Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Ugonjwa usiojulikana wauwa 10 Uganda
Kimataifa

Ugonjwa usiojulikana wauwa 10 Uganda

Ugandan President Yoweri Museveni attends a news conference following talks with Russian Foreign Minister Sergei Lavrov in Entebbe, Uganda July 26, 2022. Russian Foreign Ministry/Handout via REUTERS
Spread the love

WATU zaidi ya 10 katika Wilaya ya Kyotera, nchini Uganda, wameripotiwa kupoteza maisha kwa mlipuko wa ugonjwa usiojulikana. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Kwa mujibu wa mitandao ya kimataifa, Wizara ya Afya nchini Uganda, wamechukua sampuli za miili ya waliofariki dunia kwa ajili ya kuchunguza mlipuko huo unaotajwa kutokea ndani ya wiki mbili zilizopita.

Imeripotiwa kuwa, wahanga wa mripuko huo wamebainika kupatwa na vipele mwilini, kuvimba baadhi ya viungo vya mwili, kabla ya kupoteza maisha.

Wizara ya Agya Uganda imewataka wananchi wanapopatwa na dalili hizo kuripoti kwenye vituo vya afya badala ya kwenda kwa waganga wa kienyeji, ili Serikali iweze kuudhibiti.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!