Saturday , 27 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Ndugai amwaga sumu kampeni za CCM

JOB Ndugai, mbunge mteule wa Jimbo la Kongwa, Dodoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewataka Watanzania kuwapuuza wagombea wa vyama vya upinzani nchini. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Shein: Tutahakikisha Dk. Mwinyi anashinda Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitahakikisha mgombea wake Dk. Hussein Mwinyi anashinda urais visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

NEC yatangaza wabunge wateule 18 wa CCM

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza wabunge wateule 18 wa chama tawa cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania ambao wanasubiri kuapishwa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Askofu Mwamakula aonya roho za kisasi wagombea urais

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amewataka wagombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wamimilika uzinduzi kampeni za urais Chadema

MAMIA ya wananchi wanaendelea kujitokeza katika uzinduzi wa kampeni za urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinazofanyika leo Ijumaa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kuzindua kampeni leo Dar

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, atazindua kampeni zake za uchaguzi mkuu kesho Ijumaa 28 Agosti...

Habari za Siasa

Chadema yaitaka NEC irejeshe wagombea wao 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwarejesha zaidi ya wagombea ubunge 30 na udiwani 600 walioondolewa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yalia rafu Z’bar

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelaumu vitendo vya wagombea wao kuwekewa pingamizi ama kuondolewa na wasimamizi wa uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Kimeeleza, iwapo...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema dhidi ya wagombea wenzake...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu awawekea pingamizi Rais Magufuli, Prof. Lipumba 

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema, amewawekea pingamizi wagombea wawili wa urais akidai wamekiuka Sheria za Uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za Siasa

Urais waivuruga CCK

HATUA ya David Mwaijojele, Mwenyekiti wa Chama Cha Kijamii (CCK) kurejesha fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) akiwa peke yake, imefukua mgogoro...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kuwawekea pingamizi wagombea urais

TUNDU Lissu, Mgombea urais wa Tanzania, amewasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wengine wa urais walioteuliuwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini....

Habari za SiasaTangulizi

Majimbo 20 wapinzani njia panda

TAKRIBANI majimbo 20 ya ubunge Tanzania Bara, yapo njia panda baada ya wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutajwa kupita bila kupingwa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi: Tuache mazoea, tutafute kura

DAKTARI Hussein Mwinyi, mgombea wa urais visiwani Zanzibar, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewataka viongozi wa chama hicho visiwani humo ‘kuacha mazoea.’ Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Hakimu amvutia pumzi Lissu

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekwama kuhudhuria kesi yake ya uchochezi namba 236/2017 na 123/2017...

Habari za Siasa

Ni ‘nyodo’ za Sugu, Dk Tulia

JOSEPH Mbilinyi maarufu ‘Sugu,’ mgombea ubunge Mbeya Mjini (Chadema) na Dk. Tulia Akson, mgombea jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameanza kutambiana. Anaripoti...

Habari za Siasa

Lissu katika tundu la sindano NEC

TUNDU Lissu, mgombe urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mgombea mwenza wake Salum Mwalimu, wameponea kwenye ‘tundu la sindano.’ Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

NEC yateua 15 kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua wagombea 15 kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu ateuliwa kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Tundu Lisuu kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema na mgombea mwenza, Salum Mwalimu katika Uchaguzi...

Habari za Siasa

16 kuchuana ubunge Arusha Mjini

WAGOMBEA 16 wa vyama vya siasa nchini Tanzania, watachukuana kuwania Ubunge wa Arusha Mjini katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mgombea CCK akwama kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), haijamteua David Mwaijojele wa Chama Cha Kijamii (CCK) kuwa mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za Siasa

Rungwe ateuliwa kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Hashim Rungwe wa chana cha Chaumma kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28...

Habari za Siasa

NEC yamteua Membe kugombea urais Tanzania  

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Bernard Membe kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad...

Habari za Siasa

Kubenea atamba kuitwaa Kinondoni

ALIYEKUWA mbunge wa Ubungo, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea, amejigamba kushinda kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Kinondoni. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mdee: Gwajima?… tukutane jukwaani

HALIMA Mdee, Mgombea Ubunge Kawe, Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema ‘Gwajima (Josephat Gwajima) kitu gani.’ Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Profesa Lipumba kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Profesa Ibrahim Lipumba kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Wananchi (CUF) na mgombea mwenza,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli akagua magari 130 yaliyotaifishwa, atoa maagizo

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amekagua magari yaliyotaifishwa baada ya kuhusika katika matukio ya uhujumu uchumi kisha kuhifadhiwa katika kituo cha mabasi...

Habari za Siasa

Maganja wa NCCR-Mageuzi ateuliwa kugombea urais Tanzania

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Semistocles Kaijage amemteua Yeremia Maganja wa NCCR-Mageuzi kuwa mgombea urais wa Tanzania katika...

Habari za Siasa

Cecilia ateuliwa kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemteua Cecilia Augustino Mwanga wa chama cha Demokrasia Makini kuwa mgombea urais wa Tanzania na Tabu Mussa...

Habari za Siasa

Nitamnyoosha Gwajima, Mdee – Mgombea TLP

AMANDUS Komba, mgombea ubunge Kawe jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha TLP, amejigamba kuwaangushwa Halima Mdee (Chadema) na Askofu wa Kanisa la...

Habari za Siasa

Dk. Lwaitama amchambua Magufuli, Lissu

WAGOMBEA wawili kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, wana mambo mazito ya kushawishi wananchi hivyo kufanya uchaguzi kuwa mgumu. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Shibuda wa tatu kuteuliwa kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemteua John Shibuda wa Ada Tadea kuwa mgombea urais wa Tanzania na Hassan Konde Kijongoo  kuwa mgombea...

Habari za Siasa

NEC yamteua Magufuli kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemteua Rais John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Tanzania na Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza, kupitia...

Habari za Siasa

Tundu Lissu aibua hofu mpya

HOFU mpya imeanza kutanda nchini Tanzania juu ya hatma ya mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari za SiasaTangulizi

Nani kupenya kugombea urais, ubunge Tanzania?

MACHO na masikio ya Watanzania wengine yanaelekezwa Jiji la Dodoma kutakakofanyika uteuzi wa wagombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Warioba ainyooshea kidole Takukuru, Rais Magufuli…

WAZIRI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba amesema, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inapaswa kuachwaa ili itekeleze wajibu wake...

Habari za Siasa

Chadema yaipiku CCM wagombea ubunge wanawake

VYAMA vya siasa nchini Tanzania, vimefanya uteuzi wa wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 huku idadi ya wanawake...

Habari za Siasa

CUF yatangaza wagombea ubunge 136

CHAMA Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimewatangaza wagombea wake 136 wa ubunge katika majimbo ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Polisi yawadaka 12, tuhuma kuvuruga mkutano wa Lissu

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu 12 Wilaya ya Hai kwa mahojiano wakituhumiwa kufanya vurugu na kushambulia kwa mawe mkutano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu awajibu wanaosema ameanza kampeni mapema

TUNDU Lissu, Mgombe urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, madai yanayotolewa kuwa atapingwa kwa kufanya kampeni kabla ya...

Habari za Siasa

Ummy: Nitafanya kampeni kitanda kwa kitanda, uvungu kwa uvungu

MGOMBEA Ubunge Tanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ummy Mwalimu amesema, atafanya kampeni shuka kwa shuka, kitandanda kwa kitanda na uvungu kwa...

Habari za Siasa

Kongamano la kitaifa kuwakutanisha viongozi Dodomna, JPM mgeni rasmi

JUMUIYA ya Maridhiano Tanzania inaratajia kufanya kongamano la maombi kwa ajili ya kuombea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Danson...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 90 CCM wafyekwa 

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, ‘kimewakata’ wabunge wake zaidi ya 90 waliokuwa wakitetea nafasi zao ndani ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Mawaziri wanne wakatwa ubunge 

MAWAZIRI wanaohudumu kwenye utawala wa awamu ya tano chini ya Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli ‘wamekatwa’ kwenye mchakato wa kuwania ubunge ndani...

Habari za Siasa

Lissu akamilisha ujazaji fomu za urais Tanzania 

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, amekamilisha hatua...

Habari za Siasa

Magufuli amteua Balozi Kijazi mkuu wa chuo Udom

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemteua Balozi John Kijazi kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Saa 48 za NEC kutatua uchukuaji fomu ubunge, udiwani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imeagiza vyama vya siasa vilivyokumbwa na changamoto za wagombea wao kunyimwa fomu za uteuzi, kuwasilisha...

Habari za Siasa

Membe awakaribisha ACT-Wazalendo waliokatwa CCM

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia chama cha upinzani ACT-Wazalendo, Bernard Kamillius Membe, amewakaribisha ndani ya chama hicho wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Panga la CCM lafyeka vigogo 75

WABUNGE takribani 75 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao walijitosa kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba mwaka huu, wameangukia pua. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Mtifuano utakavyokuwa majimbo nane ya uchaguzi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimetangaza orodha ya wagombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020, huku mchuano mkali...

error: Content is protected !!