Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maganja wa NCCR-Mageuzi ateuliwa kugombea urais Tanzania
Habari za Siasa

Maganja wa NCCR-Mageuzi ateuliwa kugombea urais Tanzania

Yeremia Maganja wa NCCR-Mageuzi kuwa mgombea urais wa Tanzania
Spread the love

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Semistocles Kaijage amemteua Yeremia Maganja wa NCCR-Mageuzi kuwa mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Pia, Jaji Kaijage amemteua Haji Ambar Khamisi kuwa mgombea mwenza. Maganja amekuwa mgombea wa sita kuteuliwa na NEC kugombea katika uchaguzi huo.

Jumla ya wagombea 17 walichukua fomu za uteuzi na mpaka sasa vimerudisha sita na wagombea wote wa vyama hivyo wameteuliwa na NEC.

Wengine waliokwisha teuliwa ni; John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Leopard Mahona (NRA), John Shibuda (Ada Tadea),  Mutamwega Mgaiwa wa (SAU) na Cecilia Mwanga wa Demokrasia Makini.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online, MwanaHALISI TV na mitandao yetu ya kijamii kwa taarifa na habari mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Askofu Shoo awataka ACT kupigania maslahi ya Taifa, wasikubali kuhongwa

Spread the loveALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu...

Habari za Siasa

Biteko aagiza waajiri kudhibiti vifo mahali pa kazi

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

error: Content is protected !!