Friday , 26 April 2024

Makala & Uchambuzi

Makala & Uchambuzi

Mwaka 2022: Dk. Samia ameongoza kasi ukuaji mahusiano ya kidiplomasia na uchumi kati ya Tanzania, China

TUNAPOELEKEA kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka...

Makala & Uchambuzi

Haya yafanyike kuvutia wawekeza sekta ya habari

  NI ukweli usiopingika  kwamba vyombo vya habari ni mhimili wa nne wa nchi, ambao una mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya taifa...

ElimuMakala & UchambuziTangulizi

Mwanachuo aliyepasuliwa korodani na Polisi afichua mazito

  MWANACHUO wa Chuo Kikuu cha SAUT mkoani Mwanza, Warren Lyimo anayedaiwa kupigwa na kuteswa  na Polisi hadi kupasuka korodani, amesimulia mambo mazito na...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mkutano wa SCO ni suluhu la ubinafsi na kukidhi haja ya unganiko hilo?

  INAELEZWA kuwa kuna mzozo wa kwa nchi wanachama wa SCO unatokana na kuteteleka na kushindwa kufanya mkutano wa pamoja wa kujadili tishio...

Makala & Uchambuzi

Madiwani Moshi wadaiwa kuunda mtandao wa kula rushwa, kuruhusu ujenzi holela

NI KASHFA! Ndivyo unavyoweza kuelezea kile kilichojiri mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi mjini ambapo madiwani wa Kata nne za manispaa hiyo, wamedaiwa...

Makala & UchambuziTangulizi

Kosa la Mwigulu ni nini?

  KWA wanaofahamu jinsi serikali inavyofanya kazi, wanaofahamu kutungwa kwa muswada, kufikishwa kwa mswada huo bungeni na hadi kuwa sheria, hakuna shaka kuwa...

Makala & UchambuziTangulizi

Ndoto ya Odinga kuwa rais wa Kenya ‘imezima’

NDOTO ya Raila Odinga, mtoto wa makamu wa rais wa Kwanza wa Kenya, Jaramogi Odinga, kuwa rais wa Jamhuri ya Kenya imeonekana kuzima...

Makala & UchambuziTangulizi

Uchaguzi mkuu Angola kuzika zama za chama kimoja?

WAPIGA  kura nchini Angola wanapiga kura leo tarehe 24 Agosti, 2022 kumchagua rais mpya. Uchaguzi huo umetajwa kuwa na ushindani mkali kuwahi kushuhudiwa tangu...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Juliana Cherera; kigogo tume ya uchaguzi anayetia mchanga ushindi wa Ruto

Jina la Juliana Cherera ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka kutoka nchini Kenya (IEBC), limepata umaarufu mkubwa baada...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Namna Ruto alivyomshinda Odinga uchaguzi mkuu Kenya

  KAMPENI za wafuasi wengi zilizoegemezwa katika simulizi kali za ma-hustlers (watafutaji) sambamba na uungwaji mkono kutoka kwa maeneo yenye utajiri wa kura...

Makala & Uchambuzi

Dk. Kahangwa: Hi ndio tofauti kati ya uchaguzi wa Kenya, Tanzania

  YAPO masuala ya kijiografia, kihistoria, kijamii na kiuchumi yanayofanya nchi mbili za Afrika Mashariki; Kenya na Tanzania zifanane na kuwa na udugu...

HabariMakala & UchambuziTangulizi

FUATILIA MOJA KWA MOJA MATOKEO UCHAGUZI MKUU KENYA HAPA

RAIA wa Kenya jana tarehe 9 Agosti, 2022 wamejitokeza kupiga kura kumchagua rais, gavana, seneta, mwakilishi wa wanawake, mbunge na mwakilishi wa wadi. Katika...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Pakistan kinara wa unyanyasaji, utekaji na ubakaji wanawake

  WAKATI Dunia ikihubiri haki na usawa wa kijinsia huko nchini Pakistani wanawake wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia , kubakwa na kutekwa nyara....

Makala & UchambuziTangulizi

Wakenya wanaamua mwisho wa Odinga au mwanzo wa Ruto, polisi wadakwa na sanduku la kura

  UCHAGUZI Mkuu wa Kenya unafanyika leo kumsaka mrithi wa kiti cha urais kinachotarajiwa kuachwa wazi na Rais Uhur Kenyatta. Mbali na nafasi...

ElimuMakala & Uchambuzi

Tanzania ya kidijitali: Kuwekeza kwa vijana ni kuwekeza katika mustakabali sahihi

VIJANA wa Tanzania ni rasilimali muhimu zaidi ambayo nchi inatakiwa kuwa nayo katika siku za usoni. Umuhimu wa vijana unatokana na ukweli kwamba...

Makala & Uchambuzi

Ni bajeti yenye neema kwa Watanzania

NI Bajeti ya viwango inayokwenda kulainisha na kupunguza makali ya maisha kwa wananchi wote. Hii inatokana na vipengele kadhaa vilivyoanishwa na serikali kupitia...

Makala & Uchambuzi

Joseph Selasini: Muongo au msahaulifu?

  ALIYEKUWA mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro, Joseph Selasini, ameibuka upya na kudai kuwapo...

Makala & Uchambuzi

Mjue mtunzi; Upande wa pili wa watunzi wa riwaya nchini

SANAA ya filamu na muziki wa kizazi kipya ni miongoni mwa sanaa zenye nguvu na zinazojulikana na wengi zaidi hapa nchini. Ukimtaja Ali...

Makala & Uchambuzi

Joseph Selasini: Muongo au msahaulifu?

ALIYEKUWA mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro, Joseph Selasini, ameibuka upya na kudai kuwapo mkakati...

ElimuMakala & Uchambuzi

Je, Wamiliki wa kumbi za starehe wanawalenga wanafunzi wa vyuo?

  KUNA usemi usemao “usilolijua ni sawa na usiku wa giza”  na  ndivyo wamiliki wa kumbi za starehe maeneo yaliyo karibu na vyuo...

Makala & Uchambuzi

Sensa ya watu na makazi Tanzania ni zaidi ya kuhesabiwa

  NIKIWA kwa babu miaka fulani hivi nikienda kumjulia hali, tukiwa katikati ya mazungumzo yetu, babu alinishangaza kwa jinsi alivyokuwa anawajua na kuwatambua...

Makala & Uchambuzi

Mambo yanayombeba Rais Samia kimataifa

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres aliwahi kusema; “Ushirikiano wa kimataifa na diplomasia vimethibitisha kuwa na faida na huduma...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Waziri Mkuu Uingereza aponea kung’olewa

  WAZIRI mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aponea chupu chupu kuondoka madarakani, kufuatia kura ya kutokuwa na imani naye kushindwa kufaulu. Anaandika Mwandishi...

Makala & Uchambuzi

CAG apewe ulinzi atake asitake

  FIKIRIA unarudi nyumbani kwako, unakutana na kisanga cha vijana wawili wameraruriwa na mbwa wako, na wako taabani. Unauliza unaambiwa ni vibaka wameruka...

Makala & Uchambuzi

Simba, Yanga kuingia kwenye presha za usajili

  WAKATI msimu wa mashindano wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kombe la Shirikisho ukienda ukingoni, vigogo wa soka nchini klabu...

Makala & Uchambuzi

Kutana na ‘Nabii’ mwenye wake 42, watoto 289, adai kuponya Ukimwi

MZEE Yohana Tano Nabii mwenye umri wa miaka 82, kutoka kijiji cha Nandolia kaunti ya Bungoma nchini Kenya amekuwa gumzo ndani na nje...

HabariMakala & Uchambuzi

Mambo matano mchezo Simba na Yanga

  LICHA ya kwenda sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa watani wa jadi, uliowakutanisha klabu za Simba na Yanga kwenye dimba la...

Makala & UchambuziMichezo

Wachezaji Simba onesheni ukubwa

WEKUNDU wa Msimbazi, Timu ya Simba kesho inacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani...

Makala & UchambuziTangulizi

Ushauri mzito kwa Makonda, atakiwa kuomba radhi

  ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda, ameshauriwa kuwaomba radhi hadharani viongozi wa Serikali, vyama vya siasa,...

Makala & Uchambuzi

Benki ya Kilimo: Ni mkopeshaji au dalali?

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, Kassim Majaliwa, amewasilisha bajeti ya wizara yake, bungeni mjini Dodoma na kumwagia sifa Benki ya Kilimo....

Makala & Uchambuzi

Manufaa ya Tanzania kuingia mfumo wa anwani za makazi, postikodi

SAFARI ya Tanzania kutekeleza mfumo wa anwani za makazi na postikodi nchi nzima umeshika kasi lengo ni kuibadilisha nchi kuwa ya kidijitali ili...

Makala & Uchambuzi

Viapo dhidi ya rushwa: Tatizo lipo hapa…

  WENGINE tunaapa mdomoni tu, wengine tunaapa ndani ya moyo. Heshimuni viapo vyenu.” Mwisho wa kunukuu. Ni kauli ya Rais wa Jamhuri ya...

Makala & UchambuziTangulizi

Miradi kichefuchefu inayoitia doa Serikali Kinondoni

UKIMYA na usiri umeendelea kutawala kuhusu kukwama kwa miradi mitatu ya Halmashauri ya Kinondoni inayogharamiwa kwa vyanzo vya mapato ya ndani na kuitia...

Makala & Uchambuzi

Tangulia Profesa Honest Ngowi, utakumbukwa daima

NILIPATA mshtuko mkubwa kupokea taarifa mbaya ya kifo cha Profesa Honest Ngowi kilichotokana na ajali ya gari kutoka kwa mwanachama mwenzetu wa kundi...

Makala & Uchambuzi

Ni mwaka mmoja wa uchumi bila vyuma kukaza

MWAKA mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani, unawezakuwa ni mwaka wa uchumi ambao hauhitaji sana takwimu kuelezea ukuaji wake, bali ni kwa...

Makala & Uchambuzi

Putin tajiri namba moja duniani, anayeitikisa Marekani

  WAKATI mtandao maarufu duniani wa Forbes ukimuorodhesha Mhandisi na Mjasiriamali Elon Reeve Musk kuwa na tajiri namba moja duniani kwa kuwa na...

Makala & UchambuziTangulizi

Ni mwisho wa enzi kwa Polepole?

  KATIKA uteuzi wa vigogo mbalimbali wa Serikali ambao umefanywa na Rais Samia Suluhu Hassan tarehe 14 Machi, 2022, jina la Humprey Polepole...

Makala & Uchambuzi

Rais Kenyatta amtangaza Odinga mrithi wake, aidhinishwa rasmi kuwania urais

KIONGOZI wa Orange Democratic Movement (ODM), Raila Odinga amepata ridhaa kuipeperusha bendera ya muungano wa Azimio la Umoja katika uchaguzi mkuu wa Kenya...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Rais mdogo zaidi duniani aapishwa, alimbwaga bilionea

GABRIEL Boric mwenye umri wa miaka 36 ameapishwa jana tarehe 12 Machi, 2022 kuwa Rais mpya wa Chile na kuweka rekodi ya kuwa...

Makala & Uchambuzi

Mbowe ametoka magereza na mtaji wa kisiasa

LICHA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kusota kwenye kuta za gereza la Ukonga kwa siku 226, ametoka...

Makala & Uchambuzi

Bunge la Tanzania bila upinzani wa kutosha linailaza Serikali

  MIAKA ya nyuma tukiwa watoto, shuleni tukijifunza Fizikia, walimu wetu walituelewesha nini maana ya chanya na hasi katika somo hilo na umuhimu...

Makala & Uchambuzi

Mgogoro Urusi-Ukraine: Je, vita ya tatu ya dunia?

KUMEKUWEPO na kurushiana maneno baina ya Urusi na nchi za Magharibi huku kukiwepo matamshi yanayoashiria kutokea vita vya tatu ya dunia sambamba na...

Makala & Uchambuzi

Uvamizi Ukraine: Warusi waanza kuonja makali ya vikwazo

  “NINGEKUWA na uwezo ningehama Urusi sasa hivi. Ningefanya hivyo. Lakini siwezi kuacha kazi yangu,” anasema Andrey. Hataweza kumudu mpango wa kununua nyumba...

Makala & Uchambuzi

Maboresho ya kanuni yanavyochochea ukuaji sekta ya mawasiliano Tanzania

  KATIKA kuboresha mazingira ya utoaji huduma za mawasiliano nchini Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wiki hii imetangaza maboresho ya...

Makala & Uchambuzi

DK. SALIM AHMED SALIM; Mtanzania aliyemkaba koo George Bush

TAREHE 23 Januari, 2022 Waziri Mkuu Mstaafu Dk. Salim Ahmed Salim alitimiza miaka 80, leo nakuletea makala inayofafanua namna alivyombana pumzi aliyekuwa Rais...

Makala & Uchambuzi

Mfahamu Luteni Kanali Damiba aliyemgeuka Rais Kabore, alipewa cheo mwezi uliopita, Aweka historia kuwa Rais wa 10 kumpindua mtangulizi wake

  WAKATI Timu ya Taifa ya Burkina faso ikitinga hatua ya nane bora katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) huko...

Makala & Uchambuzi

Uchaguzi Spika, tunajitekenya na kucheka

Ni rahisi kutumia sababu za kisheria kusema Tanzania kuna uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge. Lakini sio rahisi kueleweka katika utamaduni wa...

Makala & Uchambuzi

MASUJIRO HASHIMOTO: Baba wa NISSAN aliyelelewa na Japan

Breviare ni kitabu maalum cha Kikristo kwa ajili ya sala za asubuhi, mchana na jioni pamoja na nyongeza ya vipindi vingine kwa nyakati...

Makala & Uchambuzi

Aliyemlazimisha Spika Ndugai kujiuzulu ni huyu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniam, Job Ndugai ameandika barua rasmi kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi kujiuzulu nafasi...

Makala & Uchambuzi

Rais usiwaendekeze kijani wakupingao ndani

  JAPO mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini, hata hivyo, bado nitavitazama vyama vyote kwa jicho sawa hasa ikizingatiwa kuwa...

error: Content is protected !!