Tuesday , 21 May 2024

Month: November 2023

BiasharaHabari za Siasa

Dk. Biteko aipongeza NMB kwa ubunifu, uwekezaji katika teknolojia

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza benki ya NMB kwa kuwa wabunifu kwenye utoaji huduma pamoja na kuwekeza...

Habari za Siasa

Majaliwa: Wanaotorosha mbolea ya ruzuku Malawi ni wauaji…

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kusikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wakiwemo mawakala feki wa mbole ‘vishoka’ wanaotorosha mbolea ya ruzuku kwenda...

Biashara

Wateja 100 wajizolea Sh10 milioni droo ya 3 ‘NMB MastaBata Halipoi’

DROO ya tatu ya Msimu wa Tano wa Promosheni ya kuhamasisha matumizi yasiyohusisha pesa taslimu inayoendeshwa na Benki ya NMB, ijulikanayo kama ‘NMB...

Michezo

Hizi hapa mechi za maokoto leo Odds za uhakika Meridianbet

  LIGI ya Mabingwa Afrika inaanza leo kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti Algeria, na Misri kutawaka sana kwa michezo miwili hatari, Yanga waliopo...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutotegemea vyama, NGO’s kutetea haki zao

WATANZANIA wametakiwa kujenga desturi ya kujitetea wenyewe, badala ya kutegemea taasisi mbalimbali, hususan vyama vya siasa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NGO’s), zisimame...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko akaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian ambapo...

Habari za Siasa

Samia ashiriki mkutano wakuu wa nchi EAC

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa ameungana na viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC, kufanya mkutano wao wa kawaida nchini...

Elimu

Shule za St Mary’s zang’ara matokeo darasa la saba

SHULE za St Mary’s nchini zimeendelea kufanya vizuri kwenye mitihani ya darasa la saba kwa wanafunzi wake kupata wastani wa alama A kwenye...

Afya

573 wafariki kwa kipindupindu

Takriban watu 573 kati ya 11,640 walioambukizwa kipindupindu nchini Nigeria wamepoteza maisha tangu mlipuko wa ugonjwa huo uanze Desemba 2022. Inaripoti Mitandao ya...

Kimataifa

Mateka wa Israel, Gaza kuanza kuachiwa leo

Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na vikosi vya Hamas yameanza leo Ijumaa saa moja asubuhi ikiwa ni mpango wa kusitisha mapigano...

Biashara

Mradi kuimarisha mtandao wa mifumo ya Mbegu wazinduliwa

WAKULIMA wa Afrika wameshauriwa kutumia mbegu asili katika kilimo kwa kuwa nichangia salama kwa afya, uhuru wa chakula, kukuza uchumi na uhakika wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Tume ya TEHAMA yaanika mikakati kuendana na mabadiliko ya kidijitali

KATIKA kujenga uwezo kwa kampuni ndogondogo zinazojishughulisha masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Tume ya Tehama (ICTC) inatarajia kujenga vituo katika...

Biashara

NMB, CTM TZ wazindua mikopo ya kumalizia ujenzi

BENKI ya NMB wamesaini makubaliano na Kampuni ya CTM Tanzania yaliyopewa jina la ‘Lipa Baadaye,’ yatakayowawezesha wateja wa benki hiyo kupata mikopo ya...

Afya

Majaliwa aagiza Songwe kuitumia hospitali ya rufaa kuchochea utalii

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Songwe ili kuimarisha huduma...

ElimuHabari za Siasa

‘Mafataki’ wamchefua Majaliwa, 2 kati ya 59 wamefikishwa mahakamani

WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kushangazwa na idadi ya kesi mbili pekee kufikishwa mahakamani kati ya kesi 59 zinazohusu wanafunzi waliofanyiwa ukatili na...

Habari Mchanganyiko

UN, EU kuendelea kusapoti ulinzi wa haki za binadamu Tanzania

UMOJA wa Mataifa (UN), pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), zimeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali, katika ukuzaji na ulinzi...

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka harakati utetezi haki za binadamu zirejeshwe vyuoni

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesema hali ya utetezi wa haki za binadamu nchini katika kipindi cha miaka ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa waliojifanya maofisa wa TRA wadakwa na Polisi

  JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linawashikilia watuhumiwa watano kwa tuhuma za kujifanya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Butiku: Kuna shida ya haki katika mfumo wa uchaguzi TZ

MWANASIASA mkongwe Tanzania, Mzee Joseph Butiku, amesema rushwa ndiyo chanzo cha changamoto ya watu kuchagua au kuchaguliwa, katika chaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Michezo

Messi kuvuta Bil 24 baada ya kuuza jezi sita, cheza kasino ushinde kirahisi

  NYOTA wa Soka Lionel Messi huenda akaongeza rekodi nyingine kwenye maisha yake baada ya kutanganzwa kwa mnada wa seti ya jezi sita...

ElimuTangulizi

Twibhoki, Graiyaki zafungiwa, Mother of Mercy, St. Marys’ Mbezi Beach zapewa onyo

BARAZA la Mitihani la Tanzania limefungia vituo vya mtihani viwili ambavyo ni Twibhoki (PS0904095) na Graiyaki (PS0904122) vyote vya Halmashauri ya Serengeti mkoa...

ElimuTangulizi

Wasichana, wavulana wakabana koo ufaulu darasa la 7

TOFAUTI na miaka iliyopita, katika matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2023 (darasa la saba) yaliyotangazwa leo na Baraza la Mitihani...

Biashara

Majaliwa aipongeza Exim kusogeza huduma kwa wananchi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema jitihada zinazofanywa na Benki ya Exim Tanzania katika kusogeza huduma zake karibu na wananchi katika maeneo mbalimbali hapa...

Biashara

NMB yazindua rasmi tawi Dumila- Morogoro

WANANCHI wa Mji wa Dumila wilaya ya Kilosa wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kati ya kilometa 35 hadi 70 kufuata huduma...

Habari Mchanganyiko

GGML, CCBRT wakabidhi vitimwendo 55 kwa wenye ulemavu Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na shirika la CCBRT imetoa msaada wa viti mwendo na vifaa saidizi 55 kwa...

Michezo

Matumaini ya Taifa Stars kufuzu Kombe la Dunia bado yapo, kasino ya Meridianbet habari ya mjini

  MOROCCO moja kati ya timu bora kabisa Afrika kwa sasa ikiwa inashika nafasi ya 13 kwa ubora duniani huku Tanzania kidunia inashika...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko: Viongozi wa dini msichoke kuwaunganisha watu

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Dk. Doto Biteko amewataka viongozi wa dini kutochoka kuunganisha watu ili kujenga Taifa lenye umoja, amani...

Habari za Siasa

Bashungwa awashukia wakandarasi Tanga

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS),  Eng. Mohammed Besta  kukamilisha usanifu wa kina wa Barabara...

Habari za SiasaTangulizi

Ufisadi fedha za bajeti wamuibua Rais Kikwete

RAIS mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, ameshauri fedha zinazotengwa katika bajeti za serikali, zitumike vizuri ili zilete tija. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Dk. Kikwete...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yagawa mizinga 500 ya nyuki kwa wafugaji 300

Benki ya NMB imezindua Programu Endelevu ya Ugawaji Mizinga ya Nyuki 500 kwa vikundi 17 vyenye wafugaji zaidi ya 300, katika mikoa ya...

Kimataifa

Israel, Hamas kusitisha mapigano kwa muda

NCHI ya Israel, pamoja na kikundi cha wanamgambo wa kiislamu, Hamas, wamekubaliana kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza, ili kuruhusu zoezi la kuacha...

Kimataifa

Ugonjwa usiojulikana wauwa 10 Uganda

WATU zaidi ya 10 katika Wilaya ya Kyotera, nchini Uganda, wameripotiwa kupoteza maisha kwa mlipuko wa ugonjwa usiojulikana. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Chuwa aonya watakwimu kuacha kupika takwimu

WATAKWIMU wa halmashauri, wizara, idara na taasisi za umma wametakiwa kuhakikisha wanatoa takwimu za kweli badala ya kutoa takwimu za kupika. Pia wametakiwa...

ElimuHabari Mchanganyiko

TADB yawashika mkono wahitimu waliofanya vizuri SUA

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewapongeza wahitimu bora wa Chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) cha Morogoro kwa kuwapatia zawadi...

Biashara

NBC yashirikiana na taasisi 6 kuongeza ukusanyaji wa mapato Zanzibar

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini hati ya Makubaliano (MOU) na taasisi sita za Serikali ya Mapinduzi Zanzbar (SMZ) yanayotoa fursa kwa...

Michezo

Ni Achraf Hakimi na watanzania, furahia ushindi rahisi unapocheza kasino

  UNAIKUMBUKA kisa cha mchezaji wa timu ya taifa ya Morocco na PSG Achraf Hakimi na mkewe Hiba Abouk kudai nusu ya mali...

Biashara

Mtambo wa umeme Ubungo kupelekwa Mtwara

Imeelezwa kuwa, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) litapeleka mtambo wa umeme wa MW 20 mkoani Mtwara kutoka kituo cha umeme Ubungo  III ili...

BiasharaHabari za Siasa

Dk. Biteko aiagiza TPDC kuandaa mpango wa muda mrefu wa upatikanaji gesi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuja...

Biashara

Kilometa 220 za barabara zatengwa kwa wakandarasi wa ndani

ILI kutimiza malengo ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwajengea uwezo na kuwainua wakandarasi wa ndani, katika mwaka wa fedha 2023/204, jumla ya miradi...

Elimu

Mwanafunzi aliyeacha shule kwa kukosa fedha za chakula arejeshwa

MKUU wa Wilaya ya lleje, Farida Mgomi kwa kushirikiana na wazazi wamefanikiwa kumrejesha shuleni, Irene Mwazembe (15), mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika...

Habari za Siasa

Kisa Mpoki kusimamishwa uwakili: TLS yajitoa kamati ya maadili

CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimetangaza kuondoa uwakilishi wake kwa muda katika Kamati ya Maadili ya Mawakili, hadi pale hatma ya Mpale...

Habari za Siasa

THRDC, LHRC zapinga Mpoki kusimamishwa uwakili

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’S), yanayotetea haki za binadamu, yamelaani uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili, kumsimamisha uwakili, Mpale Mpoke, kwa muda...

Habari Mchanganyiko

DC Songwe aitia kufuli kampuni ya utafiti wa madini

Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Solomon Itunda amesimamisha shughuli za utafiti wa madini ya dhahabu zinazofanywa na Kampuni ya Gold Valley Company Limited...

Habari za Siasa

Waziri mkuu kufanya ziara ya siku 3 mkoani Songwe

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani Songwe kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo, kuzungumza na...

Habari za SiasaTangulizi

Mchengerewa asimamisha wakurugenzi Kibaha, Ifakara

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewasimamisha kazi wakurugenzii wawili wa halmashauri kuanzia tarehe...

Biashara

Meridianbet kasino sloti mpya ya ushindi ni hii

  81 Crystal Fruits ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka Meridianbet inayojumuisha nguzo nne zilizopangwa katika mistari mitatu na una mistari ya malipo...

Habari Mchanganyiko

Kaya 10,000 kuhama kwa hiari awamu ya pili Ngorongoro

IMEELEZWA kuwa ujenzi wa nyumba 5,000 utawezesha kaya 10,000 kuhama kwa hiari kutoka Ngorongoro kuelekea katika kata za Msomera, Saunyi (Tanga) na Kitwai...

Habari za SiasaTangulizi

Mkataba bandari wamponza Wakili Mwabukusi, AG amburuza kamati ya maadili

OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), imemburuza Wakili Boniface Mwabukusi, mbele ya Kamati ya Maadili ya Mawakili, ikimtuhumu kwa makosa ya ukiukwaji...

Biashara

TPA yajivunia Zimbabwe kuwa soko jipya mizigo ya magari bandari Dar

KAMPENI ya kuitangaza bandari ya Dar es Salaam kimataifa imetajwa kuanza kuzaa matunda baada ya wafanyabiashara na wakazi wa Zimbabwe kuichagua bandari hiyo...

Kimataifa

Mambo mazito kwa mchungaji Mackenzie, makaburi mapya yagunduliwa, maiti zafikia 426

KUGUNDULIWA kwa makaburi mapya ya halaiki katika msitu Shakahola huko Kilifi nchini Kenya kumetajwa kuchangia uamuzi wa kurejesha mchakato mpya wa ufukuaji wa...

error: Content is protected !!