Tuesday , 21 May 2024

Month: November 2023

Habari Mchanganyiko

Mchungaji USA: Watanzania fanyeni kazi, miujiza ya mafuta, maji ni ulaghai

JAMII imetakiwa kufanya kazi ambazo zitawaingizia kipato kwa ajili ya kuinua uchumi wao badala ya kujenga fikra ya kupata miujiza kwa kununua udogo,...

Kimataifa

Pazia kampeni za urais DRC lafunguliwa rasmi

JUMLA ya wagombea urais 26 wanatarajiwa kuanza kampeni leo Jumatatu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambazo zinatarajiwa kudumu kwa mwezi mmoja...

Biashara

Kampuni ya Saruji ‘Holcim Group’ yajiondoa soko la Tanzania

Kampuni kubwa ya Saruji ya Uswizi imetangaza mpango wa kuuza kampuni yake tanzu Pan African Cement, ambayo inashikilia asilimia 65 ya Kampuni ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yamwaga mikopo ya Sh1.8 trilioni kwa zaidi ya wanawake 168,000

BENKI ya NMB imetoa zaidi ya Sh1.8 trilioni kwa wanawake 168,600 wa biashara ndogo na za kati (SMEs) katika kipindi cha miezi 10...

Habari za Siasa

Rais Samua amuaga Rais wa Romania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuaga Rais wa Romania, Klaus Iohannis baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi...

Habari za Siasa

Wanawake Afrika wampa tuzo ya heshima Balozi Mongela

Wito umetolewa kwa wanawake kujiamini na kujipambanua kitaifa na kimataifa kwenye kusimamia ajenda za maendeleo yenye usawa wa kijinsia na kupinga ukatili wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maofisa uhamiaji wanne Kigoma mbaroni mauaji ya Enos

MAOFISA wanne wa Idara ya Uhamiaji wilayani Kakonko mkoani Kigoma wametiwa mbaroni na jeshi Polisi mkoani humo kwa tuhuma za mauaji ya Enos...

Biashara

NMB yakabidhi mabati ya mil.28 kwa shule 5 Kisarawe

KATIKA kuendeleza utamaduni wa Uwajibikaji wa kampuni kwa jamii (CSR), Benki ya NMB imekabidhi msaada wa mabati 600 yenye thamani ya Sh28.2 milioni...

Michezo

Sajili 10 zilizotikisa Manchester United

MANCHESTER United hawajashinda kombe la Ligi Kuu yaUingereza (EPL) tangu mwaka 2013 lakini bado ni timuyenye mafanikio zaidi tangu ligi hiyo ilipoanzishwa upyamwaka...

ElimuHabari za Siasa

Wanafunzi waliofanya mtihani wakiwa na watoto wachanga wamkuna Jokate

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzani (UWT), Jokate Mwegelo amesema hatua ya wanafunzi walioruhusiwa kufanya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2023...

Habari za Siasa

Samia atunuku kamisheni wahitimu 62 Monduli

AMIRI Jeshi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan, amewatunuku kamisheni wahitimu 62 wa Shahada ya kwanza Sayansi ya Kijeshi, pamoja na kuvunja mahafali ya...

Habari za Siasa

Rais Romania atua Zanzibar kwa boti, kutembelea mji Mkongwe

Rais wa Romania, Klaus Iohannis amewasili Zanzibar kwa boti ya AZAM na kupokelewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Serikali ya...

Habari za SiasaKimataifa

Weah rais wa kwanza kushindwa uchaguzi Liberia

KIONGOZI anayeondoka madarakani nchini Liberia, George Weah, anaweka historia nchini humo kwa kuwa rais wa kwanza kushindwa katika kinyang’anyiro cha kuwania muhula wa...

Afya

Nape ataka mifumo ya taarifa za hospitali iunganishwe

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hospitali zimekuwa na mifumo mingi ambayo haisomani kiasi ambacho imechangia kuongezeka kwa...

Habari za Siasa

Zitto alia hujuma kambi ya wakimbizi Nduta kufungwa, adai inakwamisha maendeleo

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemtaka Mkuu wa kambi ya wakimbizi Nduta iliyopo Kibondo mkoani Kigoma kufungua kambi hiyo ili wananchi...

Elimu

CBE yaingia makubaliano na RSM kutoa mafunzo ya elimu ya fedha

KATIKA jitihada za kuandaa wahitimu wanaoendana na soko la ajira duniani, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanzisha ushirikiano na kampuni ya RSM...

Habari za SiasaTangulizi

Kijana Mtanzania afariki vita ya Israel, Hamas

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kijana Mtanzania Clemence Felix Mtenga amefariki katika mapigano yanayoendelea kati ya majeshi...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama: Sabaya hakufanya ujambazi

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameibwaga tena Serikali mahakamani katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, baada...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wazima tukio la ujambazi Kigamboni

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi uliopangwa kufanyika katika eneo la Kampuni ya Kijiji Park,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete: Bora nimestaafu

ALIYEKUWA Rais wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete, amesema bora amestaafu kuongoza Tanzania katika kipindi ambacho idadi ya watu ilikuwa ndogo, akisema...

Habari za Siasa

Padre Kitima awashukia viongozi dini wanaofumbia macho dhambi za uchaguzi

KATIBU Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Padre Charles Kitima amewataka viongozi wa dini kukemea dhambi zinazojitokeza katika chaguzi, ili kuhakikisha zinakuwa...

Biashara

Meridianbet yapiga hodi mitaa ya Mbezi na Kimara

  SIKU mpya kabisa na adhwim ya Ijumaa, timu nzima ya Meridianbet imepiga hodi katika eneo la Kimara na Mbezi na kutoa Reflectors...

Habari MchanganyikoMichezo

Dk. Biteko amuweka kikaangoni Msajili Hazina, ampa siku 4

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amemtaka Msajili wa Hazina nchini kufikia Jumanne asubuhi awasilishe maelezo ya kwa nini...

Habari Mchanganyiko

Bihimba achangia ujenzi wa msikiti, awapa neno waislamu

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, amechangia ujenzi wa msikiti katika Madrasa ya Muhajirina, iliyoko Mtaa wa Kigezi Chini, wilayani Ilala, Jiji la Dar es...

Biashara

NBC yatoa elimu ya fedha kwa wanafunzi Tambaza Sec.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu ya masuala ya kibenki na umuhimu wa kujijengea utamaduni wa uwekaji akiba kwa wanafunzi wa...

Biashara

NMB yabainisha sababu za kuipa kipaumbele miradi rafiki kimazingira

Benki ya NMB imesema imeanza kuzingatia kwa karibu masuala ya uhifadhi wa mazingira katika uendeshaji wake na kufadhili miradi mbalimabli kutokana na umuhimu...

Habari MchanganyikoTangulizi

RC Kagera aonya madai chanzo vifo watoto sita kuwa kuku wa wizi

MKUU wa mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa amewaonya wananchi wa Kijiji cha Nyakanazi wilayani Biharamulo na wilaya jirani kuacha kusambaza taarifa za uongo...

Habari za Siasa

Rais wa Romania awasili rasmi nchini

Rais wa Romania, Klaus Iohannis, amewasili nchini kwa ziara ya kitaifa kuanzia leo tarehe 16 hadi 19 Novemba 2023 kufuatia mwaliko wa Rais...

Habari Mchanganyiko

Dk Ndumbaro aagiza watumishi kujitambua, kuzingatia majukumu yao

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dk. Damas Ndumbaro ameagiza Watumishi wa wizara hiyo kuitumikia wizara hiyo kwa kuzingatia falsafa ya kujitambua,...

KimataifaTangulizi

Wanawake 104 waliodaiwa kubakwa walipwa 624,000 kila mmoja

Shirika la afya duniani WHO limewalipa limewalipa  fidia ya Dola 250 (Sh 624.3) wanawake 104 waathiriwa wa dhulma za kingono nchini Jamhuri ya Kidemokrasia...

Biashara

Meridianbet kushusha michezo mipya ya kasino utakayoshinda kirahisi

  MERIDIANBET kwa kushirikiana na Expanse studio wanakuja na vitu vipya, michezo mipya ya kasino mtandaoni itakayozinduliwa kwenye maonyesho ya SiGMA World Europe....

KimataifaTangulizi

Majeshi Israel yatua nyumbani kwa kiongozi wa Hamas

Jeshi la Israel limesema limeyashambulia makazi ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas, Ismail Haniyeh katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao ya...

BiasharaTangulizi

Serikali yafyeka tozo kero za biashara 232

SERIKALI kupitia Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI) imefuta na kupunguza jumla ya tozo, ada na faini zisizopungua 232 kati ya 380...

Biashara

Dar Ceramica yazindua upya tawi la Arusha kwa kishindo

  Wakazi wa Arusha na miji ya jirani wana sababu za kutabasamu zaidi kufuatia uzinduzi mpya wa Dar Ceramica Centre Tawi la Arusha,...

Habari Mchanganyiko

Sangu aipa kongole SumaJKT kwa miradi

MWENYEKITI wa Kamati ya  Kudumu ya Bunge na Uwekezaji wa Mitaji ya Umma na Mbunge wa Kwela, Deus Sangu  amepongeza kamati hiyo kwa...

Biashara

Wajasiriamali waitwa maonyesho Burundi

MWENYEKITI wa Shirikisho la Wajasiriamali wa Jumuiya ya  Afrika Mashariki, Josephat Rweyemamu ametoa wito kwa wanachama shirikisho hilo kushiriki kwa wingi kwenye maonyesho...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Biteko: Marufuku kununua vifaa vya umeme nje ya nchi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametoa katazo kwa kampuni zinazosimamia na kutekeleza miradi ya umeme nchini, kutonunua nje...

Michezo

Messi na Ronaldo wachuana tena kwa rekodi hizi

  WAKATI kukiwa bado kuna mjadala unaoendelea juu ya nani alistahili kutwaa Ballon D’or ya mwaka huu 2023, kuna baadhi wanasema Erling Haaland...

Burudika

Piga makofi kwa Mr. Eazi …achomoka na ‘The Evil Genius’

MAKOFI kwa Mr Eazi! Staa wa Afropop, Mr Eazi ameachia albamu yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la ‘The Evil Genius’ iliyokuwa ikisubiriwa...

Burudika

Kishindo cha Afro B katika “Wo wo wo” akiwa na Rich the Kid&Rimzee

STAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B, ameachia video yake mpya ya kibao “Wo Wo Wo (Ebony)” – ikiwa ni...

Elimu

CBE, DSE kuwapa wanafunzi mbinu za masoko

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) ya kuwapa mafunzo ya vitendo wanafunzi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa avutiwa na mchango wa NBC kuchochea kasi ya kilimo, biashara na michezo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameonyesha kuvutiwa na mchango unaoendelea kutolewa na benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kukuza sekta mbalimbali nchini ikiwemo...

Biashara

Huu siyo utani, ukiwa na jero tu inatosha kukupatia Bajaji mpyaa, Bashiri na Meridianbet

  HUENDA siku zinazidi kwenda mwaka unaisha lakini kila malengo yako hayatimii, kila njia umefanya lakini bado mambo ni magumu. Leo nataka kunena...

Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara Tanga amwangukia Majaliwa zabuni ya Jamhuri Pack ‘Forodhani’

  MFANYABIASHARA Sultan Salim wa jijini Tanga, amemuomba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Kassim Majaliwa, kuingilia kati mchakato wa upatikanaji...

Habari Mchanganyiko

DED Momba apongezwa kwa kufikia 54% ya mapato kabla ya muda

  KATIBU tawala mkoani Songwe, Happiness Seneda, ameupongeza uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Momba kwa kufikisha asilimia 54 ya makusanyo ya fedha....

Habari Mchanganyiko

Momba wabuni mradi wa mwalo wa samaki Samang’ombe

  HALMASHAURI ya wilaya ya Momba mkoani Songwe,ili kujipatia mapato yake ya ndani imebuni kujenga Mwalo wa Samaki, kwa gharama ya Tshs,1,101,466,162.00 kwa...

Habari Mchanganyiko

RC achamaa maafisa kilimo kitotembelea wakulima

MKUU wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael amewapa onyo maafisa kilimo wa wilaya zote mkoani humo kuacha kukaa maofisini na badala yake...

Biashara

GGML yaibuka kampuni inayoaminika zaidi katika tuzo za mlaji

GEITA Gold Mining Limited (GGML) imeibuka kuwa kampuni inayoaminika zaidi kwenye sekta ya madini katika tuzo za mlaji (Consumer’s Choice Awards  Africa) zilizotolewa...

Biashara

NMB yawanoa wahariri kuhusu bima ya afya, mazishi

BENKI ya NMB imewanoa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kuhusu matumizi ya huduma mpya za bima ya afya pamoja na bima...

Biashara

Majaliwa aipongeza STAMICO kuendelea kunadi matumizi nishati mbadala

Waziri  Mkuu Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa  amelipongeza Shirika la Madini la Taifa STAMICO  kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati  Mbadala ...

error: Content is protected !!