Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Michezo TFF: Fei Toto mchezaji halali wa Yanga
MichezoTangulizi

TFF: Fei Toto mchezaji halali wa Yanga

Spread the love

 

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo tarehe 7 Januari, 2023 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo imesema uamuzi kamili kwa pande zote mbili zilizokuwa zinahusika katika shauri utatolewa Jumatatu tarehe 9 Januari, 2023.

Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko mbele ya kamati hiyo ikipinga hatua ya mchezaji wao Feisal Salum kuvunja mkataba kati yao bila kuwashirikisha.

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ilisikiliza malalamiko hayo jana ambayo pande zote (Yanga na Feisal Salum) ziliwakilishwa na wanasheria wao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!