Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yatangaza wabunge wateule 18 wa CCM
Habari za Siasa

NEC yatangaza wabunge wateule 18 wa CCM

Dk. Wilson Mahera, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza wabunge wateule 18 wa chama tawa cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania ambao wanasubiri kuapishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)

Taarifa ya Mkurugenzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera ambayo ameitoa leo usiku Ijumaa tarehe 28 Agosti 2020 imesema, wateule hao wamepatikana baada ya wagombea wenzao kujikuta wanapoteza sifa na kubaki peke yao.

Majimbo hayo 18 ni kati ya 264 ambayo yanafanya Uchaguzi Mkuu Jumatano ya tarehe 28 Oktoba 2020 na tayari kampeni za uchaguzi huo zimekwisha kuanza.

Taarifa ya Dk. Mahera na wabunge hao wateule akiwemo Waziri Mkuu wa nchini hiyo, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!