Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Watia nia 78 kuchuana ubunge Kigamboni 
Habari za Siasa

Watia nia 78 kuchuana ubunge Kigamboni 

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wilaya ya Kigamboni
Spread the love

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatarajia kupiga kura za maoni za ubunge. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).

Mkutano huo unafanyika leo Jumatatu tarehe 20 Julai 2020 katika ukumbi wa Chuo cha Mwalimu Nyerere, Kivukoni ambapo wagombea ni 78 akiwamo mbunge anayemaliza muda wake, Dk. Faustine Ndugulile.

Wengine ni; aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda pamoja na mchekeshaji maarufu nchini Mpoki Mujuni.

Tayari watia nia 30 kati ya 78 wameshajinadi kwa dakika chache  kwa kila mmoja na zoezi hilo bado linaendelea.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!