PAZIA la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20 limefungwa leo huku timu za Singida United, Ndanda ya Mtwara, Lipuli ya Iringa...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, anarejea nyumbani kwao Tanzania lakini alivyo sasa si kama alivyokuwa miaka...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020MBUNGE aliyemaliza muda wake wa Itilima Mkoa wa Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Njalu Daudi amesema, wananchi wa jimbo hilo watamkumbika Hayati...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020PAUL Kabugwe, kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameacha historia kwa kumbwaga katika kura za maoni Ibrahimu Kalunga, aliyekuwa diwani wa Kata ya...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema ameshinda kura za maoni za kuwani Ubunge wa Hai Mkoa wa Kilimanjaro katika...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020MWANASIASA mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, anatarajiwa kushiriki mazishi ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa. Anaripoti Yusuf Katimba, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020BERNARD Kamilius Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali ya awamu ya nneu, amemtaja Hayati Benjamin William Mkapa, Rais mstaafu wa...
By Yusuph KatimbaJuly 26, 2020RAIS mstaafu Benjamin Mkapa, aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, jijini Dar es Salaam, amefikwa na mauti, kwa mshutuko wa moyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020YUDA Rua’ichi, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam ameagiza, sadaka itakayopatikana kwenye shughuli ya kumuaga Benjamin William Mkapa, Rais...
By Regina MkondeJuly 26, 2020ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Iringa, Tarcisius Ngalalekumtwa, amewataka Watanzania kutafakari matendo yao kama yanampendeza Mungu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Kiongozi...
By Regina MkondeJuly 26, 2020MAMIA ya wananchi wamejitokeza kwa wingi Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, kuuaga mwili wa Hayati Rais mstaafu wa awamu ya tatu...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametangaza Oktoba 28, 2020 siku ya Uchaguzi Mkuu kuwa mapumziko. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020CHAMA cha Sauti ya Umma (Sau) nchini Tanzania, kimewapitisha wagombea wa urais wa Tanzania na Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefika nyumbani kwa Hayati Rais wa awamu ya tatu wa nchi hiyo, Benjamini William Mkapa, Masaki jijini...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020VIONGOZI mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania, wameendelea kujitokeza nyumbani kwa Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa nchi hiyo, Benjamini William...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali amewataka waumini wa kanisa hilo na Watanzania wote wajitoe kuombea...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020MBUNGE anayemaliza muda wake wa Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameshinda kura za maoni kutetea nafasi...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020YUDA Thaddeus Ruwa’ichi, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam na Jenerali George Waitara wametoa ya moyoni kuhusu maisha...
By Regina MkondeJuly 25, 2020BERNARD Kamilius Membe, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, amekwama kupokewa Lindi leo Jumamosi tarehe 25 Julai 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020JESHI la Polisi Tanzania limetoa onyo la mikusanyiko ya aina yoyote katika kipindi hiki cha maombolezo ya kifo cha Rais mstaafu wa awamu...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema baada ya mauaji ya Zanzibar mwaka 2001, walijitenga na Rais mstaafu Benjamin William...
By Kelvin MwaipunguJuly 25, 2020MAMA Samia Suluhu Hassam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameeleza kufadhaishwa na kifo cha Benjamin Mkapa, Rais wa awamu...
By Yusuph KatimbaJuly 25, 2020CHAMA tawala nchini Tanzania Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kitamkumbuka Rais wa awamu ya tatu, Hayati Benjamin William Mkapa jinsi alivyokijenga chama hicho na...
By Regina MkondeJuly 25, 2020JOSEPH Butiku, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), amesema, Chama Cha Mapinduzi (CCM), hakina tabia ya kuwachaguliwa Watanzania rais na...
By Yusuph KatimbaJuly 25, 2020RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Shein, Rais wa Zanzibar amewataka viongozi wa sasa kujifunza utawala bora kutoka kwa Hayati Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu...
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020CHAMA Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Chadema kimetangaza kuahirisha mikutano yake iliyokuwa ianze tarehe 27 hadi 29 Julai 2020 ili kupisha maombolezo ya...
By Kelvin MwaipunguJuly 25, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimewakaribisha wanachama, vongozi wa chama hicho na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kumpokea Tundu...
By Kelvin MwaipunguJuly 25, 2020MAALIM Seif Sharif Hamadi, Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo amesema, Hayati Benjamin Willium Mkapa alikuwa jasiri ingawa...
By Yusuph KatimbaJuly 25, 2020BABA yake (Benjamin Mkapa) Mzee William Matwani alikuwa mpishi msaidizi katika Mission Ndanda. Wamisionari wakambatiza, wakamfundisha kusoma, kuandika na kuhesabu na kumfanya Katekista....
By Mwandishi WetuJuly 25, 2020BERNARD Kamilius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Tanzania amesema, kifo cha Rais mstaafu, Benjamin William Mkapa ni pigo kubwa...
By Faki SosiJuly 24, 2020BAADHI ya klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara zimetuma salamau za rambirambi kufuatia kifo cha Aliyekuwa Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa...
By Kelvin MwaipunguJuly 24, 2020Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA) kinaungana na Watanzania wote kuomboleza kifo cha Mwanadiplomasia Mkongwe, mwanahabri mahiri na Rais wa awamu ya tatu...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020JABIR Idrissa, aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la MwanaHALISI, ameshinda kura za maoni za ubunge kupitia Chama cha ACT-Wazalendo katika Jimbo la Pangawe, Wilaya...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020SERIKALI imetangaza ratiba ya mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamini Mkapa, aliyefariki dunia usiku wa jana tarehe 23 Julai jijini...
By Regina MkondeJuly 24, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa wito kwa serikali kumuenzi Hayati Benjamin Mkapa katika dhana yake ya utawala bora. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar...
By Kelvin MwaipunguJuly 24, 2020MWILI wa Benjamin Mkapa, Rais wa Awamu ya Tatu ataagwa katika Uwanja wa Mpira wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020MWENYEKITI wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais mstaafu Benjamin William...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020RAIS Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amesema, jana tarehe 23 Julai 2020 alikwenda kumtembelea Mzee Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu hospitali...
By Regina MkondeJuly 24, 2020UHURU Kenyatta, Rais wa Kenya ameomboleza kifo cha Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu wa Tanzania, kilichotokea usiku wa...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020BENJAMIN William Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amehitimisha safari yake ya miaka 81 dunia. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametangaza siku saba za maombolezo kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa nchi hiyo,...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametangaza kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa kilichotokea...
By Mwandishi WetuJuly 24, 2020SHIRIKA la Usawa wa Kijinsia leo limeendesha semina ya siku mbili kwa waathirika wote wa maswala ya jinsia katika sehemu zao za kazi...
By Kelvin MwaipunguJuly 23, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imesimamisha kazi watumishi tisa waliohusika katika usimamizi wa ujenzi wa majengo saba ya ofisi...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020PETER Lijuakali, mwanachama mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilipaswa kumshukuru kwa kuwa ndiye aliyekijenga Kilombero,...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema ameshawishika na atagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu...
By Regina MkondeJuly 23, 2020SAA 24 zilizopita, watu 572 wameripotiwa kufariki dunia nchini Afrika Kusini kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti...
By Mwandishi MaalumJuly 23, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amewaeleza wanachama wa chama hicho Tunduru, Mtwara kwamba wanayo sababu ya kuing’oa CCM madarakani. Anaripoti Faki Sosi,...
By Faki SosiJuly 23, 2020WANAWAKE 252 wamejitokeza katika mchuano wa kuwania nafasi tano za ubunge Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imesema, fomu za uteuzi wa wagombea urais wa nchini humo katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2020