Friday , 10 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Romania atua Zanzibar kwa boti, kutembelea mji Mkongwe
Habari za Siasa

Rais Romania atua Zanzibar kwa boti, kutembelea mji Mkongwe

Spread the love

Rais wa Romania, Klaus Iohannis amewasili Zanzibar kwa boti ya AZAM na kupokelewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi- Zanzibar, Jamal Kassim Ali. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Akiwa Zanzibar, Rais Iohannis atakutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi na baadaye kutembelea Mji Mkongwe ambao ni moja kati ya vivutio vikubwa vya utalii duniani. Rais Iohannis ambaye yupo nchini kwa ziara ya kitaifa ya siku nne ataondoka nchini tarehe 19 Novemba 2023.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vijana UVCCM Kagera wataka mwenyekiti wao ajiuzulu

Spread the loveVIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina awavaa mawaziri wanaompelekea majungu Rais Samia

Spread the loveMBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amewataka baadhi ya mawaziri...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC, Wizara ya Katiba wajadili uanzishaji haki binadamu katika biashara

Spread the loveMTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Sitta ang’ang’ana wanafunzi watibiwe bure, Serikali yagoma

Spread the loveMBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi...

error: Content is protected !!