Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Samatta dimbani leo dhidi ya Arsenal
Michezo

Samatta dimbani leo dhidi ya Arsenal

Mbwana Samatta
Spread the love

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo atashuka tena dimbani kwenye Ligi Kuu nchini England ambapo klabu yake ya Astorn Villa itakapo ikaribisha Arsenal kwenye uwanja wa Villa Park. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Astorn Villa ambayo ina pointi 31 na kushika nafasi ya 18 kwenye msimamo wa ligi baada ya kucheza michezo 36 na kuwa kwenye hatari ya kushuka daraja.

Mchezo huo ambao utakuwa muhimu kwa kila timu kutokana na Arsenal kuhitaji matokeo ili  kujiweka vizuri kuelekea mchezo wa fainali wa kombe la FA dhidi ya Chelsea baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester city kwenye mchezo wa nusu fainali.

Samatta ambaye alijiunga na timu hiyo kwenye dirisha dogo la usajili mwezi Januari, 2020 akitokea KRC Genk watakuwa na kibarua kikubwa mbele ya Arsenal ili kujinasua kushuka daraja ambapo tayari timu ya Norwich imeshashuka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!