Tuesday , 5 December 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Pazia kampeni za urais DRC lafunguliwa rasmi
Kimataifa

Pazia kampeni za urais DRC lafunguliwa rasmi

Spread the love

JUMLA ya wagombea urais 26 wanatarajiwa kuanza kampeni leo Jumatatu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambazo zinatarajiwa kudumu kwa mwezi mmoja na kuhusisha pia wagombea wa nafasi ya ubunge.

Takriban wapiga kura milioni 44 waliojiandikisha, kati ya wakazi karibu milioni 100, watamchagua rais  tarehe 20 Desemba 2023. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea).

Pia watawachagua kati ya maelfu ya wagombea ubunge na wajumbe wa serikali za mitaa katika nchi hiyo yenye rasilimali nyingi lakini ikiwa imegubikwa na migogoro na ufisadi.

Kampeni ya mapema imekuwa ikiendelea kwa muda, huku Rais Felix Tshisekedi, ambaye anawania muhula wa pili, akihudhuria hafla nyingi za umma akiwa sambamba na washirika wake wanaosifia utendaji katika uongozi wake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

Spread the loveMUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

Spread the loveSERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake,...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

Spread the loveJESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada...

Kimataifa

Papa Francis kumfukuza Kardinali anayepinga mageuzi Kanisa Katoliki

Spread the loveKIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, anadaiwa kupanga kumfumkuza...

error: Content is protected !!