Saturday , 20 April 2024

Makala & Uchambuzi

Makala & Uchambuzi

Kwa hili serikali kuweni wapole

TAASISI za dini ni miongoni mwa wadau wakubwa wanaochangia kuwapo na kuendelea kustawisha amani ya nchi yetu ya Tanzania. Anaripoti Richard Makore …...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Katiba murua Zbar yaikwamisha CCM

BARAZA la Wawakilishi la Zanzibar limwepitisha muswada wa sheria wa kurekebisha vifungu vya Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar pasina mabadiliko ya msingi yanayohusu...

Makala & UchambuziTangulizi

Zanzibar ‘mkao wa kula’

Kalamu ya Jabir Idrissa SIASA visiwani Zanzibar ni ada kimaisha. Siasa ni kila kitu kwa wananchi. Na kila kitu ni siasa Zanzibar. Kila...

Makala & Uchambuzi

Neno ‘uchochezi’ linavyotumika kuminya wapinzani

Na Rashid Abdallah KILA nyakati huwa na mbwembwe zake. Nyakati za sasa katika uwanja wa siasa nazo zinazo. Ni mbwembwe nyingi; vituko vingi;...

Makala & Uchambuzi

Lazaro Nyalandu hakamatiki

KILICHOITWA na watawala, “Operesheni Tokomeza” iliyoishia kujiuzulu kwa waziri mmoja na kufutwa kazi mawaziri watatu wa serikali ya Rais Jakaya Kikwete, yaweza kuwa...

Makala & Uchambuzi

Wananchi hawali takwimu, wanakula uchumi

Na Saed Kubenea MSEMAJI wa serikali, Dk. Hassan Abass, amekana madai kuwa uchumi wa taifa unayumba, mfumuko wa bei umeongezeka na mifuko ya...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Spika Ndugai amedanganya

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, aweza kuwa hajasema ukweli kuhusu madai kuwa hamfahamu na wala hajawahi kumuona zaidi...

Makala & Uchambuzi

Uteuzi wa mawaziri, umesheheni matundu

Na Mwandishi Maalum RAIS John Pombe Magufuli, ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri kwa kuondoa baadhi, wengine kuwahamisha na wapya kuingizwa. Miongoni...

Makala & Uchambuzi

Ni lini Afrika itaonja siasa safi?

Na Rashid Abdallah NINAJIULIZA ni kwanini siasa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinaendelea kuwa za vilio, vitisho, mateso na hata vifo....

Makala & Uchambuzi

Sakata la Madiwani Arusha; Takukuru, Maadili kazi kwenu

MBUNGE wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari, sasa aweza kuwa “amefunga rasmi” mgodi wa ununuzi wa madiwani wa upinzani uliobuniwa na viongozi wa...

Makala & Uchambuzi

Bwana Ali Juma ‘kafa ngangari’

“Masikini bwana Ali, kafa ilhali yuajua Masikini bwana Ali, kafa yuaona Masikini bwana Ali, kafa yuaasa Masikini bwana Ali, kafa yungangari” NAANDIKIA haya...

Makala & Uchambuzi

Balozi Amina hamaanishi akisemacho au hasemi akimaanishacho

MWANZONI mwa wiki hii, Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko kwenye serikali ya Dk. Ali Mohamed Shein, Balozi Amina Salum Ali, aliliambia Baraza...

Makala & Uchambuzi

Mbunge: Nguvu ya umma imezidi Mazombi

KUFUMBA na kufumbua, Bwana Ali Juma Suleiman ametangulia mbele ya haki. La, bora niseme ametangulizwa mbele ya haki kwa kudhulumiwa na makundi ambayo...

Makala & Uchambuzi

Tunatafuta ‘suluhisho la mwisho?’

WALE wanaozielewa siasa za Marekani kwa sasa, watakubali namna mabadiliko yanavyoibadilisha dola hii yenye nguvu kubwa zaidi za kiuchumi na kijeshi, anaandika Rashid...

Makala & Uchambuzi

Mahakama Kenya yazidi kuanika madudu ya Tume

NAIBU Jaji Mkuu wa Kenya Philomena Mwilu, amesema kitendo cha Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), kushindwa kufuata maagizo ya mahakama...

Makala & Uchambuzi

Jeshi la Kenya lakamata Warundi wanaotamani ugaidi  

JESHI la polisi nchini Kenya limewakamata watu wanne  raia wa Burundi  waliokuwa wakielekea Somalia kujiunga na kundi la kighaidi la Al-Shabab, anaandika Catherine Kayombo. Kwa...

Makala & Uchambuzi

Odinga na Kenyatta kuzipiga tena Oktoba 17 

WAFULA Chebukati, Mwenyekiti  wa  Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC), ametangaza tarehe mpya ya kurudia uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 17 Oktoba 2017, anaandika...

Makala & Uchambuzi

Odinga pasua kichwa Kenya, agoma kushiriki uchaguzi marudio

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametangaza kuwa hayuko tayari kushiriki marudio ya uchaguzi mkuu wa urais nchini humo.abla ya kufanyika uchaguzi,...

Makala & Uchambuzi

Rais Uhuru Kenyatta ageuka ‘mbogo’ Kenya

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa taifa hilo lina ‘matatizo’ na idara ya mahakama ambayo inahitaji marekebisho, anaandika Mwandishi Wetu. Alikuwa akizungumza...

Makala & UchambuziTangulizi

Freeman Mbowe afunguka uchaguzi Kenya

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefunguka na kumsifu Rais Uhuru Kenyatta kuwa mvumilivu na kuheshimu Wakenya baada ya...

Makala & Uchambuzi

Mahakama Kenya yaamuru mitambo ya tume ichunguzwe

MAHAKAMA Kuu nchini Kenya imekubali ombi la  Muungano wa Upinzani (NASA), nchini humo kukagua mitambo iliyotumiwa na Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC),...

Makala & Uchambuzi

Mahakama Kenya waonya wanahabari, mawakili

MAHAKAMA ya juu nchini Kenya imewaonya wanahabari, mawakili na wahusika wengine wa kesi ya kupinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta dhidi ya mpinzani...

Makala & Uchambuzi

Wakenya wabaini  akili za kuambiwa changanya na zako

WAFUASI wa aliyekuwa mgombea urais nchini Kenya, Raila Odinga wamepuuza kauli yake iliyowataka leo kutoenda kazini, anaandika Victoria Chance. Odinga aliwataka wafuasi wake...

Makala & UchambuziTangulizi

Uhuru Kenyatta sasa rasmi Ikulu ya Kenya

WAFULA Chebukati, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya (IEBC), amemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa nafasi...

Makala & Uchambuzi

Machafuko yaibuka Kenya, watano wapigwa risasi

WATU 5 wamepigwa risasi katika ghasia zilizotokea nchini Kenya baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi nchini Kenya, anaandika Hellen Sisya. Ghasia hizo zimetokea...

Makala & Uchambuzi

Waangalizi wa uchaguzi watoa neno Kenya

WAANGALIZI wa uchaguzi wa nje ya nchi ya Kenya wakiongozwa na Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki, wamepinga yaliyosemwa na mgombea urais...

Makala & Uchambuzi

Mwenyekiti wa Tume Kenya amtuliza Raila Odinga

WAFULA Chebukati, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya (IBEC), ameahidi kushughulikia malalamiko yaliyotolewa na mgombea urais kupitia Muungano wa NASA,...

Makala & Uchambuzi

Kenyatta “Baba” wa demokrasia Afrika Mashariki

WAPINZANI nchini Kenya, wakiongozwa na Raila Odinga wa chama cha ODM na muungano wa NASA, wamekuwa wakipewa haki zote za kisiasa na za...

Makala & UchambuziTangulizi

Fomu namba 34 A yazua utata uchaguzi Kenya

MUUUNGANO wa NASA, umetangaza kukataa matokeo huku ukisema matokeo yanayotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya, hayana ushahidi wa fomu namba 34 A...

Makala & Uchambuzi

Wakenya waishio nje wapigakura kuchagua Rais

DEMOKRASIA imejidhihirisha nchini Kenya baada ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi hiyo kupiga kura huko huko wanapoishi katika uchaguzi unaofanyika leo, anaandika Mwandishi...

Makala & Uchambuzi

Wafungwa wapiga kura nchini Kenya

KENYA imeweka rekodi katika uchaguzi mkuu mwaka huu, baada ya Tume ya Uchaguzi, kuruhusu watu waliofungwa gerezani pamoja na wale waliopo rumande kupewa...

Makala & UchambuziTangulizi

Odinga na Kenyatta waahidi amani

WAGOMBEA wa urais wawili wenye nguvu nchini Kenya, Raila Odinga (NASA) na Uhuru Kenyatta (Jubilee), leo wamepiga kura katika uchaguzi mkuu nchini humo...

Makala & Uchambuzi

Wakenya kesho kuamua nani awe rais 

BAADA ya vuta nikuvute za kampeni kali za uchaguzi mkuu nchini Kenya hatimaye wananchi wa nchi hiyo wanatarajia kupiga kura kumchagua Rais na...

Makala & Uchambuzi

Rais Kagame aibuka kidedea Rwanda

ASILIMIA 1.3 ya wananchi wa Rwanda wamemkataa, Rais Paul Kagame kuwaongoza kupitia sanduku la kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana, huku asilimia 98.66...

Makala & Uchambuzi

Al-Shabab yatia doa uchaguzi Kenya

ZIKIWA zimebaki siku tano kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Kenya, hali ya usalama imeendelea kuwapa wasiwasi wananchi kufuatia mashambulizi pembezoni mwa pwani...

Makala & Uchambuzi

Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti

TUME ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imeazimia kuongeza muda wa kupiga kura siku ya uchaguzi katika maeneo yenye sheria ya muda...

Makala & Uchambuzi

Wadau wasisitiza kutunza amani Kenya

WITO wa amani umeendelea kutolewa kwa wananchi nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu, ili kuepusha machafuko yaliyozuka katika uchaguzi wa mwaka 2007, anaandika Catherine...

Makala & Uchambuzi

Marekani, Uingereza kuchunguza kifo cha Musando wa Kenya

MAUAJI ya Kaimu Mkurugenzi wa Masuala Teknolojia wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya (IEBC), yameziibua nchi za Marekani na Uingereza na...

Makala & UchambuziTangulizi

Chadema, CCM wazichapa; visu, mawe vyatumika

CHUKI na visasi kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeendelea kumea baada ya wafuasi wa vyama...

Makala & UchambuziTangulizi

Maalim Seif amvuruga Dk. Shein

NI wazi sasa Dk. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar anavurugwa na harakati zinazofanywa na Maalim Seif Sharif ndani na nje ya Zanzibar,...

Makala & Uchambuzi

Kubenea ajitosa ubunge Unguja

MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, leo Jumapili, ataungana na viongozi waandamizi wa upinzani nchini, Edward Lowassa na Maalim Seif Sharif Hamad,...

Makala & UchambuziTangulizi

Z’bar ‘mikononi’ mwa Lowassa, Maalim Seif

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ukiongozwa na Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF na Edward Lowassa, Mjumbe wa Kamati Kuu...

Makala & UchambuziTangulizi

CUF mambo magumu

HALI ya fedha ni ngumu ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) jambo ambalo linaloongeza changamoto katika kampeni za chama hicho kwenye Jimbo la...

error: Content is protected !!