PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amechukuliwa fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Ulwe Rajabu, Dar...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020ASIA Said, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Kata ya Palanga, wilayani Chemba, Dodoma ameuawa kwa kupigwa...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020SERIKALI imeagiza kwamba, watumishi wa umma waliotia nia ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa, wasilipwe mishahara yao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imetakiwa kutumia mamlaka yake, kuwafungulia kesi mahakamani watuhumiwa wa makosa ya rushwa, bila kusubiri...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2020RAIS John Magufuli, ametoa siku 14 kwa taasisi za serikali na binafsi, zinazodaiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kulipa madeni yao. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2020UAMUZI wa Zitto Kabwe, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo kugombea tena Jimbo la Kigoma Mjini, umenisukuma kugombea tena Kata ya Mwanga Kaskazini. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJuly 22, 2020MASISTA 12 katika Mji wa Michigan, Marekani wamepoteza maisha ndani ya siku 30 (Mei 2020), kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2020TAKRIBANI wabunge 36 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, wameanza vibaya safari yao ya kutetea nafasi zao, katika uchaguzi mkuu wa 28...
By Regina MkondeJuly 22, 2020RAIS wa Jamhuri, Dk. John Magufuli amesema, ana imani kubwa ya uchaguzi mkuu ujao wa rais, wabunge na madiwani, kuwa huru na haki. Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 22, 2020MATOKEO ya urais Tanzania Bara katika Uchaguzi Mkuu 2020, kwa mara ya kwanza yatatangazwa jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2020HASIMU wangu na wetu sisi Chama cha ACT-Wazalendo kwenye siasa si Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wala Chama cha NCCR-Mageuzi pia vyama...
By Faki SosiJuly 22, 2020ISSA Mtemvu, ameibuka mshindi kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Kibamba, Dar es Salaam kwa kupata kura 83 kati...
By Regina MkondeJuly 22, 2020HAMISI Taletale maarufu Babu Tale ameshinda kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Morogoro Kusini Mashariki kwa kupata kura 318...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewashukuru wazee wa Nachingwea Mkoa wa Lindi kwa mchango wao wa Sh. 100,000 walioutoa ili umsaidie katika...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameshindwa kura za maoni za. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza…(endelea) Wabunge hao wameshindwa katika kura za maoni...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimehitimisha mchakato wa kura za maoni kwa wabunge wa majimbo nchini humo huku ikishuhudiwa wabunge wa chama...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020FURAHA Dominic Jacob ameongoza kura za maoni Jimbo la Kawe, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura 101 kati...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema yeye ni mtu pekee atakayeweza kurudisha jimbo la Kawe kwenye himaya ya Chama...
By Kelvin MwaipunguJuly 21, 2020MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema- Bara, Tundu Lissu amesema, atarejea nchini Tanzania Jumatatu Julai 27, 2020 saa...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020MWANTUM Mgonja, aliyeshika nafasi ya pili katika kura za maoni Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam za Chama Cha Mapinduzi (CCM), anamshukuru Mungu...
By Masalu ErastoJuly 21, 2020ALIYEKUWA katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema), Dk. Vincent Mashinji amewaomba wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
By Kelvin MwaipunguJuly 21, 2020NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo atashuka tena dimbani kwenye Ligi Kuu nchini England ambapo klabu yake ya...
By Kelvin MwaipunguJuly 21, 2020ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewashukuru wananchi wa Kigamboni jijini humo kwa kumfanya kuwa sehemu ya maisha yake....
By Mwandishi WetuJuly 21, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imesema, Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Urais wa Tanzania utafanyika Jumatano Oktoba 28, 2020....
By Hamisi MgutaJuly 21, 2020MAULID Mtulia, mbunge anayemaliza muda wake wa Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amekubali matokeo na kukiri yeye bado...
By Kelvin MwaipunguJuly 20, 2020ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameshindwa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kigamboni jijini...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020PROFESA Kitila Mkumbo, aliyekuwa katibu mkuu wizara ya Maji, ameshinda kura za maoni, kugombea Ubunge Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 20, 2020NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ameongoza katika kura za maoni Jimbo la Mbeya Mjini kwa tiketi ya CCM kwa...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020MAULID Mtulia, Mbunge anayemaliza muda wake jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam, ameshindwa kutetea nafasi yake katika kura za maoni za Chama...
By Kelvin MwaipunguJuly 20, 2020SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, ameachwa na Jeshi la Polisi kwa dhamana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020KANYE West, mwamauziki wa mtindo wa kufoka foka, ameanza safari ya kutaka kuwa rais wa Marekani kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Inaripoti mitandao ya...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, chama hicho kimechukua tahadhari kubwa ili kisiingie kwenye makosa yaliyofanywa mwaka 2015. Anaandika Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020DAKTARI Faustine Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni anayemaliza muda wake amesema, bado ana mikakati ya kuendelea kutatua changamoto ndani ya jimbo hilo. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam, Paul Makonda amesema ana uwezo wa kuyatekeleza yale yote yaliyomo kwenye Ilani ya Chama cha...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema suala la ulinzi wa nchi ni la Watanzania wote na siyo la kuwaachia vyombo kama Jeshi...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatarajia kupiga kura za...
By Hamisi MgutaJuly 20, 2020MSIMAMIZI wa uchaguzi kura za maoni jimbo la Mufindi Kusini wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sadiki Kadulo amewataka wajumbe na watia nia kufuata...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaosimamia mchakato wa kura za maoni, kutafuta wagombea wa chama...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Viongozi hao wameapishwa leo Jumatatu...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa Sh. 20 bilioni za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020LAZARO Nyalandu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati na mtia nia wa Urais kupitia chama hicho amesema, akiwa...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020WANACHAMA wanne kati ya 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ‘wameingia’ mitini katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020BERNARD Kamilus Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa na chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo kuwania urais...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2020MTEULE wa urais visiwani Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema mwaka huu chama hicho kinataka ushindi usio na malalamiko. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe (RC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuJuly 19, 2020WATIA nia ya ubunge katika Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameanza kuchezeana rafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Shinyanga…(endelea). Kutokana na...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020IWAPO Rais John Magufuli na Humphrey Polepole, watayaishi maneno yao kwamba ‘hakuna mbeleko’ kwenye mchakato wa uteuzi wa watia wa ubunge na udiwani...
By Hamisi MgutaJuly 19, 2020CHAMA cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimetoa onyo kali kwa wagombea ubunge na udiwani watakaobainika kusaliti chama kwa kikiuka kanuni na taratibu...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi waache kukaa vijiweni na badala yake waanzishe bustani ili...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2020MCHAKATO wa kura za maoni za kuwatafuta wagombea udiwani, ubunge na uwakilishi wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, ndani ya Chama Cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2020