Friday , 26 April 2024

Month: July 2020

Habari za Siasa

Prof. Lipumba kugombea urais, achukuliwa fomu

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amechukuliwa fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Ulwe Rajabu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Kada Chadema auawa

ASIA Said, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Kata ya Palanga, wilayani Chemba, Dodoma ameuawa kwa kupigwa...

Habari za Siasa

Watia nia wafutiwa mishahara

SERIKALI imeagiza kwamba, watumishi wa umma waliotia nia ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa, wasilipwe mishahara yao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Takukuru msimsubiri DPP, nendeni kortini – JPM

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imetakiwa kutumia mamlaka yake, kuwafungulia kesi mahakamani watuhumiwa wa makosa ya rushwa, bila kusubiri...

Habari za Siasa

JPM: Hakuna cha bure

RAIS John Magufuli, ametoa siku 14 kwa taasisi za serikali na binafsi, zinazodaiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kulipa madeni yao. Anaripoti Mwandishi...

BurudikaHabari za Siasa

Baba Levo: Sababu ni Zitto kurudi Kigoma Mjini

UAMUZI wa Zitto Kabwe, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo kugombea tena Jimbo la Kigoma Mjini, umenisukuma kugombea tena Kata ya Mwanga Kaskazini. Anaripoti Hamis...

Kimataifa

Masista 12 wafariki ndani ya siku 30

MASISTA 12 katika Mji wa Michigan, Marekani wamepoteza maisha ndani ya siku 30 (Mei 2020), kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 36 waanguka kura za maoni CCM

TAKRIBANI wabunge 36 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, wameanza vibaya safari yao ya kutetea nafasi zao, katika uchaguzi mkuu wa 28...

HabariTangulizi

Uchaguzi 2020, utakuwa huru – Rais Magufuli

RAIS wa Jamhuri, Dk. John Magufuli amesema, ana imani kubwa ya uchaguzi mkuu ujao wa rais, wabunge na madiwani, kuwa huru na haki. Anaripoti...

Habari za Siasa

Matokeo ya rais 2020 kutangazwa Dodoma

MATOKEO ya urais Tanzania Bara katika Uchaguzi Mkuu 2020, kwa mara ya kwanza yatatangazwa jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...

Habari za Siasa

Maalim Seif ataja hasimu wake Uchaguzi Mkuu 2020

HASIMU wangu na wetu sisi Chama cha ACT-Wazalendo kwenye siasa si Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wala Chama cha NCCR-Mageuzi pia vyama...

Habari za Siasa

Mtemvu aongoza Kibamba, Vicky Kamata aanguka

ISSA Mtemvu, ameibuka mshindi kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Kibamba, Dar es Salaam kwa kupata kura 83 kati...

Habari za Siasa

Meneja wa Diamond ambwaga naibu waziri

HAMISI Taletale maarufu Babu Tale ameshinda kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Morogoro Kusini Mashariki kwa kupata kura 318...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awashukuru wazee wa Nachingwea

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewashukuru wazee wa Nachingwea Mkoa wa Lindi kwa mchango wao wa Sh. 100,000 walioutoa ili umsaidie katika...

Habari za Siasa

Ngeleja, Bukwimba, Maige na Kalanga wapigwa

WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameshindwa kura za maoni za. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza…(endelea) Wabunge hao wameshindwa katika kura za maoni...

Habari za SiasaTangulizi

Waliounga mkono juhudi, wabunge na wateule waanguka kura za maoni

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimehitimisha mchakato wa kura za maoni kwa wabunge wa majimbo nchini humo huku ikishuhudiwa wabunge wa chama...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima, Dk. Mashinji na Kippi Warioba waanguka Kawe

FURAHA Dominic Jacob ameongoza kura za maoni Jimbo la Kawe, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura 101 kati...

Habari za Siasa

Gwajima: Tutaishinda Chadema kabla ya sadaka ya kwanza

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema yeye ni mtu pekee atakayeweza kurudisha jimbo la Kawe kwenye himaya ya Chama...

Habari za Siasa

Tundu Lissu kurejea Tanzania J’tatu mchana

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema- Bara, Tundu Lissu amesema, atarejea nchini Tanzania Jumatatu Julai 27, 2020 saa...

Habari za Siasa

Mpinzani wa Prof. Kitila asema mchakato haujaisha, tusubiri vikao 

MWANTUM Mgonja, aliyeshika nafasi ya pili katika kura za maoni Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam za Chama Cha Mapinduzi (CCM), anamshukuru Mungu...

Habari za Siasa

Dk. Mashinji: Nichagueni mimi, Kawe Tuna jambo letu

ALIYEKUWA katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema), Dk. Vincent Mashinji amewaomba wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Michezo

Samatta dimbani leo dhidi ya Arsenal

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo atashuka tena dimbani kwenye Ligi Kuu nchini England ambapo klabu yake ya...

Habari za Siasa

Makonda: Asanteni wana Kigamboni

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewashukuru wananchi wa Kigamboni jijini humo kwa kumfanya kuwa sehemu ya maisha yake....

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Tanzania Jumatano Oktoba 28

TUME ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC) nchini Tanzania imesema, Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Urais wa Tanzania utafanyika Jumatano Oktoba 28, 2020....

Habari za Siasa

Mtulia: Yawezekana sijaiva kimkakati CCM lakini sijashindwa

MAULID Mtulia, mbunge anayemaliza muda wake wa Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amekubali matokeo na kukiri yeye bado...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda, Mtolea, Nassari na Kitwanga wapigwa

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameshindwa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kigamboni jijini...

Habari za Siasa

Prof. Kitila aongoza Ubungo, Dk. Tizeba na Shigongo ngoma droo

PROFESA Kitila Mkumbo, aliyekuwa katibu mkuu wizara ya Maji, ameshinda kura za maoni, kugombea Ubunge Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Naibu Spika Tulia apeta Mbeya, Dk. Kimei chali Vunjo

NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ameongoza katika kura za maoni Jimbo la Mbeya Mjini kwa tiketi ya CCM kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Mtulia chali Kinondoni, Tarimba apeta

MAULID Mtulia, Mbunge anayemaliza muda wake jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam, ameshindwa kutetea nafasi yake katika kura za maoni za Chama...

Habari Mchanganyiko

Polisi wamwacha Sheikh Ponda kwa dhamana

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, ameachwa na Jeshi la Polisi kwa dhamana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Kimataifa

Kanye West aanza kampeni za urais Marekani

KANYE West, mwamauziki wa mtindo wa kufoka foka, ameanza safari ya kutaka kuwa rais wa Marekani kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Inaripoti mitandao ya...

Makala & Uchambuzi

Zitto ataja kosa la Chadema kwa Lowassa, Sumaye

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, chama hicho kimechukua tahadhari kubwa ili kisiingie kwenye makosa yaliyofanywa mwaka 2015. Anaandika Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Dk. Ndugulile: Msiache mbachao kwa msala upitao

DAKTARI Faustine Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni anayemaliza muda wake amesema, bado ana mikakati ya kuendelea kutatua changamoto ndani ya jimbo hilo. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Makonda: Nichagueni, nazifahamu changamoto za Kigamboni

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam, Paul Makonda amesema ana uwezo wa kuyatekeleza yale yote yaliyomo kwenye Ilani ya Chama cha...

Habari za Siasa

Majaliwa azungumzia ulinzi wa nchi kwa Watanzania

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema suala la ulinzi wa nchi ni la Watanzania wote na siyo la kuwaachia vyombo kama Jeshi...

Habari za Siasa

Watia nia 78 kuchuana ubunge Kigamboni 

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatarajia kupiga kura za...

Habari za Siasa

Kura za maoni CCM: Msimamizi aonya vurugu ukumbini 

MSIMAMIZI wa uchaguzi kura za maoni jimbo la Mufindi Kusini wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sadiki Kadulo amewataka wajumbe na watia nia kufuata...

Habari za SiasaTangulizi

Kura za maoni CCM: Rais Magufuli awapa maagizo wasimamizi

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaosimamia mchakato wa kura za maoni, kutafuta wagombea wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli awaapisha viongozi aliowateua Ikulu

RAIS  wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Viongozi hao wameapishwa leo Jumatatu...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 20 kulipa madeni ya korosho Tanzania

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa Sh. 20 bilioni za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala...

Habari za Siasa

Nyalandu: Nikiwa Rais Tanzania, hakuna atakayeisoma namba

LAZARO Nyalandu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati na mtia nia wa Urais kupitia chama hicho amesema, akiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Chadema: Mbowe, Mchungaji Msigwa wautosa

WANACHAMA wanne kati ya 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ‘wameingia’ mitini katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea...

Habari za Siasa

Membe arejesha fomu za urais, atumia saa 48 kuzijaza

BERNARD Kamilus Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa na chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo kuwania urais...

Habari za Siasa

Hatutaki ushindi wa malalamiko – Dk. Mwinyi

MTEULE wa urais visiwani Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema mwaka huu chama hicho kinataka ushindi usio na malalamiko. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za Siasa

Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe (RC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Rafu CCM zatikisa Shinyanga

WATIA nia ya ubunge katika Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameanza kuchezeana rafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Shinyanga…(endelea). Kutokana na...

Habari za Siasa

Waliounga juhudi CCM njia panda

IWAPO Rais John Magufuli na Humphrey Polepole, watayaishi maneno yao kwamba ‘hakuna mbeleko’ kwenye mchakato wa uteuzi wa watia wa ubunge na udiwani...

Habari za Siasa

CCM Iringa yawataka wagombea wakubali kushindwa, wasiende kwa waganga

CHAMA cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimetoa onyo kali kwa wagombea ubunge na udiwani watakaobainika kusaliti chama kwa kikiuka kanuni na taratibu...

Habari za Siasa

Majaliwa: Anayeitaka fedha, ataipata shambani

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi waache kukaa vijiweni na badala yake waanzishe bustani ili...

Habari za Siasa

CCM: Mikutano kupata wagombea iwe wazi, mabalozi wapewa rungu

MCHAKATO wa kura za maoni za kuwatafuta wagombea udiwani, ubunge na uwakilishi wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, ndani ya Chama Cha Mapinduzi...

error: Content is protected !!