SERIKALI ya Tanzania imetahadharisha wananchi wake, juu ya hatari ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na mlipuko wa Virusi vya Corona, unaotikisa dunia hivi...
By Mwandishi WetuFebruary 29, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa...
By Mwandishi WetuFebruary 28, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameandika wakala wake kwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu...
By Mwandishi MaalumFebruary 28, 2020HATUA ya Bernard Membe kufukuzwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeibua mjadala mitandaoni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Zitto Kabwe, Kiongozi...
By Regina MkondeFebruary 28, 2020BERNARD Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, amezungumzia hatua ya kufukuzwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), iliyochukuliwa na Kamati Kuu ya...
By Faki SosiFebruary 28, 2020BERNARD Membe, Waziri wa Mambo ya Nje mstaafu amefukuzwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), huku Abdulrahman Kinana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama...
By Regina MkondeFebruary 28, 2020YETKIN Gen Mehmen, Meneja Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Merkezi, inayojenga mradi wa reli ya kisasa (SGR) nchini Tanzania, amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu...
By Faki SosiFebruary 27, 2020JAMES Rugemalira, mfanyabiashara na Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP na mmiliki wa zamani wa Kampuni ya IPTL, anapambana kujinasua katika kesi ya uhujumu...
By Faki SosiFebruary 27, 2020CHANGAMOTO ya uhaba wa vitabu vya kiada kwa shule zinazotumia lugha ya Kingereza, pamoja na vitabu vya wanafunzi wenye mahitaji maalumu, imepatiwa mwarobaini...
By Regina MkondeFebruary 27, 2020BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limemtaka Edward Sembeye, aliyekuwa Mratibu wa Uhamasishaji wa baraza hilo kueleza ukweli kilichomkimbiza...
By Regina MkondeFebruary 27, 2020IBADA ya Umra inayotekelezwa na Waislamu nchini Saud Arabia, imezuiwa kwa muda kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi vya Corona. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2020ASKOFU wa Kanisa la Anglikana, Jimbo la Central Tanganyinya Dk. Dickson Chilongani, amewataka waumini wa Kikristo kutumia vyema kipindi cha Kwaresma kwa kuwasaidia...
By Danson KaijageFebruary 27, 2020MAHAKAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imewahukumu raia wawili wa China, Zheng Rongman (50) na Ou Ya (47), kulipa faini ya Sh...
By Faki SosiFebruary 26, 2020ZANZIBAR ni ngumu. Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuondoka patupu visiwani humo. Anaripoti Jabir Idrissa,...
By Jabir IdrissaFebruary 26, 2020ALEX Jonas, Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Manyoni Mashariki mkoani Singida, ameuawa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Taarifa zaidi...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaendelea kukimbiwa na baadhi ya makada wake muhimu, tena waliokuwa na mamlaka. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaFebruary 26, 2020ISMAIL Jussa, Mwenyekiti wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji ya Chama cha ACT-Wazalendo, anataka nafasi aliyonayo Zitto Kabwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2020ASKARI Polisi tisa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kosa la kukiuka maadili ya kazi wakati wa...
By Kelvin MwaipunguFebruary 25, 2020RAIS wa zamani wa Mirsi, Hosni Mubarak (91) amefariki dunia leo tarehe 25 Februari 2020, wakati akipatiwa matibabu jijini Cairo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2020ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani na nje ya nchi, amesema ‘sasa naomboleza kifo cha mama yangu.” Anaripoti Hamis Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaFebruary 24, 2020WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza kampuni za upangaji na upimaji kutochukua kazi mpya kabla ya kumaliza kazi...
By Hamisi MgutaFebruary 24, 2020SAFARI chungu ya Erick Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi kitaifa na kimataifa, katika kesi ya uhujumu uchumi imetamatika leo tarehe 24 Februari...
By Faki SosiFebruary 24, 2020TAARIFA ya matokeo ya mahojiano yaliyowahusu Bernard Membe, Abdulrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, inayosubiriwa kwa hamu kubwa nadani na nje ya Chama...
By Danson KaijageFebruary 24, 2020SIKU sita baada ya Dk. Vicent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Faki SosiFebruary 24, 2020KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amewaaminisha wakazi wa Jimbo la Ndanda, mkoani Mtwara kwamba, hilo litarejea CCM. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 24, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewaomba viongozi wa dini kuliombea taifa, ili liwe salama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeteua makatibu wa kanda sita kati ya kanda 10 za chama hicho. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguFebruary 22, 2020DAKTARI Benjamin Mkapa, Rais wa Awamu ya Tatu, amewataka watu wanaoeleza mabaya yake, waseme pia mazuri aliyofanya katika uongozi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2020KUMEBAINIKA makosa mengi ya kijinai katika mkataba wa ununuzi wa vifaa vya zimamoto ambao ulisababisha Rais Dk. John Magufuli kuwafukuza kazi watendaji akiwemo...
By Regina MkondeFebruary 21, 2020SIKU moja baada ya wadhamini wa Tundu Lissu katika kesi ya tuhuma za uchochezi kupitia gazeti la MAWIO, kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi...
By Regina MkondeFebruary 21, 2020JULIUS Mtatiro, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuchunguza Vyama vya Ushirika vya...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2020UZEMBE na kubebana ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ndio unakibomoa chama hicho kwa kiwango kikubwa. Anaripori Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeFebruary 21, 2020OMBI la kutaka mahakama itoe hati ya kukamatwa Tundu Lissu, mshitakiwa wa nne katika kesi ya tuhuma za uchochezi inayowakabili pia wahariri wawili...
By Faki SosiFebruary 21, 2020KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amechukua fomu ya kugombea ukatibu mkuu wa chama hicho....
By Hamisi MgutaFebruary 20, 2020APRILI Mosi mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam itaamua kama Halima Mdee, Mbunge wa Kawe ana kesi ya...
By Faki SosiFebruary 20, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeongeza siku tatu katika Zoezi la Uboreshaji Daftari la Wapiga Kura katika mkoa wa Dar es Salaam,...
By Hamisi MgutaFebruary 20, 2020WADHAMINI wa Tundu Lissu, leo tarehe 20 Februari 2020, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jiijini Dar es Salaam kutoa hati ya kumkamata...
By Faki SosiFebruary 20, 2020RAIS John Magufuli amemuagiza Kapteni Mstaafu , George Mkuchika, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, kuajiri madaktari...
By Regina MkondeFebruary 20, 2020WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amemtaka mkandarasi wa Kampuni ya KEC International Limited, anayetekeleza mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza...
By Danson KaijageFebruary 20, 2020CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimemuomba Rais John Magufuli kuongeza vibali vya ajira, ili kupunguza wimbi la madaktari wasiokuwa na ajira mitaani, pamoja...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2020UIMARA wa Chama cha Demokrasia (Chadema), ulioonekana kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015, umechangiwa na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa...
By Regina MkondeFebruary 19, 2020DAVID Mwashilindi, Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya (Chadema) amesema, katika kuhakikisha maendeleo yanawafikia wananchi, kunahitajika uwajibikaji wa pamoja kati ya wanasiasa na...
By Danson KaijageFebruary 19, 2020MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wamemtimua mwenzao kikaoni kwa kutovaa sare za chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2020MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Moshi Vijijini, Anthony Komu “amesema, ikiwa Chadema itamshinda, atajiunga na chama kingine...
By Hamisi MgutaFebruary 19, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Februari 2020, imeagiza upande wa Jamhuri kueleza bayana hatua iliyofikiwa katika upelelezi...
By Faki SosiFebruary 19, 2020WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikiugulia maumivu ya kumpoteza Dk. Vicent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, leo Boniface Mwambukusu...
By Kelvin MwaipunguFebruary 19, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejibu mapigo baada ya aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Vincent Mashinji kuhamia Chama Cha Mapinduzi...
By Hamisi MgutaFebruary 19, 2020ZITTO Kabwe ameeleza dhamira yake ya kutaka kupambana na Dk. John Magufuli, katika kugombea urais kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu. Anaripoti Faki Sosi,...
By Faki SosiFebruary 18, 2020KIASI cha fedha kilichokopwa nje ya nchini na Rais John Magufuli kwa miaka minne, kimezidi kile cha Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kwa miaka...
By Regina MkondeFebruary 18, 2020ALIYEKUWA swahiba mkuu wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Vicenti Mashinji, ameondoka ndani ya chama...
By Regina MkondeFebruary 18, 2020