Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Prof. Lipumba kugombea urais, achukuliwa fomu
Habari za Siasa

Prof. Lipumba kugombea urais, achukuliwa fomu

Prof. Ibrahim Lipumba akikabidhiwa fomu ya kuwania Urais kwa tiketi ya CUF
Spread the love

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amechukuliwa fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Ulwe Rajabu, Dar es Salaam … (endelea).

Fomu hiyo amechukuliwa leo tarehe 23 Julai 2020, na kundi la vijana wa chama hicho katika Wilaya ya Kinondoni, na sasa wamempelekea mwenyekiti huo katika Ofisi Kuu ya CUF, Buguruni.

Taarifa zaidi kukujia….

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!