Categorizing posts based on type of post
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, kupitia ukurasa wake wa twitter ametoa ya moyoni kuwa wale waliobeza na kutukana juhudi za maridhiano...
By Gabriel MushiJanuary 8, 2023KUNDI la waasi la wanamgambo la M23, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameirudisha kambi ya kijeshi mashariki mwa nchi hiyo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2023MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa jasiri akidai kwamba kuna baadhi ya watu hawapendi...
By Regina MkondeJanuary 7, 2023CHAMA Cha Wananchi (CUF), leo Jumamosi tarehe 7 Januari 2023, kimezindua rasmi mikutano ya hadhara ambapo ufunguzi huo umefanywa na Mwenyekiti wake Taifa,...
By Regina MkondeJanuary 7, 2023KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2023SIKU chache baada ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kutengua zuio la kufanya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa nchini, Chama...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2023WAKATI vyama vya siasa vya upinzani vikianza kutangaza ratiba ya kuanza mikutano ya hadhara, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema Kamati yake Kuu, itakutana...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2023WAFUASI wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, anayedaiwa kufukuzwa James Mbatia, wamepanga kufanya mikutano ya hadhara Januari 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2023VYAMA vya siasa nchini Tanzania vimefunguliwa kutoka katika kifungo cha takribani miaka sita baada ya katazo lisilo la kikatiba wala kisheria la...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitazindua rasmi mikutano ya hadhara kitaifa tarehe 21 Januari 2023, ikifuatiwa na uzinduzi wa mikutano hiyo...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2023KESI ya kimkataba kati ya Feisal Salum (Fei Toto) dhidi ya klabu ya Yanga itasikilizwa kwa saa 3 na kamati ya Sheria...
By Kelvin MwaipunguJanuary 6, 2023CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kuanza mikutano ya hadhara huku kikiagiza matawi yake kuandaa mikutano hiyo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2023HUENDA tarehe 5 Januari 2023, ikawa ni siku chungu kwa Kamishna Diwani Athuman, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wake...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani, katika nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu, na kumteua Mululi Majula Mahendeka, kushika...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema Taifa linapumua baada ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuondoa zuio la mikutano ya hadhara, akisema hatua...
By Gabriel MushiJanuary 5, 2023MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Stephen Wasira amesema mikutano ya hadhara ikianza kufanyika itakiamsha Chama kilichoko madarakani cha CCM, ili kitimize mambo iliyoahidi kwa...
By Gabriel MushiJanuary 5, 2023KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mtu hatokatika kidole wala kukatwa shingo, endapo atampongeza Rais Dk. Samia Samia Suluhu Hassan kwa...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023KWENYE moja ya vikao vya kamati ya watu wenye ulemavu nchini Tanzania, hoja iliyogusa hisia kubwa za wengi ni ya watu wenye ulemavu...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2023MAMBO sita yanatarajiwa kutikisa katika vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitakavyoanza Januari 19 hadi 29...
By Jonas MushiJanuary 5, 2023WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene, amevitaka vyama vya siasa kufanya siasa za kistaarabu ili kuepusha...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kata ya Kaselya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Ramadhani Hamisi (30) ameuawa kwa kuchomwa na...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2023BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limefuta matokeo yote ya wanafunzi 14 walioandika matusi katika mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa kidato cha pili...
By Gabriel MushiJanuary 4, 2023MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini huku mafuta...
By Gabriel MushiJanuary 4, 2023BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) leo tarehe 4 Januari, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022. https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm
By Gabriel MushiJanuary 4, 2023RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Hussein Katanga kuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa Mjini New York akichukua...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2023KIONGOZI wa ACT Wazalendo, Zitto kabwe amesema wamefarijika sana baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kufuta zuio la mikutano ya hadhara...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema haikuwa kazi nyepesi kufikia makubaliano ambayo yametangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba sasa mkwamo wa...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa, Hashim Rungwe amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kuondoa zuio la...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kusemwa kwa mengi hususani kuhusu suala la kukopa sana, hatishiki kwa sababu amedhamiria kuhakikisha...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe, amesema zama alizoziita za kutishana zimeondoka na kwamba vyama vya siasa vitakuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake imedhamiria kuukwamua mchakato wa marekebisho ya katiba na kwamba muda si mrefu kamati ya ushauri...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ameondoa zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, lililowekwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli, kwa...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekubali kushiriki mkutano wa pamoja wa vyama vya siasa Tanzania,...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2023MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Kikosi kazi alichokiunda...
By Regina MkondeJanuary 3, 2023MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA), imevunja rekodi ya makusanyo ya mapato Kwa mwezi baada ya kukusanya Sh. 2.77 trilioni kati ya lengo...
By Regina MkondeJanuary 2, 2023Ndugu Wananchi na Watanzania wenzangu; NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA! Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mwingi wa Rehema...
By Gabriel MushiJanuary 1, 2023Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam...
By Gabriel MushiJanuary 1, 2023MAZISHI ya Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31 Desemba 2022 akiwa na umri wa miaka...
By Gabriel MushiDecember 31, 2022WAKATI leo tarehe 31 Disemba, 2022 ikiwa ni tamati ya mwaka 2022, Mke wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022WAKATI ikiwa imesalia siku moja kwa 2022 kufika tamati, dunia haitosahau vifo vya watu mashughuri vilivyotikisa ndani ya mwaka huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022BARAZA la Vijana la Chama cha Chadema (BAVICHA), limewataka viongozi wake wa mikoa ambao ni waoga, wakae pembeni ifikapo 2023 maana mwaka huo...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2022PAPA wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu muongo mmoja baada ya kujiuzulu...
By Gabriel MushiDecember 31, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza viongozi na watumishi katika balozi waendelee kufanya tathmini ya fursa za kiuchumi ambazo Tanzania inaweza kupata kutokana na...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2022SERIKALI imeridhia kufufua mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji ndani ya Bonde la Bugwema, liliko mkoani Mara, ikiwa ni utekelezaji wa ombi...
By Regina MkondeDecember 30, 2022CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imesema Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya kuimarisha demokrasia ya vyama vingi cha Rais Samia Suluhu, ilikuwa...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2022RAIS wa mstaafu wa Marekani, Barack Obama ameeleza namna alivyoguswa na kifo cha Mfalme wa Soka duniani, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama...
By Gabriel MushiDecember 30, 2022GWIJI wa soka raia wa Brazil – Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki dunia leo tarehe 29 Disemba, 2022 akiwa na...
By Gabriel MushiDecember 29, 2022TUNAPOELEKEA kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka...
By Gabriel MushiDecember 29, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka Serikali ifikapo 2023 kuja na mkakati wa kitaifa wa kukuza uchumi, kuongeza ajira na kutoa huduma bora...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kinaunga mkono marekebisho ya sheria za habari yenye lengo la kuongeza uhuru wa tasnia hiyo, huku ikiiomba...
By Regina MkondeDecember 29, 2022