Tuesday , 21 May 2024

Month: November 2023

Elimu

Muhongo achangia mifuko 150 ya saruji ujenzi sekondari Rukuba

WANANCHI wa Kisiwa cha Rukuba, kilichopo Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwa nguvu zao, ili...

Habari Mchanganyiko

Waziri Malawi, washiriki kongamano la madini washuhudia ‘live’ uchimbaji GGML Geita

KATIKA kuelimisha umma kuhusu teknolojia mpya na za kisasa zinazotumika kwenye sekta ya uchimbaji madini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa...

Habari Mchanganyiko

Kichwa kipya treni ya umeme chawasili nchini

HATIMAYE kichwa kipya cha treni ya umeme chenye namba ya usajili E6800-01 kilichoundwa na kampuni ya ‘Hyundai Rotem Company (HRC) kimewasili nchini Tanzania...

Habari Mchanganyiko

Nape akoshwa ubunifu mikutano ya wakuu wa mikoa na waandishi wa habari

SERIKALI imezindua Kampeni ya ‘Tumewasikia Tumewafikia’ ambayo inawataka wakuu wa mikoa yote 26 na wakurugenzi wa halmashauri zote 184 nchini, kuandaa mikutano na...

ElimuTangulizi

Sera mpya ya elimu yafuta darasa la saba, vigezo kusomea ualimu form VI

SERIKALI imekamilisha kazi ya mapitio ya mitaala ya elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari hadi ualimu, huku ikiendelea na mapitio ya mitaala na...

Michezo

Wateja wa betPawa wajishindia bilioni 53.8

Wateja 333,706 wa kampuni ya Michezo ya kubashiri betPawa wameweka rekodi ya ushindi katika mchezo huo baada ya kujishindia Sh 53.8 bilioni ndani...

Habari Mchanganyiko

Mshauri wa kodi kizimbani kwa kuitia hasara TRA Mil 118

  MSHAURI wa Kodi, Denis Tililo (29) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashtaka nane likiwemo...

Habari za Siasa

Ujerumani kushirikiana na Tanzania kuboresha makumbusho ya Majimaji

  Serikali ya Ujerumani imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuboresha Makumbusho ya Majimaji ili  kuhifadhi kumbukumbu sahihi kwa ajili ya wakati huu...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda ampa miezi sita Majaliwa, awarushia dongo kina Mbowe

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amempa miezi sita Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, atatue migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi.Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mwanaharakati achangia ujenzi ofisi serikali ya mtaa, barabara Dar

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ameshirikiana na wadau wengine kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa Mtaa wa Magole A, uliopo Kivule, jijini Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamng’ang’ania Sabaya, yamrudisha mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amefika mbele ya Mahakama ya Rufani jijini Arusha, kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Muswada bima ya afya wasomwa bungeni, wasiojiunga kupewa adhabu

MUSWADA wa Bima ya Afya kwa Wote wa 2022, umewasilishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na kusomwa kwa mara...

Habari za Siasa

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, walia na mawaziri watoro bungeni

  BUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limesikitishwa na mahudhulio duni ya mawaziri wa jumuiya hiyo, jambo ambalo linasababisha baadhi ya hoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei za petroli, dizeli yashuka Dar, mafuta ya taa yapaa

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za nishati ya mafuta nchini ambazo zimeanza kutumika leo Novemba...

error: Content is protected !!