, Musalia Mudavadi kuwa ni moja ya maafisa wa ngazi ya...

Kimataifa

Majeshi ya Urusi yadai kuua majenerali Ukraine

JESHI la Urusi lililopo katika operesheni maalum nchini Ukraine limedai kuwaua majenerali wawili katika shambulizi la mapema wiki hii. Anaripoti Joseph Nyoni kwa...

Michezo

Mamdonga atambulisha ngumi yake mpya sabasaba

BONDIA machachari nchini Karim Said maarufu ‘Mandonga Mtu kazi’ ametembelea banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na kutangaza ngumi mpya iitwayo...

Elimu

Wanafunzi 275 watumia darasa moja kusoma, Serikali yataja mikakati

KUTOKANA na uwepo wa msongamano mkubwa wa wanafunzi katika shule ya msingi Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe uliosababisha wanafunzi 270 kusomea katika darasa...

Biashara

Wakala wa meli Tanzania waunga mkono ujio wa DP World

  CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari...

Biashara

Waziri Nape aipongeza Vodacom, azindua ofisi ya kisasa Jijini Dodoma

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amepongeza jitihada za Vodacom Tanzania kwa kufungua ofisi ya kisasa katika makao...

Kimataifa

Rais wa zamani alaani mali zake kutwaliwa na utawala mpya

WAKILI wa Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu, amelaani hatua ya serikali ya nchi hiyo, kutwaa mali mbalimbali zinazohusishwa na familia mwanasiasa...

error: Content is protected !!