Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe
Habari za Siasa

Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe (RC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uteuzi huo ni mabadiliko ya uteuzi alioufanya Rais Magufuli tarehe 17 Julai 2020 alipomteua Dk. Jumanne Fhika kuwa Mkuu wa Mkoa huo.

Kabla ya uteuzi huo, Dk. Fhika alikuwa Ofisi ya Rais na aliteuliwa kuchukua nafasi ya Christopher Ole Sendeka.

Hata hivyo, leo Jumapili tarehe 19 Julai 2020, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema Dk. Fhika atabaki Ofisi ya Rais kuendelea na majukumu yake.

Taarifa yote ya Msigwa hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Deni la Serikali laongezeka kwa trilioni 11

Spread the loveDENI la Serikali imeongezeka kwa takribani Sh. 11 trilioni sawa...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaTangulizi

Mapya yaibuka wamasai waliohamishwa Ngorongoro kwenda Msomera

Spread the loveMAPYA yameibuka kuhusu zoezi la Serikali kuwahamisha kwa hiari wamasai...

Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza mpinzani aliyeshinda urais Senegal

Spread the loveRAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza mwanasiasa wa...

error: Content is protected !!